Utafiti: Asilimia kubwa ya wadada wa kiislam ni wazuri/warembo kuliko wa upande wa pili

Utafiti: Asilimia kubwa ya wadada wa kiislam ni wazuri/warembo kuliko wa upande wa pili

Unapambana na Islamophobia huku ukikaa kimya juu ya Hatred juu ya Wakristo?

That is almost the best way of promoting Islamism. Ni kujidanganya kitoto kuwa unachukizwa na chuki dhidi ya Uislamu huku ukijidai kutoupigania huo Uislamu.

The truth is, you have been against those who show hatred again Islamic religion and never being on the side of the attacked, as a person.

Being against Islamophobia while being quiet towards Christianophobia is a simple way to show that you are promoting Islamic religion..

Nafikiri unalazimisha maoni yako au mtazamo wako kwangu...
Kama napambana na islamophobia...na hate na kejeli Kwa Viongozi wa Kiislam....sio lazima kabisa nipambane na hiko unacho kiita hate against Christianity Kwa sababu kwanza je kipo?
Manake hata Hilo Neno umejaribu kulitengeneza hata uki Google hulipati..lakini hebu Google 'islamophobia "...ujielimishe...

Dini hizi sio kama Simba na Yanga ..
Kwamba ili nionekane fair nitetee zote wakati wanaokumbana na chuki ni upande mmoja mostly...

Kingine ni kwamba watetezi wa Christianity mpo Wengi Sana humu ... countless kuliko wanaopambana na Islamophobia.....sasa why nifanye kazi ambayo ina watetezi Wengi tayari WA kutosha...badala ya kusaidia wanao "onewa" ??
 
Nafikiri unalazimisha maoni yako au mtazamo wako kwangu...
Kama napambana na islamophobia...na hate na kejeli Kwa Viongozi wa Kiislam....sio lazima kabisa nipambane na hiko unacho kiita hate against Christianity Kwa sababu kwanza je kipo?
Manake hata Hilo Neno umejaribu kulitengeneza hata uki Google hulipati..lakini hebu Google 'islamophobia "...ujielimishe...

Dini hizi sio kama Simba na Yanga ..
Kwamba ili nionekane fair nitetee zote wakati wanaokumbana na chuki ni upande mmoja mostly...

Kingine ni kwamba watetezi wa Christianity mpo Wengi Sana humu ... countless kuliko wanaopambana na Islamophobia.....sasa why nifanye kazi ambayo ina watetezi Wengi tayari WA kutosha...badala ya kusaidia wanao "onewa" ??
Nadhani una ufinyu wa kutafakari ama unalazimisha Waislamu kuonewa huruma kwa uchache wenu.

Christianophobia ni neno lililo wazi. Ungeambatanisha hiyo Google yako isiyoonyesha anti-christianity sentiment. Ipo kwa yeyote atakayegoogle. Nina uhakika hujagoogle, mihemko inakukimbiza kuja kujibu.

So, unakuwa against Islamophobia kwa sababu ya Uchache?. I rest my case, I thought you were standing on the right side. Being against hatred despite of any religion.

Acha kulia lia, wala kujidai haupigii kelele Uislamu. Acha unafki.
Screenshot_20230619-213833.png
 
Awamu hii kuwekuwepo na milinganisho mingi sana ya kidini! Na mingi ni ile ya kuutukuza uislam na kuuponda ukristo! Na ile ya kuuponda ukatoliki na kuusifia usabato, nk!!

Ndiyo inferiority complex, au!!
We mzee nawe na ukatoliki wako unakera...mada hata haihusu wakatoliki ushaanza kuwataja taja...yani kisa tu umeona kichaka tayari mavi yanagonga chupi
 
Nadhani una ufinyu wa kutafakari ama unalazimisha Waislamu kuonewa huruma kwa uchache wenu.

Christianophobia ni neno lililowazi. Ungeambatanisha hiyo Google yako isiyoonyesha anti-christianity sentiment. Ipo kwa yeyote atakayegoogle. Nina uhakika hujagoogle, mihemko inakukimbiza kuja kujibu.

So, unakuwa against Islamophobia kwa sababu ya Uchache?. I rest my case, I thought you were standing on the right side. Being against hatred despite of any religion.

Acha kulia lia, wala kujidai haupigii kelele Uislamu.

Tulikuwa tunajadili islamophobia now nishakuwa nalazimisha waonewe huruma?....ungekuwa unaambatanisha wapi nataka waislam waonewe huruma..
 
we unapagawa na ushungi tu mkuu, asilimia kubwa ya wanawake wakivaa kwa kujistiri kichwa na akabakiza sehemu ya uso tu wanakuwa wazuri
 
Acha wengine tukae kimya maana tunafanana na warundi ak.wahutu
 
Back
Top Bottom