UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Hebu amka ndugu! Usije kufa hali ya kuwa ni kafiri!

Nitakufa katika Bwana, Kristo Yesu aliye Masiha, Mwangaza na Mwongozo wangu. Na aliye NJIA, UKWELI na UZIMA. Nitakufa katika kumwamini KRISTO aliye MSIKIVU na MNYENYEKEVU. Kristo anayetuombea kila sekunde kwa Baba. Kristo apokeaye sala, shukrani na maombi yetu na kuyafikisha kwa Baba.

Sasa hapo kama hivyo ni ukafiri; basi nipo tayari kufa kafiri mbele ya macho ya mwanadamu.
 
Kwahiyo Daudi alipomuua Goliath ulikuwa pia ni ugaidi na ukumbuke mtume Muhamad (S.A.W) makka palikuwa ni kwao
na hao makuraish na wayahudi walikuwa wanamuamini sana na kupeleka amana zao mtume awatunzie kosa likawa ni kuja kuwakataa miungu yao ya sanamu na ndipo walipotaka kumuua na akakimbilia madina sasa hapo kuna amani gani yeye
kuhama kwao kwenda kuishi sehemu nyingine wewe mwenyewe ukiambia uhame hapo ulipo bila kosa sidhani kama utakubali kijana acha kuvamia mambo usiyo yajua kasome vizuri uislamu .

Yaani wewe hata mtume wako humjui kabisa
Wala hujui ugaidi aliofanya

Nenda kajaribu kujifunza vizuri
Hakuna aliekuwa anatunziwa mali na huyo jamaa yako bali alikuwa anapora!
 
Mkuu Yeriko Kama kweli hizi data umezipitia basi umefanya kazi kubwa. sijajua methodology yako lakini nakupongeza
wanaosema mfumo Kristu ni kama wako kwenye ndoto fulani au tuseme kama wale wa "utopian socialism" mifumo ya uchumi an uzalishaji duniani inaeleweka tangu kuanzia Ujima, Utumwa, Ukabaila na Ubepari. kwa sasa tunaweza kuita tuko kwenye mfumo wa ubepari unaozingatia biashara huria (free market) mfumo huu pia umetawaliwa sana na hali ya utandawazi yaani Globalization. tkatika biashara huria mtu huuza au kununua kulingana na soko lilivyo. kwahiyo mu binafsi atataamua afanye nini, azalishe nini, ni ujuzi gani anataka n.k. ili afiti katika soko hili. mfumo wa biashara huria haujali dini ya mtu bali maslahi ya kiuchumi. Sasa dini inahusiana vipi na mtu kuuza na kununua, kusoma, kuanzisha biashara, kusafiri, kujenga, kuabudu, kula n.k. hakuna mtu aliyataka kufanya biashara akakataliwa kwa sababu ya dini yake. siku hizi pia siasa zinatawaliwa na pesa, huna pesa siasa kwako ni ngumu, basi kungekuwa na mfumo kristu au uislamu basi ungejikita mahali ambapo population ni dini husika ni kubwa sana Zanziba kwa waislamu na kilimanjaro kwa wakristu. lakini kote huko hatuzungumzii mfumo kristu
 
Sisi mfumo kristo tinaufahamu miaka yoote!
Ni nyie wenye viherehere mnaotaka kuonyesha na kupoyesha umma kwa kuwaambia kuwa hakuna huo mfumo ila ni dhana tu ya waislamu!
Hatukuwa na haja ya kuja humu jukwaani kuonyesha kuwa huo mfumo umo ktk taifa letu!

Kwa sababu MFUMO KRISTO NA KAMA UGONJWA WA KUHARA!
Hata kama ufanye vipi. Aidha utasikia harufu au tumbo litaanza kelele tena!

Kufahamu kuna maana kuwa na ufahamu kuhusu jambo husika
Huwezi kulifahamu jambo kama hujafanya utafiti kulihusu
Wewe na wenzako mmefanya utafiti gani?
 
Nitakufa katika Bwana, Kristo Yesu aliye Masiha, Mwangaza na Mwongozo wangu. Na aliye NJIA, UKWELI na UZIMA. Nitakufa katika kumwamini KRISTO aliye MSIKIVU na MNYENYEKEVU. Kristo anayetuombea kila sekunde kwa Baba. Kristo apokeaye sala, shukrani na maombi yetu na kuyafikisha kwa Baba.

Sasa hapo kama hivyo ni ukafiri; basi nipo tayari kufa kafiri mbele ya macho ya mwanadamu.


  • utafiti wako hauna maana ...yoyote...kwani tuhuma hizi zinalengwa kwa serikali yenyewe hata kama rais na mawaziri wawe ni waislam ..ni mfumo ambao umeshajengwa na kuota msingi ...ni utendaji wake
    sio suala la biashara za kariakoo au idadi ya wanasiasa
    ni msingi ulijengwa na wakoloni na baada ya uhuru nyerere hakuweza kuuondoa bali aliu zidisha
    mfumo huu una athiri utendaji
    uajiri aliyepo kuajiri anangalia zaidi dini yake kwani mfumo unamwelekeza yeye afanye hivyo aangalie watu wa dini yake kwanza
    hapa hatuangalii uhusiano kati ya watanzania na dini zao bali ni utendaji wa serikali
    nenda wizara zote,
    kilimo
    afya
    mawasiliano
    fedha nk
    huko ajira inatazamwa zaidi dini yako na kabila lako...
    hivo mfumo upo serikalini...na imekua ni tabia ya wenye kuendekeza huo mfumo kutumia nafasi zao kupendelea upande wa dini yake
    ndio maana taifa limezama kwa umaskini , lipo katika tope la lindi la umaskini kwa vile sifa muhimu ya mtu kuajiriwa serikalini ni dini yake.....leo tumeua mashirika yote kabla ya ujamaa kufa
    ATC
    RELI
    RTC
    USHIRIKA
    VIWANDA VYA KAHAWA, KOROSHO, PAMBA,PARETO BANKI ZA
    NBC
    CRDB YA KWANZA
    THB
    NIC
    BANDARI
    NA MEMGINEYO YALIKUFA KUTOKANA NA UBADHIRIFU MKUBWA LAKINI MFUMO ULILINDA WATENDAJI WALOHUSIKA...
    NA PALE TAASISI IKIONGOZWA NA MTU AMABYE HAFUATI MASHARTI YA MMFUMO BASI HUANDAMWA

    SASA HAYA MATUSI , UISLAM HIVI NA VILE HAUSADIII KUONDOA TATIZO LILILOPO
    NA TUHUMA HIZI NI NZITO NA WANATUHUMIWA NI SERIKALI NA WATENDAJI WAKE...LAKINI SERIKALI IMEKAA KIMYA ,..KUASHIRIA NI KWELI YANAYO FANYIKA. MAKANISA HAYAJA TUHUMIWA MOJA KWA MOJA...NA WAO KUKANUSHA KUWA HAKUNA MFUMO SIO SAHIHI ..WAPASAO KUJIBU NA KUFAFANUA NI SERIKALI YENYEWE NA KUPITIA MAWAZIRI WAKE NA WAKUU WAKE WA IDARA TOFAUTI NA SIO MAPADRE

    HUMU KUNA WATU KAZI YAO NI MATUSI..KUTUKANA NDIO JADI YAO...Y.NYERERE AMELETA MADA HII NADAHANI KWA NIA NJEMA NA SIO WATU KUTUKANA NA KUDHARAU....
    KITU KIMOJA LAZIMA WALE WANAOTUKANA WAISLAM WATAMBUE..FUJO ZOZOTE ZILE ZIKITOKEA NA IKALAZIMU HAO MABWANA ZENU WAZUNGU KUINGILIA USIZANI WATAKUJA KAMA WAKRISTO ..HAPA WATAKUAJA KUTUTTWANGA BILA YA KUJALI DINI YAKO YA UKRISTO...WAO WANAJALI ZAIDI MASLAHI YAO..MUUNGU KWAO NI KAMA FOLITI TU....
    KULE IRAQ WAKATI WA SADAM KULIKUWA NA WAKRISTO HURU KABISA ZAIDI YA MILION MOJA SASA HATA ELFU MBILI HAWAFIKI......NA HAWA WAZUNGU WALIWAPIGA WAIRAQ ..BILA YA KUJALI HUYU NI NANI
    NA SASA HIVI PALE SYRIA KIJIJI KIZIMA CHA WAKRISTO KIMEZUNGUKWA NA AL QAEEDA NA HAO WAZUNGU HATA PRESSA HAWANA..KWAO MASLAHI YAO NI ASSAD AONDOKE HATA AKIONDOKA NA ROHO ZA NANI

    HIVO NIMELETA MIFANO HII ....MUACHE UJINGA WA KUTUKANA NA KULETA DHARAU KWA KILA JAMBO LA MAANA LINALETWA KWA WANA FORUM KUJADILI .....​




    Edit Post Reply Reply With Quote Send PM

  • user-online.png
    ajili ibrahim

    Today 17:28
    #763
    Member Array


    Join Date : 19th August 2013
    Location : Green city (Mbeya)
    Posts : 45
    Rep Power : 314
    Likes Received1
    Likes Given3



    [h=2]
    icon1.png
    Re: UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake[/h]
    sasa kuusu suala la kodi kwa taarifa yako wanatoa kodi kwa wingi ni waislam lakin pindi inapo kuja mgawanyo wa kodi wakristo ndo wananufaika kwa mfano sekikali kupitia mkataba wa "memorandum of understsnding" MoU serikali hutoa mabilioni na kuyapa makanisa ili yajiendeleze ktk huduma za kijamii lakini serikali hiyohiyo haitoi hata 1000000 kuzipa taasisi za kiislam alafu ww unasema eti kodi inawanufaisha waislam kivip


    lakin waislam kwakuwa na subira ktk mas'ala kama haya ndo unaona amani inakuwepo lakin pindi ambapo waislam wataamua kuutoa mfumo kristo kwa mkono wake basi hapo ndipo utapojua athari a mfumo kristo na mwisho wa yote waanzilishi na wale wanaonufaika na mfumo huo hapa duniani waendapo akhera watakutana na kitu hiki hapa




    Reply Reply With Quote Send PM

  • user-online.png
    mbokaleo

    Today 17:38
    #764
    JF Senior Expert Member Array


    Join Date : 9th August 2013
    Location : South west of England.
    Posts : 707
    Rep Power : 190
    Likes Received105
    Likes Given41



    [h=2]
    icon1.png
    Re: UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake[/h]
    quote_icon.png
    By Elungata
    kwanza wanasema kafa msalabani na hivyo kawaokoa wafuasi wake kwa kubeba dhambi zao.

    Sasa kama dhambi kachukua yesu wanakwenda kanisani kufanya nini wakati yesu ameshawakomboa?



    Teh teh teh teh!
    Wanaenda kusamehewa na mchungwaji kwa mara ya pili!!​




    Reply Reply With Quote Send PM

  • user-online.png
    Boko haram

    Today 17:44
    #765
    JF Senior Expert Member Array


    Join Date : 7th November 2011
    Location : Maiduguri Nigeria
    Posts : 1,067
    Rep Power : 679
    Likes Received320
    Likes Given804



    [h=2]
    icon1.png
    Re: UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake[/h]
    quote_icon.png
    By Yericko Nyerere
    Ndugu yangu Ritz hebu twende hatua kwa hatua,
    Tanzania haiwezi kuwa ya kidini kwa madai yasiyo na msingi kama eti ijiunge na OIC kwakuwa ina mashirikiano na Vatican,

    Kuna mambo yamsingi lazima tuyajue kama Watanzania,

    (1)Taarifa za kuaminika nikuwa M.o.U kati ya Serikali na kanisa iliandaliwa/ilitayarishwa na aliyekuwa Balozi wa Tanzania
    nchini Italy,Prof.Mahalu.

    (2)Serikali ya Ujerumani inayoongozwa na Christian Democratic Union ndiyo inayotoa HELA na ndio iliyosaidia makanisa kuingia
    makubaliano na serikali ya Tanzania isiyochanganya dini na siasa, Serikali ilisaini MoU kama SHAHIDI tu.

    (3)Serikali yetu ina Ofisi ya Ubalozi -Roma -Mtaa wa Viale Cortina d'Ampezzo,18

    Ina ubalozi mdogo mjini hapo hapo Roma-Mtaa wa Via Cesare,Beccaria 88
    na ina ubalozi mdogo mjini Milan-mtaa wa Via Santa Sofia 12.

    (4)Uwepo wa Balozi hizi unakidhi uwepo wa Serikali ya Italy,Holy See na Vatican City State

    (5)Nchini tuna Ubalozi wa Holy See na Italy.Huyu balozi wa Holy See ndiye mratibu wa shughuli zote za
    kanisa katoliki nchini na ndiye mwakilishi wa Papa.

    Ritz na wenzio kunachochote hamjakielewa?

    Niulizeni chochote!



    Mimi naomba nikuulize swali moja hivi Tanzania ikijiunga na OIC nini athari utakaoipata
    wewe rastafari nyuma ya pazia la ukristo au ni chuki tu zimejaa mioyono mwenu?​


    "ONLY GOD CAN JUDGE ME"


    Reply Reply With Quote Send PM

 
Sasa mkuu we hujui kuwa hawa wagalatia Eiyer na mwenzake Nicholas wanajiita ni waisraeli kiroho!
Japo mmoja ni msukuma na mwingine mchaga?
Hapa utakesha!

Teh teh teh!

Hiyo hoja ya kitoto nimeshaijibu na ukakurupukia kwenye suala lingine
Nyie hamna jambo lolote la maana kazi kurudiarudia mambo ambayo majibu yenu mmeshapewa!

Tafuteni masuala mengine!
 
Kwakuwa sikujihusisha sana na utafiti wa ajira, lakini naweza kusema kwa mjibu wa sheria ya ajira nchini nikuwa, ili mtu atambuliwe kuwa yupo kwenye ajira, ni lazima awe kwenye mfumo kamili wa ajira ikiwemo bima na maslahi yake yalindwe kwa mkataba,

Sasa kwa kadirio la 98% ya wasiomiliki biashara kariakoo hawana ajira bali wanavibarua tu wakiwatumikia wafanya biashara wazalendo!
Kwa hiyo hao wafanyakazi wa Dar es Salaam 876,981 wote walikuambia wana mikataba pamoja na bima?
 
swali unadhani kwanini bible ya kiarabu inamtaja mungu kama Allah?.

Ni kwasababu kuna wajinga wasiojua ndio waliotafsiri Biblia kwenda kiarabu bila kujua kuwa Allah ni mungu aliyeko makkah hapumui wa hasogei!

Zamani aliitwa Hubal!
 
Yaani wewe hata mtume wako humjui kabisa
Wala hujui ugaidi aliofanya

Nenda kajaribu kujifunza vizuri
Hakuna aliekuwa anatunziwa mali na huyo jamaa yako bali alikuwa anapora!
We mjinga unajua maana ya ugaidi hebu niletee ushahidi kuhusu ugaidi aliofanya
mtume Muhamad (S.A.W)
 
Naamini umeleta utafiti wa kubuni hili linajidhihirisha kutokan na data zako za uongo hapo juu...mfumo kiristo upo zamani tangu enzi za nyerere. Umejitahidi ila kwa wenye uelewa mdogo watakupongeza coz watanzania ni wavivu wa kujua mambo...
 
Naamini umeleta utafiti wa kubuni hili linajidhihirisha kutokan na data zako za uongo hapo juu...mfumo kiristo upo zamani tangu enzi za nyerere. Umejitahidi ila kwa wenye uelewa mdogo watakupongeza coz watanzania ni wavivu wa kujua mambo...
Hata mimi nimemwambia lakini anvyo mpenda huyo baba yake wa taifa hawezi kukubali anamuona kama malaika
 
Swali lako (A) halina mantiki kwakuwa tunazungumza Tanzania na Watanzani kwakuzingatia katiba ya Watanzania lakini wewe umelipeleka Uganda,

Swali (B) hili nitalijibu




Sababu halisi za Tanzania kushiriki katika MOU ya kanisa na Ujerumani ni hii,

1) Serikali ya Ujerumani ilikubaliana na makanisa ya Tanzania kuwa itakuwa ikiyasaidia (pesa),

Hivyo serikali ya Tanzania kama mtawala wa nnchi ambamo makanisa haya ndimo yanamoishi na kutoa guduma zake, ilitakiwa kuwa SHAHIDI namba moja na msimamizi wa pesa!

Hilo hata waislamu nao wakipata mfadhili wanayo fursa ya kuingia nae MoU na serikali ya Tanzania ikawa shihidi namba 1 na msimamizi wa pesa hizo!

Hapo serikali itakuwa haijaingilia uhuru wa makanisa wala itakuwa haijaiingiza kuwa ya mfumo wa kidini

1) Kwa mfano Tanzania ikijiunga na OIC uhuru wa makanisa utakuwa umeingiliwaje?

2)Kuna sheria gani inayoilazimu serikali kusimamia pesa zinazohusu mambo ya dini yoyote
hapa Tanzania?
 
haha..ndio majibu ya maswali hayo...?kweli ipo taabu.Wachawi huwa hawana sababu ya kulinda uchawi zaidi ya utumwa...shetani akishikili hakuna ujanja.....kachore uso kuwatisha majinn.

Ulichobakisha kwa siku ya pili mfululizo ni kusema majini tu!
Mi na wsws kuwa wale popo bawa walipita hapo kwako!!
Huwezi kuwa unawaongelea namna hii!!
Na nyie wachaga mnavyoogopa popobawa!!
Msee wangu ee! Chunga sana ilee nanihii kweli!
Teh teh teh teh!
 
walikuwa na maagano tofauti na Mungu na waliyatii n akuyafuta...unataka sema na Muhamad na allaha mkataba wake?nadhani mkienda ziara za usiku mnajua wapi anakwenda.
Ndio mjue hao watu walikuwa Waislam,mpaka pale vitabu sahihi vya Mungu vilipochakachuliwa,na kuanzisha dini ambazo si za Mungu,dini za kupangwa na wanadamu.Maana historia,inaonyesha ukristo ulianza Antokyo,baada ya kuondoka Yesu duniani.Je kabla ya kuondoka Yesu na wakati wa Yesu,palikuwa na dini gani?,ikiwa ukristo ulikuwa bado?.Lakini tukiangalia uislamu ulikuwapo,toka Adam mpaka Muhammad,anapewa utume,aliutangaza uislam,anaondoka dunini,uislamu umeshaenea.Haukuanza uislam,baada ya kuondoka yeye.Ulikuwapo kipindi chake cha utume.
 
Ulichobakisha kwa siku ya pili mfululizo ni kusema majini tu!
Mi na wsws kuwa wale popo bawa walipita hapo kwako!!
Huwezi kuwa unawaongelea namna hii!!
Na nyie wachaga mnavyoogopa popobawa!!
Msee wangu ee! Chunga sana ilee nanihii kweli!
Teh teh teh teh!
subiri tu ziishe siku nne kama ataendelea kuja na wimbo huo huo ntajua kwamba hayuko sawa,anahitaji msaada wa doctor.
 
Mfuasi wa huyo Kristo ataitwa nani?

Anaitwa mfuasi wa kristo!!

Sasa we inataka kujiita mfuasi wa mpakwa mafuta! Wakati wewe unaabudu sanamu la mzungu ndani ya kanisa!
na inavaa ule msalaba shingoni! Au sio?

Hebu onyesha andiko wapi umeruhusiwa kuvaa msalaba?
Wapi umeruhusiwa na huyo kristo kuweka sanamu!?
Wapi yesu alikuruhusu uweke picha ya mtu halafu uiabudu??

Andiko linasema.

"Usijifanyie sanamu ya kuchonga, mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, au kilicho chini duniani. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, nawapatiliza wana uovu wa baba zao; hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao". (Kumbukumbu la Torati 5:8-9).

WEWE SIO MFUASI WA KRISTO!

WEWE NI MFUASI WA PAULO NABII WA UONGO!!
 
We mjinga unajua maana ya ugaidi hebu niletee ushahidi kuhusu ugaidi aliofanya
mtume Muhamad (S.A.W)

Huu hapa:

[h=3][/h] [h=3]Muhammad: A Looter[/h]
Stealing and Looting in Islam is not prohibited, unless it is done against the non-Muslims. Then it is lawful.
After Muhammad married Khadijah, a wealthy woman of Mecca, he stopped working. Actually he had never worked until the age of twenty five when he made one trip to Damascus as a trustee of Khadijah selling her goods and buying what she had ordered. This was the extent of the work that Muhammad did in his entire life.
He would not even take care of the children. He used to withdraw to a cave near Mecca, taking provisions for several days and not come back until his food lasted. He would then come home for more supplies and head back to his cave
Khadijah was left to take care of her own three children from her two previous marriages and also the six children that she made with Muhammad. As the result, her business suffered and, the family was reduced to poverty. By the time she died, nothing of her wealth was left and when Muhammad migrated to Medina, he had to rely on the generosity of the Medinans, including the Jews whom he exterminated later, for his sustenance.
His followers also were poor. They were either slaves or the disaffected Meccan youths. His followers of Medina were mostly laborers and journeymen, serving the Jews and not very well off.
Despite this humble beginning, a few years later, Muhammad became the wealthiest man in Arabia owning a great number of camels, herds, slaves, wives and properties. How did he accumulate this much wealth in such short time? Through looting and pillaging.
He first started raiding the Meccans' merchant caravans. Then he moved on to expel and massacre the Jews of Medina and other places in Arabia and looted their belongings. Eventually he decreed that every person who believes in him should pay tithes and those who don't should pay a larger amount as jizyah (protection fee) or prepare to die. They were "warned", submit of die, very much like the mafia operated. Several verses of the Quran exhort Muslims to raid the unbelievers promising booty in this world and heavenly rewards in the other.
Allah promiseth you much booty that ye will capture, and hath given you this in advance, and hath withheld men's hands from you, that it may be a token for the believers, and that He may guide you on a right path. [al-Fath 48:20]
And that which Allah gave as spoil unto His messenger from them, ye urged not any horse or riding-camel for the sake thereof, but Allah giveth His messenger lordship over whom He will. Allah is Able to do all things. [al-Hashr 59:6]
Now enjoy what ye have won, as lawful and good, and keep your duty to Allah. Lo! Allah is Forgiving, Merciful. [al-Anfal8:69]
These verses were stated to goad the believers to take part in the wars. They also tell us about the caliber of the people who converted to Islam. Muhammad convinced them that God has instructed them to attack innocent people, take them by surprise, kill them and loot their wives and properties as booty?
The oppressive cultic atmosphere that reigned in Medina did not allow the early Muslims to question the morality of such acts. That is how cults control brainwash the believers. After exterminating the Jews, who owned most businesses in Medina, Muslims had lost their works. They had no source of income except through highway robbery and looting. Some of them might have wondered how could a messenger of God act like a common marauding gangster. For such people Muhammad had his usual answer: It is God's will.
Jabir b. 'Abdullah al-Ansari reported: The Prophet (may peace be upon him) said: I have been conferred upon five (things) which were not granted to anyone before me (and these are): Every apostle was sent particularly to his own people, whereas I have been sent to all the red and the black the spoils of war have been made lawful for me, and these were never made lawful to anyone before me, and the earth has been made sacred and pure and mosque for me, so whenever the time of prayer comes for any one of you he should pray whenever he is, and I have been supported by awe (by which the enemy is overwhelmed) from the distance (which one takes) one month to cover and I have been granted intercession. Sahih Muslim 4:1058
Supported by awe means by terror! In another hadith he was more specific. He said: "I have been made victorious with terror (cast in the hearts of the enemy), Bukhari 4:52:220 The claim that Muhamamd has been victorious by awe and terror is also stated in Bukhari 1:7: 331.
There is a hadith narrated Abu Qatada who said:
We set out in the company of Allah's Apostle on the day (of the battle) of Hunain. When we faced the enemy, the Muslims retreated and I saw a pagan throwing himself over a Muslim. I turned around and came upon him from behind and hit him on the shoulder with the sword He (i.e. the pagan) came towards me and seized me so violently that I felt as if it were death itself, but death overtook him and he released me. I followed 'Umar bin Al Khattab and asked (him), "What is wrong with the people (fleeing)?" He replied, "This is the Will of Allah," After the people returned, the Prophet sat and said, "Anyone who has killed an enemy and has a proof of that, will posses his spoils." I got up and said, "Who will be a witness for me?" and then sat down. Bukhari 4:53:370
The Prophet again said, "Anyone who has killed an enemy and has proof of that, will possess his spoils." I (again) got up and said, "Who will be a witness for me?" and sat down. Then the Prophet said the same for the third time. I again got up, and Allah's Apostle said, "O Abu Qatada! What is your story?" Then I narrated the whole story to him. A man (got up and) said, "O Allah's Apostle! He is speaking the truth, and the spoils of the killed man are with me. So please compensate him on my behalf." On that Abu Bakr As-Siddiq said, "No, by Allah, he (i.e. Allah's Apostle ) will not agree to give you the spoils gained by one of Allah's Lions who fights on the behalf of Allah and His Apostle." The Prophet said, "Abu Bakr has spoken the truth." So, Allah's Apostle gave the spoils to me. I sold that armor (i.e. the spoils) and with its price I bought a garden at Bani Salima, and this was my first property, which I gained after my conversion to Islam.
This is how Islam spread. By raiding, pillaging and looting. What is the difference between Muhammad and his followers and a bunch of thieves?
Swali lingine?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom