Boko haram
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 3,256
- 1,231
Kijana bado unajitekenya na kucheka mwenyewe bado hujajua watu kwanini wanalalamikaBora haya mabovu lakini yana mafuta fulu tengi kuliko hayo magari mazima lakini hayana mafuta,
wewe kijana uwe na heshima kidogo unapoandika post zako!
mara nyingi umekuwa ukirudia kauli zako za utovu wa nidhamu kwa wale wanaokupinga au kuonyesha mapovu unayo yatoa hapa!! Mara unawaita vilaza mara hawana akili mara wajinga!!
we umekuwa nani kutoa toa kashfa zisizokuwa na maana humu!
au unataka kila mtu akubaliane na wewe kuwa mungu aliwaumba viumbe waje wamuue!! na hakuamua kusamehe dhambi mpaka akaamua kujitoa muhanga auwawe!
we una haki ya kuonyesha udhaifu wa hoja ya mtu, lkn sio kukimbia kuwaita watu majina mabovu mabovu!
au ndio kanisa linawafundisha hivyo.
huna adabu kabisa wewe!
Nimehuzunika sana kuona huu nao unaitwa Utafiti,Labda kwa kuwa Lugha yetu ni finyu kwenye Misamiati, Mtafiti huyu kashindwa kwanza kabisa Mwanzo wa Utafiti wake kwa kuanza kukejeli eti ' wanaoimba Wimbo huu wa Mfumo Kristo walishindwa kutoa majibu Mujarrab' Vitabu kadhaa vimeandikwa kikiwemo cha Pdri Sivalon akieleza Nafasi ya kanisa Tanganyika, Professor Hamza Njozi kaandika 'The Killing of Mwembe chai and Political future of Tanzania', Tape, Hotuba za Masheikh na Wanazuoni wa Kiislam wameeleza kwa kirefu sana.
Hata kama huamini ulipaswa kupitia na kuweka hoja zao ili Upate 'Lacuna' Gap ambalo litakufanya Uanze Reserach, Sasa umekwepa Hoja zao halafu umekimbilia kuweka majibu yasiyo na Maswali, Hospital za Mkoa za Serikali Hazina X-ray halafu unasifia Serikal kupeleka Pesa kanisani kununua X ray tena hizo fedha hazina ukaguzi wa serikal kujiridhisha na Matumizi yake.
Mara zote Serikal imekuwa Mlalamikaji kwenye madai yanayoitwa Kashfa dhidi ya Dini Kikristo wakati kesi ya Madai haihusu Serikali na wapo Waislam walikwishapigwa Risasi,kufa kufungwa kwa kukana Mungu wa Kikristo lakin hakuna hata kesi moja ya Wakrsito wakipinga Uungu wa Allah au miungu ya Asili.
Tangu kuanzishwa NECTA haina tofauti na Parokia halafu Waislam hawaruhusiw kuhoji ila ni Halali wakristo kuhoji wingi wa Waislam kwenye Tume ya Katiba, serikal zote Tangu Uhuru zimekuwa zikifanya madudu japo kwa kiwango Tofauti ila 'Mtafiti' Mwenyewe ni Shahidi Kanisa hupaza Sauti kutikisa na kukashifu na kukosoa Serikal pale tu Rais anapokuwa si Mkatoliki, kama anabisha atueleze Kauli za Kanisa kumkosoa Nyerere au Mkapa japo kuna Madudu mengi tu katika Tawala zao, unapozungumzwa Mfumo ni Mpaka Fikra kiasi kwamba leo Ofisi ikiwa na Idad walau 40% ya Waislam huitwa Udini kwa kuwa si mazoea, NSSF kila siku inaitwa kuna Udini lakin tukiomba data za Idad ya waislam na Wakristo huingia mitini kama ile 64% ya wakrsto wakat wa sensa.
Nachokushauri Soma Vizuri Resercha Methodology and Technique and Tactics za Reserch ili uweze kufahamu Maana ya Reserch maana vitu kama hivi kuonekana Jukwaa la Brilliant eti ni Utafiti wa Greatthinkers unatudhalilisha hata kama ulihoji watu kweli kwa kiwango hicho japo ni Ngumu kumeza!
Juzi nilikuwa stand kuu pale bukoba, mwendawazimu akaja na jiwe akamrushia jamaa mmoja mgongoni watu wakacheka wakijua ndo tabia yake, jamaa aliyechapwa akaanza kufukuzana na mwendawazimu na bakola ili amfunze adabu. Basi alipomkamata akaanza kumchapa yule mwendawazimu hukuru akurukaruka na kujigalagaza chini, baada ya jamaa kuridhika akaondoka, huku nyuma mwendawazimu akaokota mawe ya kutisha akaanza kuvurisha ovyo kumuelekeza jamaa, bahati mbaya jiwe likamkoja jamaa likakipata kioo cha taxi moja ilikuwa pembeni. Wale madreva taxi wakamkamata jamaa wakamtaka alipe kile kioo.
Kwa njia hiyo ya kushughulika na wendawazimu, nani ana busara? Ama wote wendawazimu?
Mwendawazimu hafai kuchekewa kwakuwa hajui namna iliyo njema ya kufikiri
Hebu fikiria umemkuta mwendawazimu ana kiberiti na petrol karibu na nyumba yako uliyoijenga kwa taabu ya kushinda njaa kwa miaka 7
Utamchekea?
Hawa watu wanaiweka hatarini amani yetu
Na wanakitetea hicho kitendo chao
Sasa unadhani hawa ni watu wanaofikiria vyema?
Kama wana tatizo la kufikiri unadhani busara kwao ni kitu chema?
Asante sana mkuu, taifa litanusuriwa na werevu kwa aina ya propaganda ya baadhi ya wachache kuhusu mfumo kristu na mengineyoTaifa linahitaji watu kama wewe hasa katika kipindi hiki kigumu
Hawa jamaa wanaudhi kuna vitu ambavyo kwa standard ya graduate watu walitakiwa process kichwani na kujipa majibu rahisi ya msingi ,vinavyobaki ni ama kuuliza vitu vichache ili ku clarify au kuchangia tuu.
Hawa jamaa sijui kwanini hawana rough picture ya idadi ay watu wa dar na nchi nzima,hii ngepunguza sana wingi wa postings ili watu wajadili vitu makini km mipango ya jiji, kwanini waislam wanashindwa digest hali iliyopo.
labda nikuulize, wewe kuchukua data kutoka kwa huyo sijui yericho!! hivi huyo jamaa yako anafanya kazi ktk kamati ya kuratibu sense nchini!!
Unapotoa data kama hivi lzm uwe na reliable source itakayothibitisha madai yako!!
Ritz ametoa data zilizoko serikalini! wewe na huyo mparokia mwenzako ni kututolea vitu kutoka kichwani mwenu!!na ili kukazia hizo data zako, unatuletea mifano ya kurusha rockets na kupima chupi!!
Sasa unategemea unaweza kuleta valid argument kwa mifano ya ajabu ajabu kama hii!
hebu tazama mfano wa statistics ya population hapa!
The Tanzania National Website
sasa kwa sababu we ni msomi wa masuala ya rockets na hizo chupi! labda utwambie hio source yako ya kutuandikia population ya 5 to 10 million people in dar only!! umeipata wapi??
Imagine km "...mfumo kristu haukubuniwa...".Baada ya ile dhan ya kugombea uhuru, waislam wangepati wapi pa ku black mail taifa?waoi wangechoma makanisa kirahisi tuu na kesho yake serikali ikaenda wasikiliza ktk secular gaovernment..?imagine bila mfumo Christu waislam wangewaambiaje watoto wao waliowaaminisha kuwa dini yao ndio ya kweli,elimu yao ndio superior na swala yao hujibiwa na allah...halafu ufaulu wa wakristu, na mahudhurio yao kuwa mkubwa?
Imagine bila hiyo:wangewaambiwa nini watoto kuhusu uhaba wa shule, udhaifu wa taasisi zao kiuongozi, kushindwa kwa mengi bila backup ya office za serikali.......leo si ktk afya, elimu pekee waislam bila serikali inayobebwa na Ukristu life yao itakuza impossible........hata mabilionea wa kiislam hali zao hubadilika sana mfumo islam ukibanwa...yule jamaa wa home shopping centre km kungekuwa na serikali isiyo ya kiislam, na hakuna rushwa asingefikia hapo.ni dunia nzima..hata india waislam wanalili wapewe fursa..sawa.Na waliopata huwa wanafanya unwise support kwa wenzao.Wauza unga ,majangili wa porini, na wengine anaofanya bishar azisizo na kodi wengi ni waislam...pamoja na kutochangia kodi ktk dili haramu na kujuana na ikulu, na wazee wa chama..bado kodi itokayo kwa wakristu wanaofanya kazi rasmi..bado ktk mgao waislam ndio wanafaidi ..kuanzai kuokolewa ktk utapeli wa hija, kulipia bakwata, kulipia elimu,afya, na hata ajir amakazini zinazotolewa kidini.
Uliwahi sikia Quran inajitetea vipi kuhusu mafanikio ya Wakristu......kuwa ni lifists ,waponda starehe.....kwa ujumla mchango wa waislam ni mdogo kuliko matumizi yao ktk kodi ya nchi...wapo wengi wasio na bishara zilizorasimishwa ,na kulipa kodi, wamezaa watoto wengi sana kw akisingizio kuwa wana uwezo wa kuhudumia kw avile wana mali ila wakati wa kusoma husomea hela ya makafiri ambao wana watoto wachache, na wanalipa kodi...na hawatumii udini kuingizana.
YOHANA 5:36- - -Lakini mimi nina ushahidi juu yangu ambao ni mkuu zaidi kuliko ule wa Yohane. Kwa maana kazi ninazofanya, kazi alizonipa Baba nizifanye, ndizo zinazonishuhudia kwamba Baba ndiyealiyenituma
.-YOHANA 5:37- - -Naye Baba-aliyenituma-hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake.
-------
YOHANA 8:18- - -Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba-aliyenituma, ananishuhudia pia."
Kijana bado unajitekenya na kucheka mwenyewe bado hujajua watu kwanini wanalalamika
kuhusu "mfumo kristo" wewe ni rastafari sasa haya mambo ya mfumo kristo sijui wewe
yana kuhusu nini au ndio urastafari nyuma ya pazia la "UKRISTO"
Naona bado unakomaa:Kwanza nikuulize unaamini vipi kuwa hiyo governement website kuwa data zina ubora?labda nikuulize, wewe kuchukua data kutoka kwa huyo sijui yericho!! hivi huyo jamaa yako anafanya kazi ktk kamati ya kuratibu sense nchini!!
Unapotoa data kama hivi lzm uwe na reliable source itakayothibitisha madai yako!!
Ritz ametoa data zilizoko serikalini! wewe na huyo mparokia mwenzako ni kututolea vitu kutoka kichwani mwenu!!na ili kukazia hizo data zako, unatuletea mifano ya kurusha rockets na kupima chupi!!
Sasa unategemea unaweza kuleta valid argument kwa mifano ya ajabu ajabu kama hii!
hebu tazama mfano wa statistics ya population hapa!
The Tanzania National Website
Sasa kwa sababu we ni msomi wa masuala ya rockets na hizo chupi! labda utwambie hio source yako ya kutuandikia population ya 5 to 10 million people in dar only!! umeipata wapi??
Kijana bado unajitekenya na kucheka mwenyewe bado hujajua watu kwanini wanalalamika
kuhusu "mfumo kristo" wewe ni rastafari sasa haya mambo ya mfumo kristo sijui wewe
yana kuhusu nini au ndio urastafari nyuma ya pazia la "UKRISTO"
kama wewe sio Muongo tueleze kwenye Kitabu cha Padri Sivalon kaeleza nn jinsi Mfumo Kristo ulivoandaliwa kwa kuwa ni lazima ujuwe hoja zao ndio ujuwe ku Clash? Vitu kama hivi peleka Face book hapa utaumbuka eti Reserch kwa kutembelea maduka ya kariakoo nini kilikufanya usitembelee Necta kujua Tangu kuanzishwa kwake linaongozwa na kina nani na vitengo vyote vikoje unakimbilia kuhoji dini za madereva wa Wizarani.pengine hii tafiti ilikwenda sambamba na ile tafiti feki iliyosema mko 64% mlipoombwa uthibitisho mkajificha! Tutajie lini CAG alikagua Pesa za walipa kodi zinazokwenda Makanisani kwa mgongo wa MOU kujiridhisha matumizi yake, tutajuaje kama kodi zetu zinanunulia Misalaba na biblia!
Mkuu Nicholaus Mfalme Suleiman anafundisha juu ya hekima.Lazima tutambue jinsi ya kuishi na watu mbalimbali.
Wapi Allah kaitwa BABA kwenye Koran?
Hivi Yesu amuite Mungu "BABA" kwa mamlaka gani?
Kwanini Breathless Muhammad hakuwai muita ALLAH "BABA"?
Yesu katumwa na BABA!!, hivi walikutana wapi hawa na kupeana hii kazi? Kwanini Yesu amuite Mungu "BABA" lakini Breathless Muhammad hakuwai kumuita ALLAH BABA?
Hivi ALLAH na yeye ni BABA? Kama Allah si BABA kwanini Waislam wasema Mungu wa Biblia ambaye ni Baba ni yule yule na au ni ALLAH wa Koran ambaye si Baba?
KUMBE ALLAH SI MUNGU.
waislamu hawajafundishwa upendo ndio chanza kikuu cha malalamishi
Wakristu na Wayahudi ndio waliofundishwa upendo na unafiki. Nje wakihubiri upendo ndani wakipanga mipango ya kuangamiza waislam. Shame upon you.
Unafiki ni tabia ya binadamu dhaifu yeyote..hakuna mafundisho ya unafiki ktk Ukristu..soma vyema Biblia halafu uje na ushahidi wapi hayo yanafundishwa.
Kweli angekagua hata machinjioni kujua nako balance ikoje
PIA CAG ANGEKAGUA NA ZILE ZILIZOTOLEWA KUPELEKA WATU HIJA.
IDADI YA WAKRISTU INAJULIKANA MFANO RC HUFANYA SENSA KTK JUMUOA ZAO KILA MWAKA
Wacha upuuzi wewe umemfanya YESU ni mali yenu wakati kwenye QURAN yanaelezwa maisha ya mama yake mariam-Kwanza nikurahishie tena ndugu yangu..kwani naona umekuwa serious kuelewa na si kutupia kashfa inga mwinoe pia unasupport kashfa.
Kwanza ukishaita kitu kashf aumekiaharamisha hapo hapo kwa kinya chako..Pili Hao wamissionary walitumia kashfa walikosea au walikashifu pabli things ambacho hakikuw ana mteteau au mipaka..mfano naweza sema .."Fisi ni mchafu na mbaya sana..." naweza nisilaumiwe kabisa.
Well, back to haya Mara nyingi waislam huchanganya mambo yao na vurugu nyingine km kuchoma kanisa, na vitu vingine vinavyohitaji polisi ku act intsantly ili kuzuia fujo na kuwa wa kwanza kulifikisha mahakamani.Kufikisha suala mahakamani kuna njia nyingi sana.
Suala la Yesu kuwa si Mungu ni relative na mwenye nia njema hastahili kuhubiri hilo....yaani ni km Wewe kwenda kwa mtu kumwambia anachokula si chakula..wakati anakula huo utakuwa wendazimu ninaokuambia.Au kumwabia huyo mke wako si mke....Na wala msijidanganye kuwa kuwa concept ya mungu moja ni lazima awe mmoja kwa wote...watu wanaoa Mke mmoja ila kila mtu ana wake...watu wana pua moja ila kila mtu ana pua yake..Sasa mwenye mke anayefanya yanayostahili ni jingine.Hapo ndipo shida ya islam inapoanzia.
Shida ingine kwa uislam ambayo wanazuoni wengi wameshindwa isolve ni kwamba uislam unaamini kuwa wenyewe ndio pekee sahihi kwanza, halafu mafundisho yao moja kw amoja ni kashfa kwa dini nyingine ambzo imazitaja moja kwa moja....na wenyewe hautaki wao kutajwa popote bila kuwaita wengine wamekufuru....Kwani ni lazima waislam whubiri kuwa yesu si Mungu na si kusema Mungu wao anaitwa Allah, na shurti waislam kumwabudu yeye tuu?Na ikitokea waislama kuuliza na Yesu vipi wakjibu kuwa si Mungu wao, ila wakristu wamwabudu..na mchezo ukaisha?
BY the way nadhani hadi hapo umeshaona Kuna YESU NI NENO NA NEMO LA MUNGU HUUMBA..MUNGU HULITUMIA KUUMBA.AKISHALITO ALINAKWENDA FANYA KAZI ZOTE ALIZOKUSUDIA.UMEONA KUWA YESU SI NABII/MESSENGER ILA NI MESSAGE YENYEWE(NENO LENYEYE).NDILO LILIOUMBA...kutokea hapo nadhani unaweza balance fikra zako wakristu wanaposema kuwa Yesu ni Mungu wao....na uwaachie Mungu wao km hawezi kuwa wako.Km ilivyo kwa baniani na masanamu yao.Na wewe jifunze zaid kuhusu allah na kumfuata yeye.Hii waislam kuleta fujo ktk vitabu vye wengine ni mazingira ya viumbe wajanja sana majinn kuleta shida.....
Mimi ni rasta fari, wewe ni Muislamu na yule ni Mkristu,
Lakini wote tunaishi Tanzania,
Hoja hapa ni Tanzania kuwepo katika mfumo flani wa kidini,
Hata angekuja muyahudi bado angetafiti kama mtanzania sio vinginevyo!
Vipi mkuu, una swali ama hoja kutokana na tarakimu hizo hapo juu?