UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
NAOMBA UNIFAFANULIE UTATU MTAKATIFU!

Mungu mmoja katika aina tatu tofauti za ufanyaji kazi!!!!!!

Moja
Mungu kama muumbaji[Niko ambae niko]

Mbili
Mungu kama mwokozi[Yesu kristo]

Tatu
Mungu kama mwalimu[Roho mtakatifu]

Swali lingine?
 

Luka
Matayo
Petro
Naomba majina ya baba zao ukinitajia tu naritadi
 
Kwahiyo batili iendelee kuwepo mbona chadema inaikosoa ccm yote nikuwekana sawa mambo yakae kwenye msatari, hivi unaweza kunionyesha wapi waislamu wanamtukana Yesu tena wao ndio wanamtetea upo hapo dogo

Kwahiyo nyie mnafanya siasa?
 
luka
matayo
petro
naomba majina ya baba zao ukinitajia tu naritadi




swali lingine?
 
Tuseme wewe huna mchango wowote maana nakuona unachombeza tuu ,wewe haya mambo unayaelewajeelewaje?

Mkuu huyu chamtemamoto ni katika wale wapiga vigeregere kanisani!

Huwa wanakodishwa hata kwenye misiba!

Manake mtu kama huyu akianza kupiga vigeregere au kulia misibani, hanyamazi mpaka aliyemlipa amkataze!

Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
swali lingine?

Wewe jibu swali! Kujishaua kwako hakukusaidii!
Leta majina ya hawa waandishi wa biblia"-

Matthew.....?
Mark......?
John. .....?
Peter.....?

Nakupa mfano hapa!
Manake inabidi niongee kama namfundisha mtoto!

Kwenye uislamu tunao.
Issa ibn Mariam
Muhammad ibn Abdillahi.
Suleiman ibn daud.
Ibrahim ibn aazar.
Nakadhalika!

Wee wala uspate taabu! Sijui padero sijui bla..bla..bla..!
We andika majina yao kama mimi! Halafu ambatanisha na andiko!
Sasa tazama mfarisayo atakavyo jiwehusha hapa!
 
Kwahiyo batili iendelee kuwepo mbona chadema inaikosoa ccm yote nikuwekana sawa mambo yakae kwenye msatari, hivi unaweza kunionyesha wapi waislamu wanamtukana Yesu tena wao ndio wanamtetea upo hapo dogo
HII NI BATILI AU SIO BATILI?
Ilunga akiwa Mwanza aliwahutubia waislam na kuwaambia kuwa "Waue mapadri, Maaskofu na Wachungaji, iwe adharani ama kwa kujificha". Baada ya maelekezo hayo, waumini wa kiislam wameitikia.
* 5:51. Enyi mlio amini! Si
halali kwenu
kuwachukua Mayahudi
na Wakristo mkawafanya
ndio marafiki zenu. Wao
hao ni sawa sawa katika
kukufanyieni uadui. Na
mwenye kufanya urafiki
nao, basi ni kundi moja
nao. Na hakika
Mwenyezi Mungu
hawaongoi wanao
jidhulumu nafsi zao kwa
kufanya urafiki na
makafiri.
5: 51. Enyi mlio amini!
Msiwafanye Mayahudi
na Wakristo kuwa ni
marafiki. Wao ni
marafiki wao kwa wao.
Na miongoni mwenu
mwenye kufanya urafiki
nao, basi huyo ni katika
wao.

Kupandikiza chuki ni batili au sio batili?
 

Hii ni tafsiri yako wewe mgalatia!
Huko sio kuoandikiza chuki BALI NI TAHADHARI.

Sisi HAIWEZEKANI TUKAWA MARAFIKI NA MAKAFIRI!

Trough out the history, toka wakati wa nyerere waislamu wamenyanyaswa saana, wengi wameuwawa na kufungwa bila hatia. Mpaka leo wanafunzi wa kiislamu wanafelishwa kusudi ktk mfumo kristo! Nafasi serikalini wanapeana wakiristo!

HALAFU UNATAKA SIE BADO TUWE MARAFIKI NA WANAFIKI??

Mungu Aliyajua haya ndio akatutahadharisha na kuwafanya watu kama wewe Rafiki!

Unajifanya muungwana mbele yangu! Nikigeuka unanchoma kisu unaniua!!

Si tunachofanya ni kukaa mbali na washirikana! Baaaas,
 





?????????????????????????????????????????????????????????????????????????
 
hivi kuna injili ya daud?

Ama iko agana la kale?

Main article: Islamic view of David
David (Arabic داود, Dāwūd) is a highly important figure in Islam as one of the major prophets sent by God to guide the Israelites. David is mentioned several times in the Qur'an, often with his son Solomon. The actual Arabic equivalent to the Hebrew Davīd is Wadūd, which means beloved. This happens to be a Sifat (Attribute) of God in the Qur'an.In the Qur'an: David killed Goliath (II: 251), Goliath was a powerful king who used to invade random kingdoms and villages. Goliath was spreading evil and corruption. When David killed Goliath, God granted him kingship and wisdom and enforces it (XXXVIII: 20). David is made God's "vicegerent on earth" (XXXVIII: 26) and God further gives David sound judgment (XXI: 78; XXXVII: 21–24, 26) as well as the Psalms, which are regarded as books of divine wisdom (IV: 163; XVII, 55). The birds and mountains unite with David in uttering praise to God (XXI: 79; XXXIV: 10; XXXVIII: 18), while God instructs David in the art of fashioning chain-mail out of iron (XXXIV: 10; XXI: 80). Together with Solomon, David gives judgment in a case of damage to the fields (XXI: 78) and David judges in the matter between two disputants in his prayer chamber (XXXVIII: 21–23). Since there is no mention in the Qur'an of the wrong David did to Uriah nor is there any reference to Bathsheba, Muslims reject this narrative.[54]

Muslim tradition and the hadith stress David's zeal in daily prayer[55] as well as in fasting. Qur'an commentators, historians and compilers of the numerous Stories of the Prophets elaborate upon David's concise Qur'anic narratives and specifically mention David's gift in singing his Psalms as well as his musical and vocal talents. His voice is described as having had a captivating power, weaving its influence not only over man but over all beasts and nature, who would unite with him to praise God.[56]
 
hapo pazito.umepigilia msumari wa inchi 9;
 
Last edited by a moderator:
Nyie mnaiamini Torah Je niambie Musa ana majina mangapi
His father was Amram,His mother was Jochebed,His wife was Zipporah,his sons were Gershom and Eliezer,his brother was Aaron,and his sister was Miriam
Ex 6:16,18,20;2:7
Hebrews 11:23
Exodus 2:1...
 
Obsession ya Ulungata..headless dhidi ya Yesu ipo Juu hadi sasa anaisuta Al-Kitab kwa uongo ..kutkuwa na akili ni kiini ch akukufuru..Umechukua aya za atheist vibaya ,ukidhani unapinga Biblia kubmbe sasa umefikia kupinga yaliyoandikwa ktk al-kitab.Najua huogopi kwa vile unajua nani kaandika.
 
Umepata aibu,baada ya kuitoa aya kwa kiswahili,Maneno ya shetani yanaondolewa,halafu mwenyewe Mungu,anayahakikisha kama yako sawa,ndio yanawafikia waumini.

Aibu ya nini wakati ,hata ktk copy ya kiswahili tafsiri si km yako...by the waya nasoma copy aliyodhamini king abdullah..kwa jaili ya makafir..yaani ile opy iliyotakswa na kuondolea ugly words.

Sasa kwa akili yako unadhani kiswahili ch aaya nilizoandika ndio uliyoweka?wewe kweli ipo kasoro...slave wa allah..uliyejisalimisha kwa mohamed.

We call our God father..are jealous?Wengi wa waislam wana wivu sana ndio maana wakikaa wanaota mkristu awajibu matusi wakachoem makanisa ili yapungue....haha
 

Haha...wwe ni mwehu....sas shida yako nini?Yesu aliwataka wanafunzi wake wa shuhudie yote na kwenda kuyatangaza kwa mataifa....Sasa ulitegemea nini?Ulitaka wahubiri wakatai mhubiri mkuu alikuwepo?Ulitaka wakafundishie halafu sehemu Muhimnu ya Kifo na Kufufuk kwa Yesu akashuhudie nani?Km wehu km nyie leo mnapinga walichoshuhudia km hawakushuhudia ingekuweje?Yesua liona mbali kuliko mohamed..ndio maana leo dini yenu ni hapahapa...tena haitakiwi toka mbali nje ya tropics....Mtashindwa funga na kufungua, mtashindwa tiem adhana.


Acehni ujinga nyie....Quran yenyewe yenyewe inasema kuwa imebadilishwa aya baada ya shetani kuweka zake...kwanza Quran haijakamilika..wale jamaa wa Al-Badr waliokwenda ktk vita zenuzisizo na kichwa hadi miguu(Bora tuu majinn yapate damu) walikufa na mistari waliyokariri..HUwa nyie huwa mnasema kifuani sijui kumbukumbu zinakaa kifuani.Ndipo ikapita Amri magaidi wote wakusanyike..kila mtu aanze rudia quran, mwenye mistrari iliyokubalika zaidi ikachukuliwa na kuandika.Zilikuwa copy kibao za quran...ile waliyoona best wakaichukua na kuchoma nyingine.Ndio maana hadi leo waislam ani so distructive,huwa wanachoma kila kitu...Kadanganyane na watumwa/mateka wa mohamed na allah..Wenye akili hawanunui huo ujinga.

Dini kongwe hata bantu union wanasema hivyo,hata freemasons na animists engi wanaamini hivyo..Ila so fara kihistoria wahindi ndio wamekaa muda mrefu....ila Uislam unaanzaia ktk NGUZO 5 +ya 6 ya JIhad(Ugaidi)....otherwise utakuwa umejidanganya sana.Juu hadpo nimewapa majibu ..ila kwa vile mmejisalimisha lazima mkubali upotoshaji ata iwe kifo.

Conclusion ya km ya nyumbu..hakuna Yesu hakuhubiri dini km fikra za kiislam zinavyolazimisha kuamini dini..Injil si dini, na Injil ni Neno ..yesu mwenyewe alikuwa Injil.....kwa nini tena mtu ahitaji dini?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…