UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Wacha kujitoa ufahamu sisi tumeambiwa tujadiliane na nyinyi kwa adabu na wala huwezi kukuta mahali muislamu
anamtukana Yesu lakini nyinyi wagala ndio kazi yenu kutukana endelea na matusi yako kwasababu wewe sio wa
kwanza kutukana.
 
kwa jinsi magaid wanavyobrush maswlai magumu kwao, na kukausha wanapojibiwa ni wazi hawa ni zombies na hawajui wanatka achieve nini hapa.
 
haha..ndio majibu ya maswali hayo...?kweli ipo taabu.Wachawi huwa hawana sababu ya kulinda uchawi zaidi ya utumwa...shetani akishikili hakuna ujanja.....kachore uso kuwatisha majinn.

Huna swali ambalo hujajibiwa wewe!!

Mimi nimeshakudharau kwakua huna hoja bali blah blah tu!

Sana sana naweza kukushukuru kwa kuja na kujitahidi kujibu yale yaliyokwenye upeo wapo!

Ahsante sana kwa kushiriki, karibu tena!

Mwingine mwenye kuweza kujibu hoja kwa hoja naomba akaribie!
 
Yericko Nyerere, mkuu endelea na mambo ingine .Otherwise tutangaze kuwa utafiti wako umeondoa myths...myths zipo nyingi sana na watu huamini kirahisi kwa kuchukulia vitu for granted ,kwa kutofanya utafiki(uvivu), au wahusika w akutolea ufafanuzi wana maslahi ndani na hivyo kuacha au kuzidi potosha makusudi.

Mfumo Kristu ni ubunifu wa waislam ku blackmail serikali na wakristu....
 
haha..ndio majibu ya maswali hayo...?kweli ipo taabu.Wachawi huwa hawana sababu ya kulinda uchawi zaidi ya utumwa...shetani akishikili hakuna ujanja.....kachore uso kuwatisha majinn.
Hivi unapozungumzia masuala ya majinn kwa waislamu si utuletee ushahidi wapi katika kitabu cha waislamu
kina kubali mambo ya ushetani na uchawi mbona kuna wakristo wachawi kwani unahukumiwa ukristo au
aliyefanya uchawi baba askofu punguza jazba m PM mleta mada akusaidie naona anatoa macho tuu online!
 
Wacha kujitoa ufahamu sisi tumeambiwa tujadiliane na nyinyi kwa adabu na wala huwezi kukuta mahali muislamu
anamtukana Yesu lakini nyinyi wagala ndio kazi yenu kutukana endelea na matusi yako kwasababu wewe sio wa
kwanza kutukana.

Hana hoja huyo mkuu!

Si umeona kila unapomwambioa atoe andiko amebaki kuruka ruka tu kama kakanyaga moto!

Mimi nimeshamdharau tayari, labda atokee Mchungwaji mwengine tunaweza endelea nae hoja kwa hoja!
 
Umeamua kurudi kwenye mada eeehhh kule maji marefu baba askofu huyawezi sana sana
mwambie Yericko akimbilie kwa mods mnakasha ufungwe huna lazaidi kakojoe ukalale usingizi unakusumbua!
au kama umekasirika fanyahivi :smash:
 

upo tayri kuandika millions wa useless words, kujikuza ,kufanya mizaha, etc...lakini si kujibu swali kwa vile huna jibu wala swali lenye maana.....

"NI MAJINN TUU NDIO WAMEDEMONIZE ISLAM"....HAMJANIJIBU WANAPATA WAPI DAMU....NAJUA MNAJUA MAJINN KW AKUWACHEZEA TRICKS...WENGI HUWA MNAAMINI VITU VISIVYO ILI MRADI TUU MSIWEZE FIGURE OUT TATIZO NI NINI..KILA SEHEMU ISLAM INASEMA KUWA ADUI ANAYEACHUKIWA,ANAYEWANYONYA..CONSIPRACY THEORIES NI BIDHAA ADIMU NA ZENYE THAMANI KTK DUNI AYA KIISLAM....

HADITH NI UMBEA NA NDIZO NGUZO KUU KTK UISLAM.....BIL HADITH KURANI HAISOMEKI .....NA MAJINN NI WAMBEA NUMBER 1.WANAOCHUKUA UMBEA KWA KUSIKILIZA MAZUNGUMZO YA MALAIKA HALAFU WANAKUJA WAPA WAISLAM HABARI..KWANINI MSIWE NA TWISTED STORY ZA KILA KITU..NI QURAN NDIO INASEMA HAYO KUHUSU UMBEA WA MAJINN.

SIKU ZOTE MTAKUWA WATU WA KULISHWA UMBEA NA KUJENGA UMBEA.
 

Mkristu mchawi au gaid hana uhalali ktk Injil, ila muislam mchawi na mganga anaweza kuwa imanu, na gaidi ni mtakatifu..
 
ondoa uongo wako hapa, udini unakusumbua tu wewe wala si lingine!
 
Umeamua kurudi kwenye mada eeehhh kule maji marefu baba askofu huyawezi sana sana
mwambie Yericko akimbilie kwa mods mnakasha ufungwe huna lazaidi kakojoe ukalale usingizi unakusumbua!
au kama umekasirika fanyahivi :smash:

sasa kuna haja gani kuongea na zombie...hamjajibu hoja ya Yericko, mkishajibiwa hamna ujasiri wa ku admiti jibu mmeapata, mnahamia ktk upuuzi mwingine,mkiulizwa maswali mnasepa....sasa si tutakuwa vichaa km nyinyi tukiendela na upuuzi.


kila matu ameshajua shida hapa ni majinn na nature ya umbea ktk uislam..unaoanzia ktk hadith..sijui nani alisema kuwa aliezwa na fulani ambaye alisema alimsikia mtume akimwambia mfuasi wake aliyemletea mavi makavu badal aya jiwe ili achambe.......

Duh..sound kama viumbe wasio binadamu km story ambayo haina aliyeshudia ila yupo tayari toa ushahidi..hat waislam wenyewe imefikia mahali wanawekeana masharti hadihi zipi za kuamini na zipi lah.
 
Mkristu mchawi au gaid hana uhalali ktk Injil, ila muislam mchawi na mganga anaweza kuwa imanu, na gaidi ni mtakatifu..
Kwa ushahidi upi hebu nionyeshe kwenye Quran hayo mambo yanaruhusiwa uislamu ni hoja
sio mambo ya kupelekwa kibubusa kama kanisani na nilisha kueleza toka mwanzo kwenye
uislamu kila kitu kinahitaji dalili zenye mashiko sio nyie kila mtu nabii mara kuna mtume pale
manzese anaitwa mtume Thobias makubwa sijui huu utume kaupataje pataje maskini ya mungu!!
 
hahaha,baba mchungaji bana,una maneno kwelikweli,sasa hebu nambie mchungaji nicolaus,ni nini faida ya yest kufa msalabani kama wokovu wake umeshindwa kufanya kazi hadi tena watu wafunge na kuomba.

Huo wokovu umesaidia nini hasa?
 
Kamanda naona usingizi umekukamata kweli umekesha JF teh teh teh teh! unataka kukimbia tulia jamvini tukupe dawa.
 
Kitabu ambacho hakizuiwi,ni kile kinachotangaza mauwaji,ndio papatikane uokovu?Mtu kateswa na kauliwa,nyinyi mwasema ni uokovu.Quran ndio iliyokuja kusafisha njia
...Walisema:sisi tumemuua Masihi Iysa,mwana wa Maryam,Mtume wa mwenyezi Mungu-nao hawakumuuwa wala hawakumsulubu,bali walifananishiwa tu...
Qur-aan,4157
Kama kweli tendo la kusulubiwa Yesu ni zuri,Mbona Yuda,aliyefanya mpango wa kusulubiwa kwa Yesu,anaitwa msaliti.Kama ingekuwa ni tendo zuri,Yuda awe wa kwanza kupokelewa mbinguni.Lakini ukristo umemwita Yuda msaliti,na wala ndani ya ukristo hna utakatifu wowote.Tafakari,chukuwa Hatua.
 
Kweli wewe ni mjinga mnene yaani wewe unaona kuna la maana ameandika huyo Yericko dah wagalatia bwana
hebu nionyesha lamaana ambalo linahitajika kujibu kwenye huo upuuzi hapo juuu
 
Mkristu mchawi au gaid hana uhalali ktk Injil, ila muislam mchawi na mganga anaweza kuwa imanu, na gaidi ni mtakatifu..
Nakushauri waambie jamaa zako wakutafutie tiba una matatazo makubwa katika ubongo.

Kuna kitu kinaitwa Neurologically kimekufa hiki ndiyo kinaleta mawasiliano baina ya moyo na ubongo.
 
Kamanda naona usingizi umekukamata kweli umekesha JF teh teh teh teh! unataka kukimbia tulia jamvini tukupe dawa.
Ha ha haa mkuu Ritz umemuona eehhh Yericko habanduki kakaa kimya anamuachia kamanda mwenzake
na mimi najua Yericko kwa haya mambo ni mweupe hawezi tia pua atabaki kuchungulia tuu Rastafari mnafiki.
 
kijana mm ckubliani na utafiti wako alafu ukiungumia mfumo kristo ujue maudhui pana sana ilikupasa kwana uuonyeshee 'historical background" ya mfumo kristo wa kuangalia kitu kama muasisi wa mfumo kristo, mwaka ulioanzishwa. alafu kitu chengine kwa bahati nzuri kumbe na ww upo online tena ndaiya uzi naomba nitajie muasisi na mwaka ulioanzishwa alafu mm ntakuulixa vitiu kupima uelewa wako juu ya mfumo kristo:hatari:
 
Kwa hiyo mfumo mzima wa hiyo dini,umesimama juu ya Shetani?Maana bila shetani kulipwa deni lake,hiyo dini isingekuwapo?Wala uokovu usingekuwapo?Mnajichanganya sana.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…