Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kali ya wikiHiyo miaka20-30 ni ya aliowafanyia uchunguzi,but 99% ya wanaume wote wanatoa unga matakon.i.
Huu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.
Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?
Naomba niwape multiple choices
a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
Mrembo kama wewe kufua magamba ndo nini??[emoji30] [emoji30] [emoji30]........Dear njoo kwangu ukutane na kitu mtelezo please!![emoji1][emoji1][emoji1]Hata minara mafuta ya nazi ya 1500. Sio boxer inaenda kufuliwa ina magamba
Umeona jibu lake?
Mara ya mwisho kuchoma sindano ilikuwa mwaka 99,tena kwenye chumba cha upasuaji na baada ya kuvutishwa ile nusu kaputi,mpaka leo,staki kabisa kusikia hiyo kitu.kama ni dawa nipewe nimeze/ninywe au nipake kwan kunaulazima gani dawa ipitie matakoni?Mnatutisha manesi jamani tukiwachoma sindano. Hebu muwe na huruma
Sasa uoshe vizuri ili iweje, kuchamba kwingi mwisho ni kujipiga dole tuNa ule mfereji wa makalio haujawahi oshwa vyema.