UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
the guestion is,what do you have to say about CONTRADICTION IN THE BIBLE.

Is gospel in the bible a story based on hearsay or the word of god.

Bro! That question you will never get the answer frm Geeky !
All you will get is bla..bla..bla..!
And the story of majini kutoka kwa Nicholas ! Anaependa pombe kuliko chakula!
Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:

Nyie mnaiamini Torah Je niambie Musa ana majina mangapi
 
Last edited by a moderator:
Nyie mnaiamini Torah Je niambie Musa ana majina mangapi

Why unaniuliza swali la torah wakati hujajibu swali langu??
Na mimi ni muislamu sio myahudi!

Nakuomba usikimbie swali! Kwa kuniuliza swali!
Musa ana jina la baba yake ndani ya quraan!
Wewe nipe majibu yangu kwenye biblia!!
 
oooh,ok ok,zilikua ni barua ama nyaraka in other words SIO MANENO YA MUNGU.ni watu tu wanaandikiana nyaraka,kama ni hivyo ntakubaliana nawe.unajua nilitaka kushangaa,nikawa najiuliza hivi kweli kama haya maneno mungu ndo amesimamia uandikwaji wake inakuaje yanakua na mapungufu mengi kiasi hicho.kwasababu najua mungu ni mkamilifu sasa anaweza vipi kujicontradict?KUMBE ZILIKUA NYARAKA WATU WANAANDIKIANA.mwenye kuongeza chumvi sawa,mwenye kupitwa na baadhi ya matukio sawa.

Sasa kwanini unafuata kitabu chenye mkusanyiko wa barua za watu ?
 

Teh teh teh teh!
Hapa kaka utakesha!
Hakuna wa kukupa jibu hata mmoja!
Kwa haya maswali yako wale wakolosai
Sasa hivi utaona wanakwambia ...ohh una majini ....ohh kuna wake wengi wanakusubiri etc!
Teh teh teh teh!
Jamani Ugalatia balaa! Duhhh!
 

Wewe unamatatizo sana,unadhani hapa umesema point ya maana sana
Hizo kanuni unazosema zimewekwa na nani?
Zinahusu nini?

Kwa kifupi madai yako hayana maana
Hapa nitakupa ubin wa baadhi tu ya hao hapo juu:
Petro[Peter] ubini wake ni Yona,soma hapo chini

17 Yesu akajibu, akamwambia, Heri wewe Simoni Bar-yona; kwa kuwa mwili na damu havikukufunulia hili, bali Baba yangu aliye mbinguni.

Yohana[John] ubin wake ni zebedayo soma hapo chini

19 Akaendelea mbele kidogo, akamwona Yakobo wa Zebedayo, na Yohana nduguye, nao pia walikuwa chomboni, wakizitengeneza nyavu zao.

Mathayo[Mathew] ubini wake ni Lawi
mathayo 10:3
Mathayo mtoza ushuru
Kwa ufafanuzi wa hii soma hapa Luka 5:27
27 Baada ya hayo akatoka, akaona mtoza ushuru, jina lake Lawi, ameketi forodhani, akamwambia, Nifuate


Kwa kifupi hoja zako hazina msingi wowote japokuwa nimekuthibitishia kuwa ubin wa hao hapo juu upo hadi majina ya babu zao
Tatizo lenu nyie maamuma mmekaririshwa tu na hamjui kitu chochote!!!!!!!!!!
 

Umaamuma ni kazi kubwa

Hapo Petro anawaonya wakristo kuhusiana na hawa maamuma

HUENDA HUWAJUI KIINGEREZA WACHA NIWAWEKEE KWA KISWAHILI
14 Kwa hiyo, wapenzi, kwa kuwa mnatazamia mambo hayo, fanyeni bidii ili mwonekane katika amani kuwa hamna mawaa wala aibu mbele yake.
15 Nanyi uhesabuni uvumilivu wa Bwana wetu kuwa ni wokovu, kama vile na ndugu yetu mpenzi Paulo alivyowaandikia kwa hekima aliyopewa;
16 vile vile kama katika nyaraka zake zote pia, akitoa humo habari za mambo hayo; katika nyaraka hizo yamo mambo ambayo ni vigumu kuelewa nayo; na mambo hayo watu wasio na elimu, wasio imara, huyapotoa, kama vile wayapotoavyo na maandiko mengine, kwa uvunjifu wao wenyewe.

KWA KIFUPI HAWA MAAMUMA NDIO HAMUELEWI KITU CHOCHOTE HAPA!
 

Maandiko hayo mnayoyaamini yaliandikwa na malaika au watu? Uzuri wa Ukristo ni uwazi biblia iko wazi ndio maana kila mtu anaweza kuisoma na haifichi kitu. Kuna sababu kwanini biblia iko ilivyo na kwanini vitabu vyenu mnakaririshwa kwa fimbo. Pia kuna sababu kwanini Mungu na ukuu wake anatumia watu tu waliokua kama mimi na wewe kuongea na watu anaweza kutumia malaika ila tangu awali Noah, Moses, David na wengine wengiiii ambao hata mtume wenu anakiri kuwa ni mitume walikuwa wanadamu na walishushiwa maandiko.

Nitakuuliza swali lingine maana la Musa umekwepa. David (mnayemwita Dawood) alichoandika sio neno la Mungu? Halipo ktk 'Quran takatifu'?
 

Muongo usie na haya wee! Unadanganya watu one more again!
Hayo maandiko yote uliyotoa hakuna moja lililosema majina ya baba zao!

We huyo anaekulipa kusema uongo na kutuletea maandiko yasio husika! Akiona huu utumbo atakufukuza kazi!
We unadhani unaongea na watu wasiolijua andiko?
 

Desturi ya mwenye elimu ni kuwa unapoulizwa swali kwanza unalijibu!
Halafu unauliza la kwako!
Nyie woooote mnapoulizwa maswali mnanajibu kwa kuuliza maswali au kutoa hoja ambazo hazijibu maswali!
Na hii ni sababu kubwa inayochangia ukristo kuanguka siku hadi siku!

Mnashindwa kabisa kuweka wazi hoja zinazo husu hii imani yenu!

Hapa ntakuuliza kitu kingine ambacho ni very basic ktk imani yako!
NAOMBA UNIFAFANULIE UTATU MTAKATIFU!
Usiniulize swali. We nisaidie ufafanuzi tu!
Halafu uone mtihani utakavyo kukuta hapa!
Sasa tukisema hii imani yenu ni ya kubumba mnasema sisi wabaya!
 

Duu mkuu naona umeanza kupiga zile za chembe,
Hapo juu nimeona wengine wameshaaza kutafuta basha na wengine damu inawatoka mpini umewageuka.
 

Kwanini mnahgangaika kuhubiri kwakukosoa dini za wengine badala ya kuhubiri kwa kueneza dini zenu?
 

Job 13:4,-"But ye are forgers of lies, ye are all physicians of no value."

Job 24:25,-"...who will make me a liar, and make my speech nothing worth?"

Psalms 24:4-5,-"He…who hath not…sworn deceitfully. He shall receive the blessing from the LORD,"

Psalms 31:6,-"I have hated them that regard lying vanities: but I trust in the LORD."

Psalms 31:18,-"Let the lying lips be put to silence;"

Psalms 40:4,-"Blessed is that man that maketh the LORD his trust, and respecteth not the proud, nor such as turn aside to lies."

And you are the biggest liar!
 
Duu mkuu naona umeanza kupiga zile za chembe,
Hapo juu nimeona wengine wameshaaza kutafuta basha na wengine damu inawatoka mpini umewageuka.
Tuseme wewe huna mchango wowote maana nakuona unachombeza tuu ,wewe haya mambo unayaelewajeelewaje?
 
Kwanini mnahgangaika kuhubiri kwakukosoa dini za wengine badala ya kuhubiri kwa kueneza dini zenu?
kwasababu tumegundua mnapotea ndo maana,huezi muona jamaa yako anaenda kuanguka bondeni usimsitue,hasahasa kama ni mlemavu wa macho.
 
Kwanini mnahgangaika kuhubiri kwakukosoa dini za wengine badala ya kuhubiri kwa kueneza dini zenu?

Kwahiyo batili iendelee kuwepo mbona chadema inaikosoa ccm yote nikuwekana sawa mambo yakae kwenye msatari, hivi unaweza kunionyesha wapi waislamu wanamtukana Yesu tena wao ndio wanamtetea upo hapo dogo
 

Kwani yanaelezea nini?
 
hivi kuna injili ya daud?

Ama iko agana la kale?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…