UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Mungu mmoja katika aina tatu tofauti za ufanyaji kazi!!!!!!

Moja
Mungu kama muumbaji[Niko ambae niko]

Mbili
Mungu kama mwokozi[Yesu kristo]

Tatu
Mungu kama mwalimu[Roho mtakatifu]

Swali lingine?

Na huyo mmoja alipokufa kwa siku tatu!
Huo utatu bado ulikuwepo??
 
Halafu huwa nasikia eti kuna vitabu vinne mnavyoviamini

Taurati,injil,zaburi na quran

Sasa mimi nimeshaiona tu quran ambayo mnaiamini,hivyo vitabu vingine viko wapi?

Huwa unaskia kwa nani!?
Au roho matakatifu aliku bip!
 
Haha...wwe ni mwehu....sas shida yako nini?Yesu aliwataka wanafunzi wake wa shuhudie yote na kwenda kuyatangaza kwa mataifa....Sasa ulitegemea nini?Ulitaka wahubiri wakatai mhubiri mkuu alikuwepo?Ulitaka wakafundishie halafu sehemu Muhimnu ya Kifo na Kufufuk kwa Yesu akashuhudie nani?Km wehu km nyie leo mnapinga walichoshuhudia km hawakushuhudia ingekuweje?Yesua liona mbali kuliko mohamed..ndio maana leo dini yenu ni hapahapa...tena haitakiwi toka mbali nje ya tropics....Mtashindwa funga na kufungua, mtashindwa tiem adhana.


Acehni ujinga nyie....Quran yenyewe yenyewe inasema kuwa imebadilishwa aya baada ya shetani kuweka zake...kwanza Quran haijakamilika..wale jamaa wa Al-Badr waliokwenda ktk vita zenuzisizo na kichwa hadi miguu(Bora tuu majinn yapate damu) walikufa na mistari waliyokariri..HUwa nyie huwa mnasema kifuani sijui kumbukumbu zinakaa kifuani.Ndipo ikapita Amri magaidi wote wakusanyike..kila mtu aanze rudia quran, mwenye mistrari iliyokubalika zaidi ikachukuliwa na kuandika.Zilikuwa copy kibao za quran...ile waliyoona best wakaichukua na kuchoma nyingine.Ndio maana hadi leo waislam ani so distructive,huwa wanachoma kila kitu...Kadanganyane na watumwa/mateka wa mohamed na allah..Wenye akili hawanunui huo ujinga.

Dini kongwe hata bantu union wanasema hivyo,hata freemasons na animists engi wanaamini hivyo..Ila so fara kihistoria wahindi ndio wamekaa muda mrefu....ila Uislam unaanzaia ktk NGUZO 5 +ya 6 ya JIhad(Ugaidi)....otherwise utakuwa umejidanganya sana.Juu hadpo nimewapa majibu ..ila kwa vile mmejisalimisha lazima mkubali upotoshaji ata iwe kifo.

Conclusion ya km ya nyumbu..hakuna Yesu hakuhubiri dini km fikra za kiislam zinavyolazimisha kuamini dini..Injil si dini, na Injil ni Neno ..yesu mwenyewe alikuwa Injil.....kwa nini tena mtu ahitaji dini?

Bla..bla..bla..!
We unatokwa mapovu ovyoo!
Teh teh teh teh!
Onongea weeeeee! Halafu yooote usemayo unayatoa kichwani kwako!!
Sijui shetani ohh damu ...ohh ninafikiri..!

Teh teh teh teh! We mi nadhani una pepo wa nguruwe! Ngoja nimuite yule shangzi yenu pengo akuongeze mwili wa bwana!
 
His father was Amram,His mother was Jochebed,His wife was Zipporah,his sons were Gershom and Eliezer,his brother was Aaron,and his sister was Miriam
Ex 6:16,18,20;2:7
Hebrews 11:23
Exodus 2:1...

Wee Geeky japokuwa hukustahili kupewa haya majibu lkn umesaidiwa,
Sasa jibu ya kwangu kama wewe ni mkristo kweli!
Nipe majina ya wazazi wa hawa watu!

Matayo ,
Yohana.
Peter.
Mark.
Luka.
Kama huna jibu sema!
 
Last edited by a moderator:
Hii ni tafsiri yako wewe mgalatia!
Kwa hiyo mimi ndio mwandishi wa quran, au hii lugha ni ya kuzimuni aieleweki,
Huko sio kupandikiza chuki BALI NI TAHADHARI.

Sisi HAIWEZEKANI TUKAWA MARAFIKI NA MAKAFIRI!
Nini maana ya makafiri kwa kiswahili?

Trough out the history, toka wakati wa nyerere waislamu wamenyanyaswa saana, wengi wameuwawa na kufungwa bila hatia. Mpaka leo wanafunzi wa kiislamu wanafelishwa kusudi ktk mfumo kristo! Nafasi serikalini wanapeana wakiristo!
Kwa nini badala ya kulalamika msiishitaki serikali kwa kuwauwa waislam na kufelisha waislam na kuwanyanyasa?

HALAFU UNATAKA SIE BADO TUWE MARAFIKI NA WANAFIKI??

Mungu Aliyajua haya ndio akatutahadharisha na kuwafanya watu kama wewe Rafiki!

Unajifanya muungwana mbele yangu! Nikigeuka unanchoma kisu unaniua!!
Hii ni dhana sina hiyo roho ya kuuwa,

Si tunachofanya ni kukaa mbali na washirikana! Baaaas,
Kumpenda adui na kumuombea anaekuuzi ndio ushirikina?
Ustaadhi Ilunga akiwa Mwanza aliwahutubia waislam na kuwaambia kuwa "Waue mapadri, Maaskofu na Wachungaji, iwe adharani ama kwa kujificha". Baada ya maelekezo hayo, waumini wa kiislam wameitikia
HAPA KUNA TAHAZARI GANI?
* 51. Enyi mlio amini! Si
halali kwenu
kuwachukua Mayahudi
na Wakristo mkawafanya
ndio marafiki zenu. Wao
hao ni sawa sawa katika
kukufanyieni uadui. Na
mwenye kufanya urafiki
nao, basi ni kundi moja
nao. Na hakika
Mwenyezi Mungu
hawaongoi wanao
jidhulumu nafsi zao kwa
kufanya urafiki na
makafiri.
51. Enyi mlio amini!
Msiwafanye Mayahudi
na Wakristo kuwa ni
marafiki. Wao ni
marafiki wao kwa wao.
Na miongoni mwenu
mwenye kufanya urafiki
nao, basi huyo ni katika
wao. Hakika Mwenyezi
Mungu hawaongoi watu
HAPA KUNA TAHAZARI GANI?
Kwa hiyo kikwete amefanya urafiki na wakristo ndio maana mkamsomea HITIFAKE?
 
Bla..bla..bla..!
We unatokwa mapovu ovyoo!
Teh teh teh teh!
Onongea weeeeee! Halafu yooote usemayo unayatoa kichwani kwako!!
Sijui shetani ohh damu ...ohh ninafikiri..!

Teh teh teh teh! We mi nadhani una pepo wa nguruwe! Ngoja nimuite yule shangzi yenu pengo akuongeze mwili wa bwana!
Teh teh teh! Mipini ya maana hii kuijibu lazima upate kwanza mambo yetu yale Viroba.
 
Mkuu huyu chamtemamoto ni katika wale wapiga vigeregere kanisani!

Huwa wanakodishwa hata kwenye misiba!

Manake mtu kama huyu akianza kupiga vigeregere au kulia misibani, hanyamazi mpaka aliyemlipa amkataze!

Teh teh teh teh!
duh...mkuu utanivunja mbavu asee.mi nimemgundua tangu mwanzo yani yeye anachombeza kisha kimyaa.
 
Last edited by a moderator:
Wee Geeky japokuwa hukustahili kupewa haya majibu lkn umesaidiwa,
Sasa jibu ya kwangu kama wewe ni mkristo kweli!
Nipe majina ya wazazi wa hawa watu!

Matayo ,
Yohana.
Peter.
Mark.
Luka.
Kama huna jibu sema!

Quote me the Qur'an I want the Moses of quran. Kama Una quote bible it means unaiamin ila kwa sehemu au na Kosea.
You're out of context already Yaani nyie watu mnatafuta ligi tu basi. Hakuna lolote. All the while mna quote bible. Mzozo hapo awali ulikuwa kwanini vitabu vya injili vina majina kifupi bila ubini. tukauliza ubini wa Musa mbona hautajwi mara zote? sote tunamjua Musa wa torati sio kwamba hana baba kumtaja Musa na ubini wake kila saa wala haina maana. sio kwamba sijui ana ubini, kwa sababu hiyo bible hadi kuna kitabu cha hesabu tupu za mbari ya wa Israel wote. Soma hesabu - do your homework.


Majibu yako. Haya
----------
Source Wikipedia - saint Matthew.
Early life

Matthew was a 1st-century Galilean (presumably born in Galilee, which was not part of Judea or the Roman Iudaea province) and the son of Alphas.

---------------
Saint Peter (Latin: Petrus, Greek: Πέτρος-Petros; died AD 64 or 67[3]), also known as Simon Peter,
**Aliitwa Simon Peter.

---------
John the Apostle (Aramaic Yoħanna, Koine Greek Ἰωάννη&#962😉 (c. AD 6 – c. 100) was one of the Twelve Apostles of Jesus according to The Bible. He was the son of Zebedee and Salome and brother of James, son of Zebedee,

Do your homework.
 
Last edited by a moderator:
Haha...wwe ni mwehu....sas shida yako nini?Yesu aliwataka wanafunzi wake wa shuhudie yote na kwenda kuyatangaza kwa mataifa....Sasa ulitegemea nini?Ulitaka wahubiri wakatai mhubiri mkuu alikuwepo?Ulitaka wakafundishie halafu sehemu Muhimnu ya Kifo na Kufufuk kwa Yesu akashuhudie nani?Km wehu km nyie leo mnapinga walichoshuhudia km hawakushuhudia ingekuweje?Yesua liona mbali kuliko mohamed..ndio maana leo dini yenu ni hapahapa...tena haitakiwi toka mbali nje ya tropics....Mtashindwa funga na kufungua, mtashindwa tiem adhana.


Acehni ujinga nyie....Quran yenyewe yenyewe inasema kuwa imebadilishwa aya baada ya shetani kuweka zake...kwanza Quran haijakamilika..wale jamaa wa Al-Badr waliokwenda ktk vita zenuzisizo na kichwa hadi miguu(Bora tuu majinn yapate damu) walikufa na mistari waliyokariri..HUwa nyie huwa mnasema kifuani sijui kumbukumbu zinakaa kifuani.Ndipo ikapita Amri magaidi wote wakusanyike..kila mtu aanze rudia quran, mwenye mistrari iliyokubalika zaidi ikachukuliwa na kuandika.Zilikuwa copy kibao za quran...ile waliyoona best wakaichukua na kuchoma nyingine.Ndio maana hadi leo waislam ani so distructive,huwa wanachoma kila kitu...Kadanganyane na watumwa/mateka wa mohamed na allah..Wenye akili hawanunui huo ujinga.

Dini kongwe hata bantu union wanasema hivyo,hata freemasons na animists engi wanaamini hivyo..Ila so fara kihistoria wahindi ndio wamekaa muda mrefu....ila Uislam unaanzaia ktk NGUZO 5 +ya 6 ya JIhad(Ugaidi)....otherwise utakuwa umejidanganya sana.Juu hadpo nimewapa majibu ..ila kwa vile mmejisalimisha lazima mkubali upotoshaji ata iwe kifo.

Conclusion ya km ya nyumbu..hakuna Yesu hakuhubiri dini km fikra za kiislam zinavyolazimisha kuamini dini..Injil si dini, na Injil ni Neno ..yesu mwenyewe alikuwa Injil.....kwa nini tena mtu ahitaji dini?

Mungu akupe hekima na akili ya kutafuta ukweli na akujaalie utambue ukweli uko wapi akuondoe katika giza la ujinga ulilonalo...
akuondoshee matusi katika ulimi wako...akujalie uwe mtu wa heshima na busara kama alivokua yesu....asietukana watu
 
Kwanini mnahgangaika kuhubiri kwakukosoa dini za wengine badala ya kuhubiri kwa kueneza dini zenu?
dini yetu ndio inatufundisha hivyo kuweka sawa uondo ulo enezwa dhidi ya Yesu...ametajwa ndani ya Quraan hivyo kusema na kufanya utafiti na kuanisha ukweli juu ya ibada hii ya kuabudu binaadamu na kuabudu masanamu ni amrisho....
hatuhangaiki bali tunafanya tulivo amrishwa kuwa onyesha mwanga ....kuwambia mnakosea....njooni katika njia iliyo nyooka
 
dini yetu ndio inatufundisha hivyo kuweka sawa uondo ulo enezwa dhidi ya Yesu...ametajwa ndani ya Quraan hivyo kusema na kufanya utafiti na kuanisha ukweli juu ya ibada hii ya kuabudu binaadamu na kuabudu masanamu ni amrisho....
hatuhangaiki bali tunafanya tulivo amrishwa kuwa onyesha mwanga ....kuwambia mnakosea....njooni katika njia iliyo nyooka

Kwahiyo Quraan inasema kuwa nyie mkosoe dini za watu tu sio kuhubiri dini yenu?
 
Hii ni tafsiri yako wewe mgalatia!
Huko sio kuoandikiza chuki BALI NI TAHADHARI.

Sisi HAIWEZEKANI TUKAWA MARAFIKI NA MAKAFIRI!

Trough out the history, toka wakati wa nyerere waislamu wamenyanyaswa saana, wengi wameuwawa na kufungwa bila hatia. Mpaka leo wanafunzi wa kiislamu wanafelishwa kusudi ktk mfumo kristo! Nafasi serikalini wanapeana wakiristo!

HALAFU UNATAKA SIE BADO TUWE MARAFIKI NA WANAFIKI??

Mungu Aliyajua haya ndio akatutahadharisha na kuwafanya watu kama wewe Rafiki!

Unajifanya muungwana mbele yangu! Nikigeuka unanchoma kisu unaniua!!

Si tunachofanya ni kukaa mbali na washirikana! Baaaas,

Hii ni tafsiri yako wewe mgalatia!

(1KWA HIYO MIMI NDIO MWANDISHI WA QURAN, AU HII
LUGHA NI YA KUZIM HAIELEWEKI?)

Huko sio kupandikiza chuki BALI NI
TAHADHARI.

Sisi HAIWEZEKANI TUKAWA MARAFIKI NA MAKAFIRI!

(Nini maana ya makafiri kwa kiswahili?)

Trough out the history, toka wakati wa nyerere waislamu wamenyanyaswa saana, wengi wameuwawa na kufungwa bila hatia. Mpaka leo wanafunzi wa kiislamu wanafelishwa kusudi ktk mfumo kristo! Nafasi serikalini wanapeana wakiristo!

(EBU WEKA HAPA USHAIDI WA MADAI YAKO KAMA SIO DHANA)

(KWA NINI BADALA YA KULALAMIKA MSIISHITAKI SERIKALI KWA KUWAUWA WAISLAM, KUWAFELISHA, NA KUWANYANYASA?


halafu unataka sie bado tuwe marafiki na wanafiki??

MNAFIKI NI MTU WA NAMNA GANI?

Mungu Aliyajua haya ndio akatutahadharisha na kuwafanya watu kama wewe Rafiki!

Unajifanya muungwana mbele yangu! Nikigeuka unanchoma kisu unaniua!!

(HII NI DHANA SINA HIYO ROHO YA KUUWA)

Si tunachofanya ni kukaa mbali na washirikana! Baaaas,

KUMPENDA ADUI NA KUMUOMBEA ANAEKUHUZI NDIO USHIRIKINA?

Ustaadhi Ilunga akiwa Mwanza aliwahutubia waislam na kuwaambia kuwa "Waue mapadri, Maaskofu na Wachungaji, iwe adharani ama kwa kujificha". Baada ya maelekezo hayo, waumini wa kiislam wameitikia

HAPA KUNA TAHAZARI GANI?

* 51. Enyi mlio amini! Si
halali kwenu
kuwachukua Mayahudi
na Wakristo mkawafanya
ndio marafiki zenu. Wao
hao ni sawa sawa katika
kukufanyieni uadui. Na
mwenye kufanya urafiki
nao, basi ni kundi moja
nao. Na hakika
Mwenyezi Mungu
hawaongoi wanao
jidhulumu nafsi zao kwa
kufanya urafiki na
makafiri.
51. Enyi mlio amini!
Msiwafanye Mayahudi
na Wakristo kuwa ni
marafiki. Wao ni
marafiki wao kwa wao.
Na miongoni mwenu
mwenye kufanya urafiki
nao, basi huyo ni katika
wao. Hakika Mwenyezi
Mungu hawaongoi watu

HAPA KUNA TAHAZARI GANI?

KWA HIYO KIKWETE AMEFANYA URAFIKI NA WAKRISTO NDIO MAANA MKAMSOMEA HITIFAKE?
 
Rejea hizi tano ni muhimu kwa wanafunzi wahistoria ya siasa Tanzania; na kwa mtafiti yeyote anaetaka kujua chanzo chachuki baina ya Waislam na serikali na chanzo cha hisia kali za kidinizinazoikumba nchi yetu kuanzia miaka ya 1980.
Jan P van Bergen katika kitabu chake, Developmentand Religion in Tanzania, (1981) ametoboa siri kuhusu uadui aliokuwa naoNyerere dhidi ya Uislamu na Waislamu. Kitabu kinaeleza kwa ufasaha jinsiNyerere wakati alipokuwa madarakani alivyokuwa akifanya mikutano ya siri naviongozi wa Kanisa kuweka mikakati ya kuupa nguvu Ukristo. Katika mikutano hiyoNyerere aliwahakikishia viongozi wa Kanisa kuwa anaaunga mkono Ukristo. Kitabuhicho kinaeleza jinsi Nyerere alivyotimiza ahadi yake hiyo kwa Kanisa kwakuhakikisha kuwa anawapa Wakristo nafasi za juu katika serikali na chama. Kitabuhiki kilikuwa kikiuzwa Catholic Bookshop, Dar es Salaam. Lakiniilipokuja kudhihirikia Kanisa kuwa kitabu hiki kilikuwa kinatoa habari nyeti nasiri za Kanisa kuhusu njama dhidi ya Waislam, kwa haraka sana kikaacha kuuzwa.Hadi hivi sasa kitabu hicho ni marufuku kuletwa tena Tanzania.
Kitabu cha pili ni cha Dr John C. Sivalon, KanisaKatoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985 (1992). Kitabu hikikinaeleza njama ndani ya serikali kuuhujumu Uislam. Sivalon anafichua kuwakuanzia mwaka 1961 baada ya Tanganyika kupata uhuru, Kanisa lilikuwa na hofumbili. Hofu ya kwanza ilikuwa umoja wa madhehebu za Kiislamu kati ya Sunni,Bohora, Ismailia na Ithnasheri. Hofu ya pili ilikuwa kuhamishwa kwa makao makuuya EAMWS kutoka Mombasa kuja Dar es Salaam. Kanisa lilikuwa linahofu kuwa maliwalizokuwanazo Waasia Waislamu zikitiwa katika shughuli za Waislamu ambaowalikuwa na nguvu kubwa katika uwanja wa siasa zitaathiri maslahi ya Ukatolikikatika Afrika ya Mashariki. Kwa ajili hii Kanisa likatanganza kuwa Uislamu niadui wake na ikaanza mikakati ya hujma dhidi ya Uislamu ili kuudhoofisha.
Kuna kazi mbili zilizoandikwa na Waislamukuhusu uhusiano baina ya serikali na Waislamu. Kazi ya kwanza ni tasnifu yaKiwanuka, 'The Politics of Islam in Bukoba District' (1973); kazi yapili ni makala ya utafiti 'Islam and Politics in Tanzania' (1989) iliyoandikwana BWANA MOHAMMED SAID mwandishiambaye sasa hivi anaandika kitabu kinachoitwa "Mwalimu Julius K.Nyerere, Kanisa Katoliki na Uislamu: Dola na tatizo la Udini Tanzania"
Halikadhalika ipo 'Kwikima Report' (1968)ambayo imeeleza kwa ufasaha tatizo la EAMWS, chanzo chake na mchango waserikali katika kuhujumu umoja wa Waislamu. Taarifa hii inafaa kutumika leokama dira ya kuelewa tatizo la Waislamu wa Tanzania kama ilivyokuwa wakati uleilipotolewa kwa mara ya kwanza.
The Literature Reviews are the bases inresearch. Unapaswa usome matokeo ya tafiti tofauti zilizoandikwa juu ya kituunachotaka kukitafiti ili upate deep insight ya kitu hicho kabla hujaanzautafiti. Unatakiwa pia ufanye Critical Assessment and Analysis, sio tukukurupuka ukaandika kama mwanafunzi wa darasa la saba. Na tabia yaku stereotypejamii fulani ya watu kuwa hawakwenda shule isipokuwa ninyi tu hilo nikosa, watuwapo na vichwa vyao wametulia tu kwakuwa sifa ya kibri na ya majivuno ni yaMungu tu.
 
KUMPENDA ADUI NA KUMUOMBEA ANAEKUHUZI NDIO USHIRIKINA?

Ustaadhi Ilunga akiwa Mwanza aliwahutubia waislam na kuwaambia kuwa "Waue mapadri, Maaskofu na Wachungaji, iwe adharani ama kwa kujificha". Baada ya maelekezo hayo, waumini wa kiislam wameitikia

HAPA KUNA TAHAZARI GANI?

* 51. Enyi mlio amini! Si
halali kwenu
kuwachukua Mayahudi
na Wakristo mkawafanya
ndio marafiki zenu. Wao
hao ni sawa sawa katika
kukufanyieni uadui. Na
mwenye kufanya urafiki
nao, basi ni kundi moja
nao. Na hakika
Mwenyezi Mungu
hawaongoi wanao
jidhulumu nafsi zao kwa
kufanya urafiki na
makafiri.
51. Enyi mlio amini!
Msiwafanye Mayahudi
na Wakristo kuwa ni
marafiki. Wao ni
marafiki wao kwa wao.
Na miongoni mwenu
mwenye kufanya urafiki
nao, basi huyo ni katika
wao. Hakika Mwenyezi
Mungu hawaongoi watu

HAPA KUNA TAHAZARI GANI?

KWA HIYO KIKWETE AMEFANYA URAFIKI NA WAKRISTO NDIO MAANA MKAMSOMEA HITIFEKI?



ukimaliza kunywa wakati ukiwa hadhir au sober..
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom