Hii ni tafsiri yako wewe mgalatia!
(1KWA HIYO MIMI NDIO MWANDISHI WA QURAN, AU HII
LUGHA NI YA KUZIM HAIELEWEKI?)
Huko sio kupandikiza chuki BALI NI
TAHADHARI.
Sisi HAIWEZEKANI TUKAWA MARAFIKI NA MAKAFIRI!
(Nini maana ya makafiri kwa kiswahili?)
Trough out the history, toka wakati wa nyerere waislamu wamenyanyaswa saana, wengi wameuwawa na kufungwa bila hatia. Mpaka leo wanafunzi wa kiislamu wanafelishwa kusudi ktk mfumo kristo! Nafasi serikalini wanapeana wakiristo!
(EBU WEKA HAPA USHAIDI WA MADAI YAKO KAMA SIO DHANA)
(KWA NINI BADALA YA KULALAMIKA MSIISHITAKI SERIKALI KWA KUWAUWA WAISLAM, KUWAFELISHA, NA KUWANYANYASA?
halafu unataka sie bado tuwe marafiki na wanafiki??
MNAFIKI NI MTU WA NAMNA GANI?
Mungu Aliyajua haya ndio akatutahadharisha na kuwafanya watu kama wewe Rafiki!
Unajifanya muungwana mbele yangu! Nikigeuka unanchoma kisu unaniua!!
(HII NI DHANA SINA HIYO ROHO YA KUUWA)
Si tunachofanya ni kukaa mbali na washirikana! Baaaas,