Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,485
Yaani mimi Mwana Mtoka Pabaya nikalubricate tako liwe ndembe ndembe kwa kuwataka nini wanaume wenzangu? Huyu mwanamke ana balaa huyu!Mkuu eti imagine mwanaume ulainishe kalio!!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani mimi Mwana Mtoka Pabaya nikalubricate tako liwe ndembe ndembe kwa kuwataka nini wanaume wenzangu? Huyu mwanamke ana balaa huyu!Mkuu eti imagine mwanaume ulainishe kalio!!?
Koma Nipake mafuta ili nimfurahishe nani kwamfanoHuu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.
Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?
Naomba niwape multiple choices
a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
aiseeTunajipaka mwili mzima, n kazi ya dakika 10 hiyo
Ni kweli kabisa. Tatizo linakuja kwamba watu wengine wanakaa sehemu za joto, hata kupaka mafuta usoni tu ni tabu itakuwa matakoni?. Huko matakoni unapaka unamlainishia nani? Nani anapaona au huko matakoni kuna kuna ugumu kiasi gani hadi upalainishe kwa Mafuta. Mambo mengine tuwaachie wakina Miss Natafuta.🙁Huu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.
Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?
Naomba niwape multiple choices
a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
Hivi ni mafuta gani hayo mnapaka ambayo yana joto? Kimbo?Ni kweli kabisa. Tatizo linakuja kwamba watu wengine wanakaa sehemu za joto, hata kupaka mafuta usoni tu ni tabu itakuwa matakoni?. Huko matakoni unapaka unamlainishia nani? Nani anapaona au huko matakoni kuna kuna ugumu kiasi gani hadi upalainishe kwa Mafuta. Mambo mengine tuwaachie wakina Miss Natafuta.🙁
Basi Mwili wako mdogo, Mimi na huu ubonge nianze kupaka mwili mzima..itabidi nlikimaliza kupaka nirudi kuoga coz jasho litanitoka kweli kweli. Ila hii ya kulainisha makalio inanitia shaka kma itazingatiwa na wanaume. Bora nipake mafuta Kichwani na Miguuni.Hivi ni mafuta gani hayo mnapaka ambayo yana joto? Kimbo?
Mimi napaka mafuta ya nazi mwili mzima sisikii joto wala fukuto!
Hivi ni mafuta gani hayo mnapaka ambayo yana joto? Kimbo?
Mimi napaka mafuta ya nazi mwili mzima sisikii joto wala fukuto!
Kwa hiyo huwa unakwangua kalio la mgonjwa wako kwanza kabla ya kumchoma sindano ndo linatoa ungaNarudia tena mimi ni Nesi mkuu...utafiti nafanyia kwa wagonjwa
oh my God! sikumbuki lini nilipaka makalio yangu mafuta. na sio makalio tu, mgongo,tumbo,mapaja,naniliu(mjomba) etc. nilijaribu kwenda kwenye massage palour fulani, walinipaka hayo mafuta lakini niliishia tu kufanya ngono zembe Mungu akaniokoa na ukimwi siku hiyo, ila nikioga nyumbani sehemu pekee ninayopata mafuta ni usoni na mikononi na kichwani mara chache. na kwa jinsi nilivyo busy kufukuzana na muda hata mke wangu anapata shida kunikumbusha umepaka mafuta usoni?hahahaha, manake anajua ninaweza nikaondoka hata usoni sijapaka. sioni umuhimu kupaka paka mafuta. ilitokea siku moja nipo mkoani, si nikajua niko dsm, nikaoga vizuri sijui kama nimebabuka usoni kwa baridi...nikaulamba nikatoka mbio kwenye shughuli zangu, sasa kila ninayekutana naye naona ananiangalia sana usoni nikajua wamenifananisha, ilikuwa asubuhiasubuhi, kesho yake nikasema nijiangalie usoni kwenye kioo cha kulekule gesti pengine nitakuwa na mwonekano mbaya au nina ngeu mbona wananiangalia sana...dah? kuja kugundua, kumbe kwasababu ya joto la dsm na vipelepele vya joto usoni sometimes, ukienda mkoani vile vipele vinafanya kama mabakamabaka usoni....watu wanaweza kufikiri una ugonjwa wa ngosi...hahahahaha.Huu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.
Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?
Naomba niwape multiple choices
a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta