UTAFITI: 99% ya wanaume tangu waache kuogeshwa na mama zao hawajapaka makalio yao mafuta

UTAFITI: 99% ya wanaume tangu waache kuogeshwa na mama zao hawajapaka makalio yao mafuta

Tukiwa chumbani all is allowed...halafu mi mtoto wa kike, whats the worst that could happen?
weeeeh kasema nani?????!!yan jaribu kugusa ndo utajua wapi alifichwa Roma alipotekwa!!
unishike tako!??? Mungu akusaidie kukuonyesha nini kitakupata sehmu nyingine!
we subiri kushikwa tu......ndo stahili yako!
 
weeeeh kasema nani?????!!yan jaribu kugusa ndo utajua wapi alifichwa Roma alipotekwa!!
unishike tako!??? Mungu akusaidie kukuonyesha nini kitakupata sehmu nyingine!
we subiri kushikwa tu......ndo stahili yako!
Hahahaahahahhahaha....
 
Huu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.

Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?

Naomba niwape multiple choices

a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
Mwanaume Upake Mafuta Makalioni Yakiwa Laini Haaaa Huo Sasa Utata!
 
Utaanza kupaka baby care ukinogewa utapaka hadi ky mwanaume mafuta ya nini matakoni
 
Huyu mleta, Uzi, naye, mwanaume rijali,unaanzaje kushika shika makalio yako? Labda uwe umepoteza marinda aise
 
Mie natembea uchi hobby yangu kubwa basi napita jikoni sebuleni huku uchi raha
 
Back
Top Bottom