Utafiti Binafsi: Wanawake wenye Simu za Gharama ndiyo wanaongoza kudoea vyakula, kukwepa kulipa nauli na kuachika na mabwana

Utafiti Binafsi: Wanawake wenye Simu za Gharama ndiyo wanaongoza kudoea vyakula, kukwepa kulipa nauli na kuachika na mabwana

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani unamiliki Simu ya Tsh 700,000/= halafu unaingia Mghahawani Kula unakosa Hela ya 'Kiepe' na kusubiri 'Kudoea' kwa Shoga (Rafiki).

Na ndiyo hawa hawa hata ukikutana nao katika 'Daladala' wanatumia muda mwingi kutafuta "timing' ya Kumkwepa Kondakta ili tu asimlipe Tsh 400/= yake.

Na hata ikitokea Umewagumia (Umewabamba) na hizo Simu zao wanaongea 95% ya Watu wanaoongea nao ni Mabwana (Madanga) tupu na ukiona anaongea Kakunja Sura jua huyo anayeongea nae ni Mumewe halali na Wanagombana hali inayowafanya Wengi wao kuwa na Mahusiano mabaya yanayopelekea Kuachwa/Kuachika.
 
Yaani unamiliki Simu ya Tsh 700,000/= halafu unaingia Mghahawani Kula unakosa Hela ya 'Kiepe' na kusubiri 'Kudoea' kwa Shoga ( Rafiki).

Na ndiyo hawa hawa hata ukikutana nao katika 'Daladala' wanatumia muda mwingi kutafuta "timing' ya Kumkwepa Kondakta ili tu asimlipe Tsh 400/= yake.

Na hata ikitokea Umewagumia (Umewabamba) na hizo Simu zao wanaongea 95% ya Watu wanaoongea nao ni Mabwana (Madanga) tupu na ukiona anaongea Kakunja Sura jua huyo anayeongea nae ni Mumewe halali na Wanagombana hali inayowafanya Wengi wao kuwa na Mahusiano mabaya yanayopelekea Kuachwa / Kuachika.
Hao dawa yao ni kuwatambalizia mkuyege kunako hadi wakimbie na chu*p mkononi
 
Sawa
20220619_065122.jpg
 
Yaani unamiliki Simu ya Tsh 700,000/= halafu unaingia Mghahawani Kula unakosa Hela ya 'Kiepe' na kusubiri 'Kudoea' kwa Shoga ( Rafiki).

Na ndiyo hawa hawa hata ukikutana nao katika 'Daladala' wanatumia muda mwingi kutafuta "timing' ya Kumkwepa Kondakta ili tu asimlipe Tsh 400/= yake.

Na hata ikitokea Umewagumia (Umewabamba) na hizo Simu zao wanaongea 95% ya Watu wanaoongea nao ni Mabwana (Madanga) tupu na ukiona anaongea Kakunja Sura jua huyo anayeongea nae ni Mumewe halali na Wanagombana hali inayowafanya Wengi wao kuwa na Mahusiano mabaya yanayopelekea Kuachwa / Kuachika.
Wewe unawaharibia kampango kao mana wenzako wanajuwa wakiwa na cm kali,amependeza hata danga atalopata litapanda dau kwa kumuona c hadhi ya buku2..
 
Popoma kapigwa ban? Inabidi apewe tuzo ya ban
 
Back
Top Bottom