crabat
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 4,323
- 2,207
utafiti wako hauna maana ...yoyote...kwani tuhuma hizi zinalengwa kwa serikali yenyewe hata kama rais na mawaziri wawe ni waislam ..ni mfumo ambao umeshajengwa na kuota msingi ...ni utendaji wake
sio suala la biashara za kariakoo au idadi ya wanasiasa
ni msingi ulijengwa na wakoloni na baada ya uhuru nyerere hakuweza kuuondoa bali aliu zidisha
mfumo huu una athiri utendaji
uajiri aliyepo kuajiri anangalia zaidi dini yake kwani mfumo unamwelekeza yeye afanye hivyo aangalie watu wa dini yake kwanza
hapa hatuangalii uhusiano kati ya watanzania na dini zao bali ni utendaji wa serikali
nenda wizara zote,
kilimo
afya
mawasiliano
fedha nk
huko ajira inatazamwa zaidi dini yako na kabila lako...
hivo mfumo upo serikalini...na imekua ni tabia ya wenye kuendekeza huo mfumo kutumia nafasi zao kupendelea upande wa dini yake
ndio maana taifa limezama kwa umaskini , lipo katika tope la lindi la umaskini kwa vile sifa muhimu ya mtu kuajiriwa serikalini ni dini yake.....leo tumeua mashirika yote kabla ya ujamaa kufa
ATC
RELI
RTC
USHIRIKA
VIWANDA VYA KAHAWA, KOROSHO, PAMBA,PARETO BANKI ZA
NBC
CRDB YA KWANZA
THB
NIC
BANDARI
NA MEMGINEYO YALIKUFA KUTOKANA NA UBADHIRIFU MKUBWA LAKINI MFUMO ULILINDA WATENDAJI WALOHUSIKA...
NA PALE TAASISI IKIONGOZWA NA MTU AMABYE HAFUATI MASHARTI YA MMFUMO BASI HUANDAMWA
SASA HAYA MATUSI , UISLAM HIVI NA VILE HAUSADIII KUONDOA TATIZO LILILOPO
NA TUHUMA HIZI NI NZITO NA WANATUHUMIWA NI SERIKALI NA WATENDAJI WAKE...LAKINI SERIKALI IMEKAA KIMYA ,..KUASHIRIA NI KWELI YANAYO FANYIKA. MAKANISA HAYAJA TUHUMIWA MOJA KWA MOJA...NA WAO KUKANUSHA KUWA HAKUNA MFUMO SIO SAHIHI ..WAPASAO KUJIBU NA KUFAFANUA NI SERIKALI YENYEWE NA KUPITIA MAWAZIRI WAKE NA WAKUU WAKE WA IDARA TOFAUTI NA SIO MAPADRE
HUMU KUNA WATU KAZI YAO NI MATUSI..KUTUKANA NDIO JADI YAO...Y.NYERERE AMELETA MADA HII NADAHANI KWA NIA NJEMA NA SIO WATU KUTUKANA NA KUDHARAU....
KITU KIMOJA LAZIMA WALE WANAOTUKANA WAISLAM WATAMBUE..FUJO ZOZOTE ZILE ZIKITOKEA NA IKALAZIMU HAO MABWANA ZENU WAZUNGU KUINGILIA USIZANI WATAKUJA KAMA WAKRISTO ..HAPA WATAKUAJA KUTUTTWANGA BILA YA KUJALI DINI YAKO YA UKRISTO...WAO WANAJALI ZAIDI MASLAHI YAO..MUUNGU KWAO NI KAMA FOLITI TU....
KULE IRAQ WAKATI WA SADAM KULIKUWA NA WAKRISTO HURU KABISA ZAIDI YA MILION MOJA SASA HATA ELFU MBILI HAWAFIKI......NA HAWA WAZUNGU WALIWAPIGA WAIRAQ ..BILA YA KUJALI HUYU NI NANI
NA SASA HIVI PALE SYRIA KIJIJI KIZIMA CHA WAKRISTO KIMEZUNGUKWA NA AL QAEEDA NA HAO WAZUNGU HATA PRESSA HAWANA..KWAO MASLAHI YAO NI ASSAD AONDOKE HATA AKIONDOKA NA ROHO ZA NANI
HIVO NIMELETA MIFANO HII ....MUACHE UJINGA WA KUTUKANA NA KULETA DHARAU KWA KILA JAMBO LA MAANA LINALETWA KWA WANA FORUM KUJADILI .....
sio suala la biashara za kariakoo au idadi ya wanasiasa
ni msingi ulijengwa na wakoloni na baada ya uhuru nyerere hakuweza kuuondoa bali aliu zidisha
mfumo huu una athiri utendaji
uajiri aliyepo kuajiri anangalia zaidi dini yake kwani mfumo unamwelekeza yeye afanye hivyo aangalie watu wa dini yake kwanza
hapa hatuangalii uhusiano kati ya watanzania na dini zao bali ni utendaji wa serikali
nenda wizara zote,
kilimo
afya
mawasiliano
fedha nk
huko ajira inatazamwa zaidi dini yako na kabila lako...
hivo mfumo upo serikalini...na imekua ni tabia ya wenye kuendekeza huo mfumo kutumia nafasi zao kupendelea upande wa dini yake
ndio maana taifa limezama kwa umaskini , lipo katika tope la lindi la umaskini kwa vile sifa muhimu ya mtu kuajiriwa serikalini ni dini yake.....leo tumeua mashirika yote kabla ya ujamaa kufa
ATC
RELI
RTC
USHIRIKA
VIWANDA VYA KAHAWA, KOROSHO, PAMBA,PARETO BANKI ZA
NBC
CRDB YA KWANZA
THB
NIC
BANDARI
NA MEMGINEYO YALIKUFA KUTOKANA NA UBADHIRIFU MKUBWA LAKINI MFUMO ULILINDA WATENDAJI WALOHUSIKA...
NA PALE TAASISI IKIONGOZWA NA MTU AMABYE HAFUATI MASHARTI YA MMFUMO BASI HUANDAMWA
SASA HAYA MATUSI , UISLAM HIVI NA VILE HAUSADIII KUONDOA TATIZO LILILOPO
NA TUHUMA HIZI NI NZITO NA WANATUHUMIWA NI SERIKALI NA WATENDAJI WAKE...LAKINI SERIKALI IMEKAA KIMYA ,..KUASHIRIA NI KWELI YANAYO FANYIKA. MAKANISA HAYAJA TUHUMIWA MOJA KWA MOJA...NA WAO KUKANUSHA KUWA HAKUNA MFUMO SIO SAHIHI ..WAPASAO KUJIBU NA KUFAFANUA NI SERIKALI YENYEWE NA KUPITIA MAWAZIRI WAKE NA WAKUU WAKE WA IDARA TOFAUTI NA SIO MAPADRE
HUMU KUNA WATU KAZI YAO NI MATUSI..KUTUKANA NDIO JADI YAO...Y.NYERERE AMELETA MADA HII NADAHANI KWA NIA NJEMA NA SIO WATU KUTUKANA NA KUDHARAU....
KITU KIMOJA LAZIMA WALE WANAOTUKANA WAISLAM WATAMBUE..FUJO ZOZOTE ZILE ZIKITOKEA NA IKALAZIMU HAO MABWANA ZENU WAZUNGU KUINGILIA USIZANI WATAKUJA KAMA WAKRISTO ..HAPA WATAKUAJA KUTUTTWANGA BILA YA KUJALI DINI YAKO YA UKRISTO...WAO WANAJALI ZAIDI MASLAHI YAO..MUUNGU KWAO NI KAMA FOLITI TU....
KULE IRAQ WAKATI WA SADAM KULIKUWA NA WAKRISTO HURU KABISA ZAIDI YA MILION MOJA SASA HATA ELFU MBILI HAWAFIKI......NA HAWA WAZUNGU WALIWAPIGA WAIRAQ ..BILA YA KUJALI HUYU NI NANI
NA SASA HIVI PALE SYRIA KIJIJI KIZIMA CHA WAKRISTO KIMEZUNGUKWA NA AL QAEEDA NA HAO WAZUNGU HATA PRESSA HAWANA..KWAO MASLAHI YAO NI ASSAD AONDOKE HATA AKIONDOKA NA ROHO ZA NANI
HIVO NIMELETA MIFANO HII ....MUACHE UJINGA WA KUTUKANA NA KULETA DHARAU KWA KILA JAMBO LA MAANA LINALETWA KWA WANA FORUM KUJADILI .....
