Utafiti binafsi: Wanawake huwa hawafurahii kufanya mapenzi kama hawako katika siku za kupata ujauzito

Utafiti binafsi: Wanawake huwa hawafurahii kufanya mapenzi kama hawako katika siku za kupata ujauzito

Mwanamke huwa anapata nyege kwa kipind maalum, sio Kila siku, yaani yupo Kama ng'ombe jike huwa Ana period maalum.
Ukikutana nae kimapenzi akiwa hayuko kwenye muda niliotaja hata upigeje hatapata utamu wowote, ingawa atakudanganya tu!

Lakin ukimkuta kwenye siku ambazo yai lake lipo tayari kurutubishwa atakuwa na nyege nyingi Sana na ukimfanya atapata utam wa kutosha.

Kama nasema uongo wanawake njoon mnipinge:
Sijui kama ulisoma Bailogia kwa ngazi gani ila inaonekana kabisa kuwa ulitoka bila kitu
 
Mwanamke huwa anapata nyege kwa kipind maalum, sio Kila siku, yaani yupo Kama ng'ombe jike huwa Ana period maalum.
Ukikutana nae kimapenzi akiwa hayuko kwenye muda niliotaja hata upigeje hatapata utamu wowote, ingawa atakudanganya tu!

Lakin ukimkuta kwenye siku ambazo yai lake lipo tayari kurutubishwa atakuwa na nyege nyingi Sana na ukimfanya atapata utam wa kutosha.

Kama nasema uongo wanawake njoon mnipinge:
Sio kweli, binadamu, nyani na pomboo hupata utamu muda wowote wakitaka..
 
Mwanamke huwa anapata nyege kwa kipind maalum, sio Kila siku, yaani yupo Kama ng'ombe jike huwa Ana period maalum.
Ukikutana nae kimapenzi akiwa hayuko kwenye muda niliotaja hata upigeje hatapata utamu wowote, ingawa atakudanganya tu!

Lakin ukimkuta kwenye siku ambazo yai lake lipo tayari kurutubishwa atakuwa na nyege nyingi Sana na ukimfanya atapata utam wa kutosha.

Kama nasema uongo wanawake njoon mnipinge:
Wazi kabisa 😅 kwa kuongezea tu ndio siku ambazo mwanamke hata kama alikuwa anasumbua kukupa muafaka wa penzi kama lipo au halipo basi jua anaweza kukutafuta ili akuulize kama upo geto au haupo🤣
 
Duuuuh Hivi hao Wanawake Mnaowawekea Maneno Kilq Siku Humu JF hawapo wakaongea? Utafiti wa Nini Wakati Tunaishi nao na Wanaweza Kuongea wenyewe
 
Ni kawaida mkuu,pia nakupongeza kwa kuongea ukwel ili na wengne wajifunze,maana wanawake wenzio wanaogopa kujitokeza na kuongea ukweli
 
Duuuuh Hivi hao Wanawake Mnaowawekea Maneno Kilq Siku Humu JF hawapo wakaongea? Utafiti wa Nini Wakati Tunaishi nao na Wanaweza Kuongea wenyewe
Mshtue mkeo achangie mada mkuu,maana wengne wanajificha
 
Back
Top Bottom