UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Nimecheka sana kusoma kuwa kariakoo kuna madukani 489,125 fanya kila duka lina wafanyakazi 3, kariakoo peke yake tumepata ajira za watu 1,467,375.

Wewe tena unasema Dar es Salaam kuna ajira 876,981 kwa hiyo kariakoo peke yake imezidi ajira za serikali Dar es Salaam.

Cha kuchekesha unasema utafiti wako umeufanya 2011 lakini unaweka data za 2012.
 
Nadhani dizaini hii ya malumbano ambayo mmeanza kuyafanya; mwishowe mtaanza kutukanana na mwishowe mtakula ban! au uzi utafungiwa. Ni bora tukajikita kwenye mantiki ya uzi wenyewe.Wakati fulani ukiona mtu anakupeleka kwenye sehemu itakayoleta shida; usikubali kwenda.
tunatofautiana kwa hoja ingawa saa ingine wengine wanapanic sana.

Research ya yerico ni fake,hakuna cha kujadili hapo.
 
Hivi Yericko mimi naona una ugonjwa unaoitwa"AMNESIA" wewe si ulikuwa unamsapoti kamanda mwenzako
na kumpa kichwa wakati anamwaga injili unafiki unakusaidia nini dogo shetani analo Nicholas sisi ukitoka nje
ya mada na sisi tunatoka hivyo hivyo tutafika tu.
Unamaoni yoyote kwa mada husika nje ya hayo unayohubiri?
 
Unashindwa predict muhamad atakuw wapi saa hii....angalia matendo yake, halafu ifikirie kauli yake.....ANAJIITA MFANO BORA KABISA WA MANKIND, HALAFU PIA NASEMA HAJUI HUKUMU YAKE ITAKUWEJE.Kiongozi asiyejua njia wala mwishow a safari...halafu anasema kuwa mfano bora..sijui alikuwa kichaaa au mnaomfuta ndio vichaa?

Dini yetu haiendelezwi na predictions!

Dini yetu hairuhusu akili kuambiwa!

Dini yetu hakuna binaadamu anauwezo wa kumsamehe binaadamu mwenzake!

Dini yetu hairuhusu kuchonga sanamu na kuweka picha ya mzungu halafu ukaiabudu!
Wala dini yetu hawezi binaadamu akakwambia kwa hakika kuwa wewe ni 100% utakuwa ni mtu wa peponi!
Hii ni kazi ya MUNGU MMOJA TU!
Na mimi na wewe wote ni viumbe tusiokiwa na uwezo wowote ktk amri ya MUNGU!
Wewe kuamini kuwa huyo Mungu aliyekuumba wewe alipigwa mijeledi mpaka akafa ndio kunakusababisha usimuheshimu tena huyo mungu. Na hao viongozi wenu wakaamua kuchukua madaraka yake ya kusamehe madhambi.
Wakati wenyewe huku nyuma wananajisi watoto wadogo kila siku tunaona kwenye habari!
Sasa sijui wao watasamehewa na nani??

Labda yericho nyenyere!! Mdanganyifu asiyejua hesabu!!
 
Kristo Yesu aliyejifanya Mwanadamu ili neno litimie, alikuwa mpakwa mafuta kabla na baada na hata milele. Hakuhitaji kupakwa mafuta na mwanadamu yeyote ili neno litimie.

Nafikiri ungekuwa mtu wa kuelewa na unayetaka kujifunza, ungekuwa umeshaelewa. Lakini kwa sababu unaleta kejeli sasa, kwa heri.
hamna mimi sileti kejeli,nachoshangaa hapa ni kuwa,kumbe kupaka mafuta wenye mamlaka ilikua ni desturi.hata samwel akampaka king david.

Nachotaka kujua umuhimu wa mafuta hayo hadi dini ikaitwa jina la wapakwa mafuta.
Mafuta yanawakilisha nini?.
Wokovu wa yesu kwa kufa msalabani unajitosheleza vipi ikiwa tena mpaka mtu asari na aungame. Je akiungama leo alafu tena kesho akatenda dhambi ule wokovu una switchoff au inakuaje.
 
Nimecheka sana kusoma kuwa kariakoo kuna madukani 489,125 fanya kila duka lina wafanyakazi 3, kariakoo peke yake tumepata ajira za watu 1,467,375.

Wewe tena unasema Dar es Salaam kuna ajira 876,981 kwa hiyo kariakoo peke yake imezidi ajira za serikali Dar es Salaam.

Cha kuchekesha unasema utafiti wako umeufanya 2011 lakini unaweka data za 2012.

Ndio, kariakoo kuna madukani 489,125, lakini kufanya kila duka lina wafanyakazi 3 huo ni mtazamo tu hata ungefanya 1,2, au 6 bado nisehemu ya mtazamo na matokeo ya namba tu,

Kwamba utafiti unataja kuwa ulianza 2011 huku takwimu ni za 2012, hilo halina mantiki,

Labda nikusaidie tu, tunaposema utafiti haihusu kuamka asubuhi na kuingia kariakoo kuhesabu duka hadi duka,

Ni kuwa tunahitaji maadandalizi na hatua za awali za kiutafiti huhusika,!

Kama utakuwa umesoma tena upya hiyo ripoti utaona zipo takwimu za 2013 nk!
 
Nimecheka sana kusoma kuwa kariakoo kuna madukani 489,125 fanya kila duka lina wafanyakazi 3, kariakoo peke yake tumepata ajira za watu 1,467,375.

Wewe tena unasema Dar es Salaam kuna ajira 876,981 kwa hiyo kariakoo peke yake imezidi ajira za serikali Dar es Salaam.

Cha kuchekesha unasema utafiti wako umeufanya 2011 lakini unaweka data za 2012.

Mkuu mi si nimemueleza huyu jamaa kuwa, wakati anaupanga huu uongo wake huko chumbani kwake alisahau kupiga hesabu au huenda hesabu hajui kabisa!
Teh teh teh teh!
Anasema wtt wa wakristo waliohitimu 2011 ktk 100% ya wtt wote walio hitimu kidato cha nne hapo Dar!
Eti watt wa kigalatia ni 20% tu!! Walibaki woote waislamu!!

Muongo mkubwa huyu! We nenda shule yyt ya serikali moja tu Dar uone ratio ya wagalatia na waislam.
Teh teh teh! Lbd ajaribu siku ingine! Leo kaumbuka!!
 
Yericko Nyerere anaonekana ameanzisha uzi huu kwa nia nzuri, kwa fact nzuri, na kwa namna bora kabisa. Katika bango lake; hakuna mahali alipoidhalilisha wala kuichafua wala kuwatukana watu wa dini yeyote. Hata hivyo kwa jinsi mjadala unavyoendelea, naona kuna watu washaubadilisha na kuufanya ni wakuchafuliana dini na kutukanana na kwa kiasi unaanza kupoteza muelekeo. Sioni kama ipo sababu ya mtu Kumchafua Mtume katika uzi huu, sioni kama ipo sababu ya mtu kumchafua yesu katika uzi huu, sioni kama ipo sababu ya kuwachafua waislam au wakristo katika uzi huu.Wakati fulani tujaribuni kutumia busara za kawaida tu.Ambao mnachafuana humu mnajijua.Ni bora mkiacha. Hakuna mtu anayefurahishwa na mnachokifanya humu hata mmoja.Ni bora mkatoa michango yenu kistaarabu kama uzi wenyewe ulivyo.
Fact??!
 
Last edited by a moderator:
Unamaoni yoyote kwa mada husika nje ya hayo unayohubiri?

Maoni ni kuwa anae kulipa kuja kudanganya watu hapa!
Akiona hayo mapungufu ya huo uongo wako mshahara hatoi!
Siku nyingine kama huna calculator basi azima upigie hesabu!!
Na kabla huja post huo utumbo. Omba msaada kwa wale wagalatia wenzako mpate kuandika uongo unaofanana na ukweli!
 
Kumbe Yesu alikufae.......!!!!!!!!!!



Waislam hawaoni aibu kusema uongo mbele ya hadhara kubwa kama hii ya hapa JF
Eli sio ALLAH
Eli ni sifa kama ilivyo Mungu sio jina la Mungu
Allah kwa upande mwingine haina tafsiri hata wao wanajua hili na huwa wanasema hivyo
Tatizo lao ni vilaza wanapostaka kujifananisha na Ukristo wanasahau wanachokuwa wanasema




Uongo huu nimeshausema hapo juu
Eli kwa kiarabu ni ilah sio Allah!



At this wanakubali kuwa Emanu-Eli ni Mungu pamoja nasi lakini kwenye suala la Yesu wanakataa,labda nikuulize wewe ulieandoka hapa
Hili jina alipewa nani na kwanini?


Acha uongo wewe mbona mnasemaga Allah haina tafsiri?
Unajua kuwa allah ilitoka wapi?



Usichokijua wewe kilaza ni kuwa hujui tofauti kati ya jina na sifa
El ni sifa sio jina
Jehova ni jina la Mungu
Hakuna mungu mwingine anaitwa Jehova
Allah ni jina la mungu wa waarabu wa kabila la ki-quresh
mungu huyu yupo makah hadi leo

Wahindu wana mungu wao
Waarabu wana mungu wao
Waisraeli wana Mungu wao
Budha wana mungu wao n.k

Kila kinachoabudiwa kupewa sifa ya uungu haijalishi ni kitu gani au ni Mungukweli ama la
Mungu wa waarabu anaitwa Allah
Mungu wa Waisraeli anaitwa Jehova

Leo wakipatikana watu wanakuabudu wewe watakuita mungu
Jina la Mungu wa Waisraeli ni Jehova maana yako ni NIKO AMBAE NIKO
Allah kwa upande wa pili haina tafsiri

Kwa waisraeli sifa ya Mungu inajulikana kama El na jina la Mungu ni Jehova
Sasa namuuliza huyu alieandika huu uha.ro hapa Kama Allah tafsiri yake ni mungu je jina la mungu kwa kiarabu ni nini?



Kma wapo ni kutokujua tu ndiko kunawafanya kumuita Mungu hivyo!


Uislam unaenezwa kwa njia kuu 2
1:Uongo
2:Ugaidi

Watu wakikataa kukubaliana na uongo wanatumia ugaidi kuwalazimisha!

Mkuu umeongea kweli kabisa
 
Mkuu mi si nimemueleza huyu jamaa kuwa, wakati anaupanga huu uongo wake huko chumbani kwake alisahau kupiga hesabu au huenda hesabu hajui kabisa!
Teh teh teh teh!
Anasema wtt wa wakristo waliohitimu 2011 ktk 100% ya wtt wote walio hitimu kidato cha nne hapo Dar!
Eti watt wa kigalatia ni 20% tu!! Walibaki woote waislamu!!

Muongo mkubwa huyu! We nenda shule yyt ya serikali moja tu Dar uone ratio ya wagalatia na waislam.
Teh teh teh! Lbd ajaribu siku ingine! Leo kaumbuka!!
Je mnayo ripoti yoyote mnayoweza kuja nayo hapa ili nami niwasome?
 
Yaliandikwa na yalipaswa kutimizwa.

Ndio ulivyoambiwa hivyo na mchungaji wako!
Yaani mungu umemgeuza Robot! Akielekezwa kulia basi ni kulia tu!!
Mungu amuumbe shetani na binaadamu halafu aandike kuwa huyu shetani ntamlipa deni kwa kuwa kuwatumia hawa wanadamu! Watanipiga mijeledi mpaka nife!
Hebu amka ndugu! Usije kufa hali ya kuwa ni kafiri!
 
Maoni ni kuwa anae kulipa kuja kudanganya watu hapa!
Akiona hayo mapungufu ya huo uongo wako mshahara hatoi!
Siku nyingine kama huna calculator basi azima upigie hesabu!!
Na kabla huja post huo utumbo. Omba msaada kwa wale wagalatia wenzako mpate kuandika uongo unaofanana na ukweli!

Bila shaka umemaliza maoni yote kichwani mwako, je kuna lingine?

Je hutaki kujua wapi mnapokosea na kudanganywa kuwa Tanzania ni yamfumo kristu?

Niulize swali lolote ndugu!
 
Ndio, kariakoo kuna madukani 489,125, lakini kufanya kila duka lina wafanyakazi 3 huo ni mtazamo tu hata ungefanya 1,2, au 6 bado nisehemu ya mtazamo na matokeo ya namba tu,

Kwamba utafiti unataja kuwa ulianza 2011 huku takwimu ni za 2012, hilo halina mantiki,

Labda nikusaidie tu, tunaposema utafiti haihusu kuamka asubuhi na kuingia kariakoo kuhesabu duka hadi duka,

Ni kuwa tunahitaji maadandalizi na hatua za awali za kiutafiti huhusika,!

Kama utakuwa umesoma tena upya hiyo ripoti utaona zipo takwimu za 2013 nk!
Unisaidie tena mie au wewe ndiyo usaidiwe.

Tufahamishe kariakoo umepata ajira ngapi?
 
Mkuu mi si nimemueleza huyu jamaa kuwa, wakati anaupanga huu uongo wake huko chumbani kwake alisahau kupiga hesabu au huenda hesabu hajui kabisa!
Teh teh teh teh!
Anasema wtt wa wakristo waliohitimu 2011 ktk 100% ya wtt wote walio hitimu kidato cha nne hapo Dar!
Eti watt wa kigalatia ni 20% tu!! Walibaki woote waislamu!!

Muongo mkubwa huyu! We nenda shule yyt ya serikali moja tu Dar uone ratio ya wagalatia na waislam.
Teh teh teh! Lbd ajaribu siku ingine! Leo kaumbuka!!
Mkuu wangu huyu jamaaa ni kituko, umejaribu kumsahihisha lakini bado anakomaa na utafiti wake feki.
 
Nashukuru sana kwa swali lako!

Najibu kama ifuatavyo:

1) Kwakuwa tumekubaliana kuwa Tanzania sio nchi ya mfumo wa KIDINI,

A. Katiba yetu imesimamia vema matakwa yetu kama taifa,

B. Taasisi zote za kidini zinayo ruhusa ya kufanya kazi nchini kwa manufaa ya waamini wake bila kuathiri katiba wala kuvunja miiko yetu kama taifa,

C. OIC kama zilivyo taasi zingine za kiroho duniani, iendelee kufanya shughuli zake nchini na kuwashirikisha waamini wake bila kuvunja katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na miiko na tamaduni zetu wa Tanzania.

D. Serikali iepuke kuingilia/kushiri shughuli za Waislamu wa Tanzania hasa katika kujiunga "kwao" na OIC na mashirika mengine yenye malengo kama hayo.

E. Serikali iache waislamu wenyewe wajiunge na jumuia hizo na isingilie uhuru wao wakuabudu kama unavyotambuliwa na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,


Sasa:

Kwakufanya hayo serikali itakuwa imelinda na kuheshimu haki za watu wake katika kuabudi kwao, vivyo hivyo hakutakuwa na lawama za waamini wowote kwa madai ya kukandamizwa dini yao!
1) Sawa Tanzania sio nchi ya kidini je Uganda ni nchi ya kidini?

A.Kwani Uganda wao hawasimamii matakwa ya katiba yao?

B. unaposema serikali iepuke kushiriki shughuli za waislamu wa Tanzania mbona hiyo hiyo serikali
ilishiriki katika makubaliano kati ya Kanisa na Ujerumani (MOU) na hawakushirikishwa wananchi
kutoa maoni yao kukubali au kukataa?
 
Unisaidie tena mie au wewe ndiyo usaidiwe.

Tufahamishe kariakoo umepata ajira ngapi?

Kwakuwa sikujihusisha sana na utafiti wa ajira, lakini naweza kusema kwa mjibu wa sheria ya ajira nchini nikuwa, ili mtu atambuliwe kuwa yupo kwenye ajira, ni lazima awe kwenye mfumo kamili wa ajira ikiwemo bima na maslahi yake yalindwe kwa mkataba,

Sasa kwa kadirio la 98% ya wasiomiliki biashara kariakoo hawana ajira bali wanavibarua tu wakiwatumikia wafanya biashara wazalendo!
 
1) Sawa Tanzania sio nchi ya kidini je Uganda ni nchi ya kidini?

A.Kwani Uganda wao hawasimamii matakwa ya katiba yao?

B. unaposema serikali iepuke kushiriki shughuli za waislamu wa Tanzania mbona hiyo hiyo serikali
ilishiriki katika makubaliano kati ya Kanisa na Ujerumani (MOU) na hawakushirikishwa wananchi
kutoa maoni yao kukubali au kukataa?

Swali lako (A) halina mantiki kwakuwa tunazungumza Tanzania na Watanzani kwakuzingatia katiba ya Watanzania lakini wewe umelipeleka Uganda,

Swali (B) hili nitalijibu

1)
B. unaposema serikali iepuke kushiriki shughuli za waislamu wa Tanzania mbona hiyo hiyo serikali
ilishiriki katika makubaliano kati ya Kanisa na Ujerumani (MOU) na hawakushirikishwa wananchi
kutoa maoni yao kukubali au kukataa?


Sababu halisi za Tanzania kushiriki katika MOU ya kanisa na Ujerumani ni hii,

1) Serikali ya Ujerumani ilikubaliana na makanisa ya Tanzania kuwa itakuwa ikiyasaidia (pesa),

Hivyo serikali ya Tanzania kama mtawala wa nnchi ambamo makanisa haya ndimo yanamoishi na kutoa guduma zake, ilitakiwa kuwa SHAHIDI namba moja na msimamizi wa pesa!

Hilo hata waislamu nao wakipata mfadhili wanayo fursa ya kuingia nae MoU na serikali ya Tanzania ikawa shihidi namba 1 na msimamizi wa pesa hizo!

Hapo serikali itakuwa haijaingilia uhuru wa makanisa wala itakuwa haijaiingiza kuwa ya mfumo wa kidini
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom