UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.

haki ya mungu nyie wagalatia sijui mna nini!
yaani we unaona mimi sina maana kuosha uso wangu na maji kabla ya kuabudu??
hebu tuliulize andiko! je kuna walionawa na kuosha nyuso na miguu yao!

au walikunywa damu tu ya yesu!!

Kutoka 40: 30-32, Mose aliweka birika la kutawadhia katikati ya hema na kutia maji ya kutawadha. Mose, Aroni na wanawe wote walinawa mikono na miguu ya humo walipoingia ndani ya hema.


halafu ngoja nikuongeze kidogo!


wewe ukiingi kanisani kunywa hiyo damu huwa unaswali vipi?? unakaa kwenye mabenchi sio!! halafu unaomba sio?? hebu tazama andiko linakufundisha vipi yesu aliswali!!


“Kisha Yesu akaenda pamoja nao bustanini Gethsemane, akawaambia wanafunzi wake, ‘Kaeni hapa nami niende pale mbele kusali’…Basi akaenda mbele kidogo akaanguka kifudifudi, akasali” (Mathayo 26: 36 – 39). Naye Abramu akasujudu (Mwanzo 17: 3). Yoshua akainama chini akasujudu (Yoshua 5: 14). Naye Elia akapanda juu ya mlima Karmeli, na huko akainama hadi chini na kuuweka uso wake katikati ya magoti yake (1 Wafalme 18: 42).

haya mgalatia, na wewe unatakiwa uanguke kifudifudi kama waislamu na kama yesu!
Hawaisomi Biblia hawa,huwa wanapewa vifungu maalumu vya kusoma na hadithi za watu wa kale,lakini kwenye mafundisho wanafichwa.
 
Kama amekopi,mbona,hakupigiliwa misumari,na akatandikwa mijeledi,ila yeye Muhammad,alikuja kukanusha tendo hili la Yesu kudhalilishwa,na kusema hakufanyiwa tendo ovu hilo.Someni,acheni tabia ya kutafuta vyeti fake,halafu mwasema mumesoma.

Sasa ukisema hakudhalilishwa wakati namdahlilisha itasaidi nini ku boost dini yako?Suppose nakuambia umeshind ahapa nini utakuwa umethibitisha?

Kwa akili yenu kumdhalilisha Yesu kutaaua Ukristu na kuinua uislam...Yesu alishinda fikra za Wayahudi waliokuwa na akili kuliko islma ambayo haijawahi ipa dunia anyathing useful.
 
hii ya kunywa damu ya yesu na kula mwili wa yesu ilitokana na dini za kipagani watawala wa roma wakaingiza kwenye maandiko.sasa wanaofanya ibada ya kunywa damu ya mtu sijui ndo wana maanisha nini.
kunywa damu na miili ya watu!!inatisha
 
Huwezi kuuita huu udhalimu kuwa ni values!
Kumbuka hii nchi si yenu peke yenu!
And more over waislamu ni wengi kuliko hao wanywa damu ya bwana!
Mnapoleta hii mifumo yenu mpaka kwenye nyumba za kulala wageni!
Iko siku yatawatokea puani!

We unanipikia kiti moto mtaani kwangu na kupiga miziki kwenye baa mpaka saa saba usiku halafu unaita Christian values!
Kudadeki!

-Kwanini usingetumia hiyo logic kujiuliza zile spika nje zinawafurahisha wengine?

-Tendo la Kugeuza mkate na divai kuwa mwili na damu ni Amri ya kumkumbuka yeye....sijui kinakuuma nini.

-By the waya Damu ya Mkristu tuu ina dhamani sana kwa majinn kuliko ya muislam ambaya tayari ni mali zao.Achilia mbali Damu yenye dhamani kubwa ,Damu inayoweza lipa kila deni la Shetani.
 
Mi siwezi kuendelea kubishana na wewe maana wakati wewe na wenzako mnasubiri tende za bure na nyama za ngamia (ule msimu wenu ukifika) ili mchakachue, wale mnaowalalamikia wanajenga mashule na mahospitali!

Wakati nyie mnagombana kumuondoa mufti, na kutuhumu wenzenu kuwa waliuza viwanja ambavyo inasemekana vilikua mali yenu, wenzenu wananunua viwanja kule mnakoona ni maporini na kuvipima ili kuvimilliki kihalali!
..btw,hivi ulishajiuliza kwa nini viwanja vingi vya makanisa havina migogoro?!

Wakati 'mkikomaa' na Baraza la Mitihani eti ili kumuondoa Katibu kwa madai kuwa elimu ya kiislamu imehujumiwa kwa wanafunzi ambao wamefeli masomo mengine pia hadi lugha yao ya taifa, wenzenu wanafanya mikakati ya ufaulu kwa kuajiri walimu zaidi na wanajenga maabara za masomo ya sayansi ili kuwezesha kujifunza kwa vitendo.

Sasa katika hali kama hii kutegemea mlingane utakua ni muujiza wa tisa wa dunia!!

Mkuu asante sana kwa maoni yako murua,

Kama ndugu zetu wanayasoma haya basi kwa hakika nawaomba wauzingatie
 
Mi siwezi kuendelea kubishana na wewe maana wakati wewe na wenzako mnasubiri tende za bure na nyama za ngamia (ule msimu wenu ukifika) ili mchakachue, wale mnaowalalamikia wanajenga mashule na mahospitali!

Wakati nyie mnagombana kumuondoa mufti, na kutuhumu wenzenu kuwa waliuza viwanja ambavyo inasemekana vilikua mali yenu, wenzenu wananunua viwanja kule mnakoona ni maporini na kuvipima ili kuvimilliki kihalali!
..btw,hivi ulishajiuliza kwa nini viwanja vingi vya makanisa havina migogoro?!

Wakati 'mkikomaa' na Baraza la Mitihani eti ili kumuondoa Katibu kwa madai kuwa elimu ya kiislamu imehujumiwa kwa wanafunzi ambao wamefeli masomo mengine pia hadi lugha yao ya taifa, wenzenu wanafanya mikakati ya ufaulu kwa kuajiri walimu zaidi na wanajenga maabara za masomo ya sayansi ili kuwezesha kujifunza kwa vitendo.

Sasa katika hali kama hii kutegemea mlingane utakua ni muujiza wa tisa wa dunia!!

We ndio ktk walewale wanaofuata bendera kama upepo!
Suala la kutaka kuwaondosha hao wanaojiita mamufti!
Hio ni moja ya mfumo kristo kuweka watu kt dini yetu na hao watu kuwa ni vikwazo vikubwa ktk maendeleo ya waislamu! Na migogoro ya viwanja na mingine yote inaletwa na watu hao ambao wamengizwa na wanalipwa na mfumo kristo kuja kugawanya waislamu!

Halafu wacha uongo!
Makanisa yana migogoro vilevile na istoshe makanisa yanamilikiwa na watu binafsi tofauti na miskiti!
Msikiti ukijengwa unakuw mali ya waislamu wote sio mtu binafsi!


Kwa hiyo tofauti hizi ndizo zinazosababisha matatizo lkn tunaanza kwanza na MFUMO KRISTO! Maana huu ndio kikwazo kimoja kikubwa sana.
Tukimaliza huko ndio tutakuja bakwata na kwengine.
 
Hujui usemalo kachambe uwape majinn mavi..ukiingia usisahau wapigia hodi majinn....uwaombe kuingia...


Nimekuambia wachungaji hawana sanamu ya Bikira Maria..hujaelewa kwa vile umekaririshwa usivyovijua....Na hta nilivyokujibu hukujua.CUF walichemka hivyo na nilikuwa mtu wa kwanza kuweka hap JK uhuni wa CUF kuweka mchungaji bandia....

BY the way Wakristu wana nguvu ya kifikra na kiroho ambayo waislam hawana....Ndio maan waislam wanaweza washa na kutumwa kwa maneno tuu wakageuka kuwa wanyama waharibifu.....Kudhalilishwa na kukashfiwa alikofanyiwa Yesu ,Mohamed na wafuasi wake hawawezi withstand........

Ndio maana mnaona raha kudhalilisha,kufanyia mizaha wengine.......ila katuni moja ya Mohamed..dunia itawaka moto...kind of funny...
Ni kweli Mchungaji Anthony Lusekelo Mzee wa Upako anafunga majini.
 
Eeeehhh kumbe kuna step makubwa na kwanini Yesu ambae ni mungu asiwaangamize wale waliokuwa wamemtundika
pale msabani wakati yeye mwenyewe amewaumba? huyu mungu atakuwa mzembe sana kiumbe amuumbe mwenyewe halafu
huyo huyo kiumbe amuadhibu aibu"shame on you"

Awaangamize.....kwanini wakati kaja lipa deni?Unawezaje lipa deni la mwanao halafu umwangamize anayedai?
 
Hata kama profesa mkristo hujuwe hana hoja za msingi juu ya uungu wa yesu ukimuliza baada kufa yesu dunia ilibaki na nani muda wa siku 3

Mambo mengine wanayaona wenye rehema za Mungu, ndio maana is kila mtu anaweza pata theory of relativity....
 
Haha kwanini hukutaka jibu haya amabyo ndio msingi wa alichochangia Yericko?


-Majinn hayatumii mavi na Damu?
-Je waislam hawayafugi n akuwa nayo?
-Mnapata wapi damu ya kuwapatia au wenywe wana jihudumia damu wapi?

wale wacatholic na waprotestant,wanauwana Ireland ya kaskazini ndio wanatoa damu kwa majini?Au yule Kibwetetre,aliyeua maelfu ya waumini wake,akawafungia kanisani na kuwachoma moto,au Lord resistance Army,ndio wanatoa damu kwa Bwana?Au kina Charles Taylor na kina Savimbi,na kina John Garang,wote hawa walikuwa wakitoa damu kwa majin .
 
-Kwanini usingetumia hiyo logic kujiuliza zile spika nje zinawafurahisha wengine?

-Tendo la Kugeuza mkate na divai kuwa mwili na damu ni Amri ya kumkumbuka yeye....sijui kinakuuma nini.

-By the waya Damu ya Mkristu tuu ina dhamani sana kwa majinn kuliko ya muislam ambaya tayari ni mali zao.Achilia mbali Damu yenye dhamani kubwa ,Damu inayoweza lipa kila deni la Shetani.

Andiko lako linakwenda tofauti na AMRI YA SERIKALI YAKO! JE! Unajua hivyo!?
Au nikufundishe kidogo! ?

Halafu unasema "damu ya yesu imelipa deni la shetani"

Sasa unataka kusem kuwa shetani alimdai mungu deni!
Halafu mungu akaamua kumuua mtoto wake mpenzi na wa pekee ili amlipe shetani ambae pia kaumbwa na huyohuyo mungu!!?
Hivi kweli nyie huwa mnatumia vichwa kufikiri?
Yaani wewe unamtoto mpendwa tena wa pekee! Halafu unadaiwa! Ukaamua umuue mtoto wako ili ulipe deni!
Hio si laana hiyo! Mi niko tayari kufa nimuokoe mwanangu! Huyo mungu wa biblia kama kashindwa kumhurumia mwanae, KWELI ATAKUONEA HURUMA WEWE MCHAGA!? ASIYE HATA KUJUA??
 
We ndio ktk walewale wanaofuata bendera kama upepo!
Suala la kutaka kuwaondosha hao wanaojiita mamufti!
Hio ni moja ya mfumo kristo kuweka watu kt dini yetu na hao watu kuwa ni vikwazo vikubwa ktk maendeleo ya waislamu! Na migogoro ya viwanja na mingine yote inaletwa na watu hao ambao wamengizwa na wanalipwa na mfumo kristo kuja kugawanya waislamu!

Halafu wacha uongo!
Makanisa yana migogoro vilevile na istoshe makanisa yanamilikiwa na watu binafsi tofauti na miskiti!
Msikiti ukijengwa unakuw mali ya waislamu wote sio mtu binafsi!


Kwa hiyo tofauti hizi ndizo zinazosababisha matatizo lkn tunaanza kwanza na MFUMO KRISTO! Maana huu ndio kikwazo kimoja kikubwa sana.
Tukimaliza huko ndio tutakuja bakwata na kwengine.

makanisa yapi hayo unaongelea..tupo hapa wakristu hembu jifanye mwalimu wetu vizuri..hadith ni umbea na ndizo nguzo yenu:

-Unaongelea catholics?catholics kila kanisa ni ubalozi wa vatican, na unapewa leave ya vatican, Anglican,Lutheran...yana taasisi za kitaifa na kimataifa..sas huo ubinfasi upi.Makanisa mengine ya kipentecoste ndio yana watu binafsi ila yamesajiliwa kitaifa na yana body ya wadhamaini km taasisi....

Sijui misikiti ina nini?
 
Mkuu Yericko Nyerere unanisikitisha sana kwa swali lako hili......Najua wewe unajua nyema.....Kwani "Kanisa" ni mkusanyiko wa watu kwa ajili ya ibada ya kikristo na "Waamini wa Kanisa" ni wale wote Waamini Kanisa hata kama hawakusanyiki...........
Naomba ujibu swali hili moja tu, ili twende sawa kwa hoja

Je upendeleo huo linapendelewa "kanisa" au waamini wa kanisa?
 
kunywa damu na miili ya watu!!inatisha

Eti wao wanaona kuinywa hiyo damu ndio mapenzi!
Khaaaaa ptu!
We baba yako auwawe kwa kupigwa risasi!
Halafu eti uvae kabastola kadogo shingoni kukumbuka kifo chake!
Haitoshi hio unywe na damu pia??
Hii si bangi mbichi hii??
 
Wewe usieandika pumba mbona hujibu hoja zaidi ya ku criticize hoja za wenzako??
Au leo mbege imezidi ukali??

Ulichoandika ni self critical..kwani unadhani una akili timamu?Wale viumbe wa ajabu wanawadanganya sana.
 
Haha kwanini hukutaka jibu haya amabyo ndio msingi wa alichochangia Yericko?


-Majinn hayatumii mavi na Damu?
-Je waislam hawayafugi n akuwa nayo?
-Mnapata wapi damu ya kuwapatia au wenywe wana jihudumia damu wapi?

wale wacatholic na waprotestant,wanauwana Ireland ya kaskazini ndio wanatoa damu kwa majini?Au yule Kibwetetre,aliyeua maelfu ya waumini wake,akawafungia kanisani na kuwachoma moto,au Lord resistance Army,ndio wanatoa damu kwa Bwana?Au kina Charles Taylor na kina Savimbi,na kina John Garang,wote hawa walikuwa wakitoa damu kwa majin .

its obvious nimewashika..na hapo ndipo source ya evil in islam ......
 
Huwezi pata picture kwa fikra za kiislam...mohamed alicopy tuu sifa za Jehovah ila hakuwa hata na clue maana yake nini....ndio maana si yeye wala nyingi mnaweza tambua ktk sifa za Mungu za kuwefa fanya mamabo mengi, ktk sehemu tofauti kwa pamoja.

Muhamad s.a.w hawezi kumuongelea yehova hata siku moja!
Kwa mujibu wa imani yenu. Yehova alimpenda mwanae mpaka akamtoa kafara msalabani.
Na kukaa karibu n yehova ni kutafuta kifo kibaya tu!
Sasa wee kama una hekima kidogo basi kaa mbali na yehova!
He is a child killer!
 
kama neno lilikua limeandikwa lingetimia tu,hakukuwepo ulazima wa kujifichaficha,binadamu hangeweza kuzuia mipango ya mungu,kwanini ajifiche?.

Kwanza. Katika kujadili ili, ni budi kuwa na ujazo wa Roho Mtakatifu ili kuelewa mafundisho haya. Bila hivyo inakuwa ni vigumu kuelewa mafundisho ya Biblia Takatifu.

Pili, maisha na matendo ya Yesu Kristo aliye Masiha, yalikuwa yameshatabiriwa na manabii kabla ya ujio wake. Hivyo Kristo alikuja kuyaishi yale yaliyotabiriwa. Kwa mawazo yako yaliyokosa Roho Mtakatifu huwezi elewa. Pole.

Hata baada ya kusemekana kafufuka alikua anaonekana kwa machale sana,akìhofia kuonekana whyyyyy?.

Alipofufuka, Kristo alirudi katika hali ya Utukufu wa Kimungu na si katika hali ya kibinadamu.

Yesu akifundisha kwenye sinagogi,sinagogi wanaabudi judaism sio christian,ndo kusema alishindwa hata kuanzisha kanisa la maturubai la kuabudia wafuasi wake.?

Huko ndiko palipokuwa na wale ambao hawakuamini. Kumbuka Kristo aliye Masiha alikuja kwa ajili ya wenye dhambi na walio wakosefu.

Pia, kanisa siyo jengo tu! Kanisa ni Roho. Kila aliyemwamini na anayeishi mafundisho ya Kristo, Roho yake ndiyo Kanisa; mahala anapoishi Yeye aliye Kristo. Pole kama umekaririshwa kwamba kanisa ni jengo; ndiyo maana mnachoma majengo ya makanisa mkidhani mnakomoa wakristo!!

jibu ni kuwa hakua mkirsto,ndo maana hata wakristo wakaja kuitwa hivyo pale antiokia kwa juhudi za paul.

Nimeshakuekeza, ukristo ulianzia Yerusalemu pale Yesu Kristo alipowaachia wafuasi wake wa mwanzo (wakristo wa mwanzo) Roho Mtakatifu ili awaongoze na kuwaangazia. Kisha likaenea hadi kwetu Ng'hwalo gwa baghole.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom