UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Kwa mtu mwenye upeo na fikra pana, ukisoma kwa umakini maandishi ya Jan P van Bergen na John Sivalon utaona kuwa tafiti zao zilikuwa sahihi katika mapito ya Tanzania toka mikono ya Mkoloni, mikono ya Julius Nyerere na mwangaza mpya wa Tanzania hii tuionayo leo,

Tofauti na uhalisia huo, Waislamu wametohoa tafsiri yakuwa Mwalimu Nyerere ndie creator wa mfumo, kumbe alikuwa ndie destroyer

........we jamaa ukoje ? yaani mzushi mzushi tuu !...........hii tafiti yako na hayo na hizo numbers unazoziweka, kweli unaweza kufanya mtu mmoja tena kwa gharama zako ??.........kwa nini unakuwa muongo na mzushi katika public ??:heh:
 
Wewe kijana chamtemamoto !
umekuwa ukitaja taja kila mara UKRITO ee UKRISTO oo!

Hebu tusaidie MAANA YA UKRISTO!

AU unaona raha tu kuitwa MKRISTO!

TAFADHALI USINIPE MAANA KUTOKA KICHWANI KWAKO!

NATAKA ANDIKO!

AU WAPI BIBLIA INASEMA" KUWENI WAKRISTO"

Maelezo meengi staki! We nipe andiko tu!

Kwa mfano Sisi waislamu tumeambiwa hivi ktk QURAAN;-

Surat Al maida 5:3

ِ ۚ الْيَوْمَ أَكْمَلْتُ لَكُمْ دِينَكُمْ وَأَتْمَمْتُ عَلَيْكُمْ نِعْمَتِي وَرَضِيتُ لَكُمُ الْإِسْلَامَ دِينًا ۚ

This day have I perfected your religion for you and completed My favour unto you, and have chosen for you as religion al-Islam.

Yaani tumeambiwa tuwe WAISLAMU!

Ntakupa dondoo kidogo!

Wafuasi wa Abraham hawakuitwa Abrahamian!

Wafuasi wa moses hawaitwi Mosesian!

Wafuasi wa david hawakuitwa Davidian!

Wafuasi wa Solomon hawakuitwa Solomian!

Na

Wafuasi wa Muhammad s.a.w hawaitwi Muhamadian!

Sasa swali linakuja!

KWA NINI WAFUASI WA JESUS CHRIST WAITWE CHRISTIAN???

AU WAPI WEWE ULIAMBIWA NA ANDIKO LAKO UWE UNAJIITA MKRISTO??

Ukijibu hili swali kwa HAKI! Utakuwa umeinusuru roho yako na moto wa jahannamu!

Hamna kitu unachouliza hapa zaidi ya kukimbia hoja: Swali lako lilishajibiwa tulikotoka, nanilikwisha waonya waislam muache kuuliza maswali yaliyokwishajibiwa, nakupa adhabu uanze kusoma post ya kwanza hadi ufike hapa, utapata majibu ya swali lako, na huo ugonjwa wa kusahau hautakurudia tena
TURUDI KWENYE HOJA
ISA SIYO YESU
AU NGOJA NIWARAHISISHIE
YESU WA KWENYE QURAN SIO HUYU YESU WA KWENYE BIBLIA
AU MNATAKA KUNIAMBIA KILA MTU ANAEITWA JAKAYA NI RAISI WA TANZANIA?
 
Last edited by a moderator:
Juu ya kutokuelewa kiti gani unasema hapo juu!
Kwa sababu unajiita doctor mi ntakuuliza swali moja tu!
WEWE UNAWEZA KUNIONYESHA ANDIKO LILILOSEMA KUWA "KUWENI WAKRISTO!" AU "UKRISTO NDIO IMANI YA KUFUATA" AU MKITAKA KUINGIA MBINGUNI BASI MUWE WAKRISTO!
AU YESU ANAWAAMBIA NYIE MUWE WAKRISTO!

Ni hilo tu doctor!!

Unataka andiko kutoka wapi? Wakristo tunaamini Biblia ambako Yesu anatuambia katika Yohana 14:6 kuwa "mimi ndimi njia na kweli na uzima, mtu haji kwa Baba ila kwa njia yangu". Wakristo ndiyo wale watu wanaoenda kwa Baba (Mungu) kwa njia ya Yesu Kristo. Na anatuhakikishia tena katika Yohana 14:13-14 kuwa chochote tutakachomwomba Mungu kwa Jina la Yesu atatupatia. Wakristo humwomba Mungu kwa Jina la Yesu kwa sababu ya ahadi hiyo. Na Yesu hakuishia tu katika kuwahimiza watu wamfuate yeye, aliwaagiza pia kufundisha imani hii kwa mataifa yote. Katika Mathayo 28:19-20 tunasoma maagizo haya ya Yesu akisema "Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari".

Bado hujakubali kuwa Yesu anataka tuwe wafuasi wake, yaani wakristo?
 
Sasa mbona munasema Yesu sio Isa kijana usidandie gari kwa mbele utaimbiwa "simbali karibuuu" lakini sio makosa yako huruhusiwi kuhoji kitu church na ukiuliza swali church utaambiwa kijana una pepo mbaya munapelekwa kibubusa biblia inasema musihojihojiii shindwaaa pepo:banghead::banghead:

Naona wewe umedandia kwenye tiry halafu gari ipo 160

Umekubali jibu ndio maana umeibuka na hoja tofauti na niliyojibu.
 
Ndugu nilikuwa naomba uongee kiswahili!
Kwa kweli sijakuelewa kabisa! Huenda ikawa una point muhimu unataka kuongea!
Hebu take a deep breath halafu anza tena upya kuandika!
Nakusubiri, tartibu dr usifanye haraka!

Hapa nina mbavu.
 
Yesu alituagiza mkitusema na kututukana tuwabariki.

Matthew 5:11-12
New King James Version (NKJV)
11 “Blessed are you when they revile and persecute you, and say all kinds of evil against you falsely for My sake. 12 Rejoice and be exceedingly glad, for great is your reward in heaven, for so they persecuted the prophets who were before you.

---
11.Heri ninyi watu watakapo watukana na kuwatesa na kuwanenea kila neno baya kwa hila kwaajili yangu. 12. Furahini hayo yanapotendeka maana thawabu yenu ni kubwa mbinguni, kwa maana ndivyo walivyowatendea manabii waliokuja kabla yenu.

.....waliomtukana na kumkejeli Yesu ni wale waliodai kumsulubu msalabani akiwa uchi, hali ya kuwa Biblia kupitia kumbukumbu la Tourati inasema, amelaaniwa yeyote aliyewambwa Msalabani !
Ndio maana Paulo kupitia Wagalatia akawauliza kuwa nyinyi mmerogwa..? ...ya kwamba mnashuhudia Yesu alisulubiwa!!?

Angalia Qur'an inamtukuza Yesu:

'Na kwa kusema kwao (Wakiristu):Sisi tumemuua Masihi Isah, mwana wa Maryam, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsulubu, bali walifananishiwa tu. Na hakika walio khitilafiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana nayo ujuzi wowote, ila ni kufuata dhana tu (wanafuata mkumbo tu). (hakika) Wala hwakumuuwa kwa yakini.

'Bali Mwenyezi Mungu alimtukuza kwake (alimtwaa), hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye Nguvu, Mwenye Hekima.

Quran:4:157-158.
 
YESU WA KWENYE QURAN SIO YESU WA KWENYE BIBLIA

KUSEMA YESU N ISSA hiyo ni KUFRU tena kashfa
kubwa sana kwa Wakristo,
basi kama mnataka semeni Nabii issa sio Allah, huo ni ukweli na wala sio kashfa, lakini ukitaja Yesu sio Mungu,unakashfu, kashfa ya kwanza ni ya kumfanya issa kuwa Yesu,kashfa ya pili kumfanya Mungu kuwa Allah. Sijui kama umeelewa, ukisema nabii issa sio Allah hata kwa kuweka speaker kubwa na zenye mawimbi makubwa na yanayoenda mbali kiasi gani hutasikia mtu akikulaumu labda kwa kelele kwa kuwa hilo halina uhusiano na ukristo.

........ukisema Jesus inakuwaje ?..........je Masihi (wazungu wanasema Masaya) .....je Immanuel ? napo ni kufuru ???:suspicious:
 
Ona ulivyokuwa mbulula Quran ni mjumuiko wa Torati,injil na Zaburi,sasa habari za Musa utazipata kupitia wapi na za Yesu na Daud usiwe mjinga kamanda.

Hapo hamna habari bali muhutasari wa habari tena wa kucopy na kupost toka ndani ya biblia,
Habari kamili ipo kwenye biblia
Kama wewe na wezako si waongo
Leta zaburi ya 23 hapa
Au leta injili hapa au leta taurati 28 hapa.
 
Yericko Nyerere sijui uliwaza nini kuja na utafiti huu. Tukupongeze lakini lazima tutoe maoni yetu na pia tukuulize
1. Comment: Nadhani ingeleta maana zaidi kama ungeweka hadharani utafiti wote ili watu "wanaobisha" wajiridhishe kama ulifuata taratibu stahiki za kiutafiti
2. Bila shaka utafiti huu ulihusisha Nyaraka kadhaa muhimu za Serikali mojawapo ambayo naamini umeitumia ni "Tanzania Government Directory"/Kitabu cha mawasiliano Serikalini ambapo toleo lake la mwisho ni la 2012. Je katika kitabu hicho, kina watumishi wangapi? na kati ya hao waislamu wangapi na wakristo wangapi?

Hata hivyo, sidhani kama hiyo dhana ya Mfumo Kristu iko katika misingi ya "idadi" kwamba ikitokea 50/50% basi ndio suluhu yake au ikitokea 60/40% au 40/60% Basi ni mfumo kristu au mfumo islam. Nionavyo hakuna kitu hicho ispokuwa kuna athari za kimazingira na makuzi ambazo hazina budi kurekebishwa kiendane na hali halisi kwa sasa ili kuondoa hicho kinachoitwa "mfumo kristu"

.........nimemuuliza maswali haya haya kutokea jana, lakini hayajibu !!.......tafiti aliyoileta inaweza kufanywa na Sinovate peke yake kwa muda aliutaja na kiwango cha watu uliowashirikisha.

Imagine uwahoji watu laki tatu !(300,000).....yaani ujaze uwanja wa Taifa mara elfu tano (5,000) !...kuna logic kweli hapo ???:suspicious:
cc: Yericko Nyerere
 
Hapo hamna habari bali muhutasari wa habari tena wa kucopy na kupost toka ndani ya biblia,
Habari kamili ipo kwenye biblia
Kama wewe na wezako si waongo
Leta zaburi ya 23 hapa
Au leta injili hapa au leta taurati 28 hapa.

.......katika Qur'an kuna surat Maryam, inamzungumzia Yesu na Mama yake, pia kuna surat Banii Israeli.......inazungumzia Wayahudi (hiyo ni Injil)

Kuna kisa cha Musa na nduguye Haruun (tokea wanapewa Unabii) hiyo ni Tourat !

Kuna Daudi na Jalut (goliath) hiyo ni Zaburi !
 
Kukosa elimu tamu,Mwakubali Yesu ni Jesus,lakini Yesu si Issa,ni utofauti wa matamshi ya lugha tu,mtu ni yule yule.Jesus in English,Yesu kiswahili,Issa kiarabu.Someni,acheni kununua vyeti.

JE YESU WA WAKRISTO NDIYE YULE ISA WA WAISLAM? Mara kwa mara, unaweza kuwasikia Waislamu wakisema kuwa Isa a.s. kama anavyotajwa ndani ya Qur’an tukufu, ndiye Yesu Kristo wa Nazareti, kama anavyotajwa ndani ya Biblia Takatifu. Wanafanya hivyo kwa kulinganisha baadhi ya aya zilizomo ndani ya Biblia Takatifu, na zile zilizomo ndani ya Qur’an. Kwa mfano, wanasema kwa mujibu wa Biblia mama yake Yesu Kristo anaitwa Mariamu. Wanasoma katika Injili ya Marko 6:3-4“Huyu si yule seremala, mwana wa Mariamu, na ndugu yao Yakobo, na Yose na Yuda na Simoni? Na maumbu yake hawapo hapa petu? Wakajikwaa kwake” . Wanafananisha aya hiyo na ile iliyomo ndani ya Qur’an katika Suratul Al-Maidah, 5:75 “ Masih bin Maryam si chochote ila ni mtume tu……”, Hoja nyingine wanayoitumia ni kusema kwamba eti jina Isa ni katika lugha ya Kiarabu. Jambo hilo siyo kweli. Kwa sababu katika lugha ya Kiarabu, Yesu anaitwa Yasu’a siyo Isa. Na ikumbukwe kuwa Biblia ndicho kitabu kilichotangulia kuwepo duniani miaka ipatayo 1500 kabla ya Qur’an. (Qur’an is a post Bible book). Hoja yetu kwa Waislamu ni hii nani aliyebadilisha jina Yasu’a kuwa Isa?. Jina Yasu’a linashabihiana zaidi na Jina Yehoshua ambalo hilo ni katika lugha ya Kiebrania, na katika Kiyunani lugha iliyotumika kuandika Agano Jipya anaitwa Iesous (tamka Yesu) tafsiri ya maneno hayo kwa lugha ya Kiswahili ni Mwokozi. Tunasoma hayo katika Math 1:21-23 “ Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana yeye ndiye atakaye waokoa watu wake na dhambi zao. Hayo yote yamekuwa ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa Nabii akisema Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi.” Hoja yetu Je Isa a.s naye ni Mwokozi na Imanueli kama alivyo Yesu Kristo?. Jambo jingine tunalopaswa kulizingatia tunapoangalia tofauti zao ni kuhusu mama zao. Mama yake Yesu Kristo ni Mariam anayetoka katika ukoo wa Yuda. Tunasoma hayo katika kitabu cha Mwanzo 49:10 “ Fimbo ya enzi haitaondoka katika Yuda, Wala mfanya sheria kati ya miguu yake,Hata atakapokuja Yeye, mwenye milki,Ambaye mataifa watamtii”. Unabii huu umetimia kwa Yesu Kristo.Tunasoma hayo katika Waebrania 7:14 “Maana ni dhahiri kwamba Bwana wetu alitoka katika Yuda, kabila ambayo Musa hakunena neno lolote juu yake katika mambo ya ukuhani” Lakini tusomapo habari za Isa, yeye mama yake anatoka ukoo wa Imrani. Ambaye ni baba yao Haruni, Miriamu na Musa. Tunayasoma hayo katika Suratul Al- Maryam 19:28 “Ewe dada yake Haruni. Baba yako hakuwa mtu mbaya. Wala mama yako hakuwa hasharati”. fafanuzi unaoifafanua aya hii ya 19:28 uliyomo ndani ya Qur’an, tafsiri ya King Fahd uk. 405, unasomeka hivi “ This Harun (Aaron) is not the brother of Musa (Moses), but he was another pious man at the time of Maryam (Mary)” Tafsiri “Huyu Harun siyo ndugu yake Musa, bali alikuwa ni mtu mwingine tu mcha Mungu, aliyeishi wakati wa kipindi cha Maryam” Kwa mujibu wa Biblia, Haruni ni mtoto wa mzee Amran na mama yao anaitwa Yekobedi na kwao wamezaliwa watoto watatu Haruni, Miriam na mdogo wao Musa. Tunasoma hayo katika kitabu cha Hesabu 26:59 “Na jina la mke wa Amramu aliitwa Yokebedi binti wa Lawi ,ambaye alizaliwa kwake Lawi huko Misri; na huyo Yokebedi akamzalia Amram Haruni,na Musa,na Miriamu umbu lao” Tofauti nyingine ni kuumbwa kwao: ISSA KAUMBWA. Qur’an Suratul Imran, 3:59 “ Bila shaka hali ya Isa kwa Mwenyezi Mungu ni kama hali ya Adam; alimwumba kwa udongo kisha akamwambia: “Kuwa”; basi akawa” Lakini tusomapo kumhusu YESU, YEYE HAKUUMBWA BALI NI NENO LA MUNGU. Yoh 1 : 1,14 “Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu naye Neno alikuwa Mungu……..Naye Neno alifanyika mwili akakaa kwetu…….” Mika 5:2 “ Bali wewe, Bethlehem Efrata, uliye mdogo kuwa miongoni mwa elfu za Yuda; kutoka kwako wewe atanitokea mmoja atakayekuwa mtawala katika Israel; ambaye matokeo yake yamekuwa tangu zamani za kale, tangu milele” Yoh: 8:58 “ Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahim asijakuwako, mimi niko”. Zaidi ya hayo Biblia inatujulisha kuwa yeye ndiye Muumbaji mwenyewe Yoh 1:3 “Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika” Kol 1:16-17 “ Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana ; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake na kwa ajili yake”
2) (A) ISSA A.S : BAADA YA KUONDOKA KWAKE, (KAMA WAISLAMU WANAVYOAMINI), HAJAWAHI KUTOKEA KWA NAMNA YOYOTE ILE. (B) YESU KRISTO: BAADA YA KUONDOKA KWAKE ALIMTOKEA PAUL (SAUL). Mdo 9:4 “ Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, Saul, Saul, mbona waniudhi? Akasema, U nani wewe, Bwana? Naye akasema , Mimi ndimi Yesu unayeniudhi wewe” 3) (A) ISSA A.S: ALITABIRI KUJA KWA MUHAMMAD Quran Suratul As Saff , 61:6 “Na (wakumbushe) aliposema (Nabii) Isa bin Maryamu (kuwaambia mayahudi) enyi wana wa Israili! mimi ni mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu. Nisadikishaye yaliyo kuwa kabla yangu katika Taurati. Na kutoa habari njema ya mtume atakayewajia nyuma yangu ambaye jina lake litakuwa Ahmad(Muhammad). Na maana ya majina mawili yote haya ni moja. Maana yake Mwenye kushukuriwa kwa maneno yake mazuri na vitendo vyake vizuri na kila chake kwani vyake vyote ni vizuri).Lakini alipowajia kwa hoja zilizowazi walisema: “ Huu ni udanganyifu uliyo dhahiri”. (B)YESU KRISTO ALIMTUMA ROHO MTAKATIFU KATIKA SIKU YA PENTEKOSTE. Yoh: 14:26 “.Lakini huyo Msaidizi,huyo Roho Mtakatifu,ambaye Baba atampeleka kwa jina langu,atawafundisha yote,na kuwakumbusha yote niliyowaambia”. Katka Kiyunani anaitwa “Paracletos” yaani msaidizi au mfariji Yoh 15:26 “ Lakini ajapo huyo Msaidizi, nitakayewapelekea kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia” Yoh 16:7 “Lakini mimi ninawaambia iliyo kweli; yawafaa nyinyi mimi niondoke,kwa maana mimi nisipoondoka huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda zangu nitampeleka kwenu”. 4) (A) ISSA A.S : JINA LAKE HALINA NGUVU WALA UWEZO WA KUOKOA BALI NI RANGI MBILI Katika Al-Lu’lu’war- Marjani, Juzuu na1, Hadithi na104 uk. 64 “ Hadithi ya Ibn Abbas (r.a) kutoka kwa Mtume (s.a.w) amesema, “Nilimuona Musa (a.s) katika usiku wa Al-Isra, niliopelekwa,naye ni mtu mrefu, mwenye nywele za hudhurungi zimejikunjakunja kama mtu wa Shanua.Na nilimuona Isa (a.s), naye ni mtu wa wastani wa umbo, unaelekea kwenye wekundu na weupe, ana nywele zilizonyooka……” (B) YESU KRISTO: JINA LAKE NI WOKOVU. Mdo 4:9-10,12 “ kama tukiulizwa leo habari ya jambo jema alilofanyiwa yule mtu dhaifu,jinsi alivyoponywa, jueni nyinyi nyote na watu wote wa Israel ya kuwa kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, ambaye nyinyi mlimsulubisha, na Mungu alimfufua katika wafu kwa jina hilo mtu huyu anasimama ali mzima mbele yenu…………………….Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo” Baadhi ya aya ndani ya Qur’an zinaeleza kuwa Isa a.s aliwaponya wenye upofu. Ni akina nani hao tutajiwe angalau mmoja? Yesu alimponya kipofu Batromayo. Aya zingine zinasema Isa a.s alifufua wafu. Ni akina nani hao? Yesu alimfufua Lazaro. Jina tulilopewa ni jina moja tu lenye wokovu la Yesu Kristo. Jina la Isa a.s lisilo na wokovu limehusishwaje na jina la Yesu Kristo wa Nazareth lenye wokovu? Mdo 16:31 “ Wakamwambia , Mwamini Bwana Yesu, nawe utaokoka wewe pamoja na nyumba yako.” 5) (A) ISSA.A.S : YEYE SIYO MWANA WA MUNGU. Qur’ani Suratul Al An-Am,6:101 “Yeye ndiye Mwumba wa mbingu na ardhi. inamkinikanaje awe na mwana, hali hana mke. Naye ndiye aliye umba kila kitu (sio baadhi yake kavizaa). Naye ni mjuzi wa kila kitu”. Qurani Suratul At- Tawba (Kutubu), 9:30 “Na Mayahudi wanasema “Uzeri ni mwana wa Mwenyezi Mungu” na “Wakristo wanasema “Masihi ni Mwana wa Mwenyezi Mungu” Haya ndiyo wasemayo kwa vinywa vyao (pasi na kuyapima). Wanayaiga maneno ya wale waliokufuru kabla yao, Mwenyezi Mungu awaangamize. Wanageuzwa namna gani hawa! Fundisho la Uwana wa Mungu kama Biblia inavyofundisha, halimo katika mafundisho na itikadi ya dini ya Kiislamu kwa hiyo Isa a.s siyo mwana wa Mungu. (B) YESU KRISTO: YEYE NI MWANA WA MUNGU. Luka 1:30-31,35 “Malaika akamwambia usiogope Mariamu,kwa maana umepata neema kwa Mungu.Tazama utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu. Malaika akajibu akamwambia,Roho Mtakatifu atakujilia juu yako,na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kivuli;kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu Mwana wa Mungu. Hivyo Isa siyo Mwana Mungu lakini Yesu ni mwana wa Mungu. Kwa hivyo Yesu siyo Isa. 6) (A) ISSA A.S: YEYE SIYO MUNGU ALIYEFANYIKA MWILI. Suratul Al- Maidah, (meza), 5:72-73 Bila ya shaka wamekufuru wale waliosema, “ Mwenyezi Mungu ni Masih (issa)bin Maryam”.(Na hali ya kuwa)Masihi alisem
 
.......katika Qur'an kuna surat Maryam, inamzungumzia Yesu na Mama yake, pia kuna surat Banii Israeli.......inazungumzia Wayahudi (hiyo ni Injil)

Kuna kisa cha Musa na nduguye Haruun (tokea wanapewa Unabii) hiyo ni Tourat !

Kuna Daudi na Jalut (goliath) hiyo ni Zaburi !

HIYO sio injili NI MUHUTASARI WA INJILI HIYO SI ZABURI MNAMTAJA TU MTUNGA ZABURI LAKINI ZABURI AMBAZO NI KAZI ZAKE HAZIPO KWENYE UISLAM, NA HIYO SII TAURATI NI MAMBO YA KUADISIWA KUTOKA KWENYE BIBLIA
NI COPY AND POST KAMA UNAENDELEA KUBISHA LETA INJILI: tukisema mmepotea sana mnakataa.
TUWEKEE ZABURI YA 150 KUTOKA NDANI YA QURAN HAPA ILI TUJUWE KWAMBA WAISLAM WANAZABURI NA SI WAONGO WAKUBWA.
 
YESU WA KWENYE QURAN SIO YESU WA KWENYE BIBLIA

KUSEMA YESU N ISSA hiyo ni KUFRU tena kashfa
kubwa sana kwa Wakristo,
basi kama mnataka semeni Nabii issa sio Allah, huo ni ukweli na wala sio kashfa, lakini ukitaja Yesu sio Mungu,unakashfu, kashfa ya kwanza ni ya kumfanya issa kuwa Yesu,kashfa ya pili kumfanya Mungu kuwa Allah. Sijui kama umeelewa, ukisema nabii issa sio Allah hata kwa kuweka speaker kubwa na zenye mawimbi makubwa na yanayoenda mbali kiasi gani hutasikia mtu akikulaumu labda kwa kelele kwa kuwa hilo halina uhusiano na ukristo.

MNAFUNDISHWA KUSEMA UONGO KUPOTEZA WANA KONDOO , MNAJIFANYA VOPOFU HAMSIKII LAKINI HAMSEMI KUWA MAJI SIO WATER NA DAMU SIO BLOOD NA WALA HAMSEMI KUWA YESU SIE JESUS AU HAMSEMI KRISTO SIE CHRIST ….LAKINI MKIAMBIWA KWA LUGHA HIO HIO YA KISWAHI KUWA ISSA NI YESU NA NDIE JESUS MNASEMA AAAAGH HUYO SIE…..
MMEZIBA MASIKIO ILI KUWAPOTOSHA WALE WASIO KUA NA UWEZO WA KUFIKIA ELIMU….
SASA NDANI YA QURAAN YA KI ENGLISH HUYO ISSA HATAJWI NABII ISSA BALI ANATAJWA KUWA NI JESUS CHRIST
SASA UTASEMA NA HUYU SI YESU ? …..MLIE POTOSHEWA MAAMRISHO YAKE?
TATIZO LENU NI VYETI VYA KUGUSHI , ELIMU YA SEMINARY NA MAMBO YA KUPASISHWA NA NECTA….MME MALIZA MABANDA LAKINI KICHWANI HAKUNA KITU …BORA MURUDI TENA KWA MWALIMU WENU…GO BACK TO SCHOOL..IT’S STILL EARLY
AYA ZA QURAAN TUKUFU JUU YA JESUS CHRIST NI KAMA IFUATAVO
2:136 We believe in Allah, and the revelation given to us, and to Abraham, Isma'il, Isaac, Jacob, and the Tribes, and that given to Moses and Jesus, and that given to (all) prophets from their Lord: We make no difference between one and another of them . . .
2:253 . . . To Jesus the son of Mary We gave clear (Signs), and strengthened him with the holy spirit.
3:45 O Mary! Allah giveth thee glad tidings of a Word from Him: his name will be Christ Jesus, the son of Mary, held in honour in this world and the Hereafter and of (the company of) those nearest to Allah.
3:46 "He shall speak to the people in childhood and in maturity. And he shall be (of the company) of the righteous."
3:48 And Allah will teach him the Book and Wisdom, the Law and the Gospel.
3:49 And (appoint him) a messenger to the Children of Israel, (with this message): "I have come to you, with a Sign from your Lord, in that I make for you out of clay, as it were, the figure of a bird, and breathe into it, and it becomes a bird by Allah's leave: And I heal those born blind, and the lepers, and I quicken the dead, by Allah's leave; and I declare to you what ye eat, and what ye store in your houses. Surely therein is a Sign for you if ye did believe."
3:50 (I have come to you), to attest the Law which was before me. And to make lawful to you part of what was (Before) forbidden to you; I have come to you with a Sign from your Lord. So fear Allah, and obey me.
3:52 When Jesus found Unbelief on their part He said: "Who will be My helpers to (the work of) Allah?"
3:55 Behold! Allah said: "O Jesus! I will take thee and raise thee to Myself and clear thee (of the falsehoods) of those who blaspheme; I will make those who follow thee superior to those who reject faith, to the Day of Resurrection: Then shall ye all return unto me, and I will judge between you of the matters wherein ye dispute."
3:59 The similitude of Jesus before Allah is as that of Adam . . .
3:84 . . . and in (the Books) given to Moses, Jesus, and the prophets, from their Lord.
4:157 That they said (in boast), "We killed Christ Jesus the son of Mary, the Messenger of Allah";-but they killed him not, nor crucified him, but so it was made to appear to them, and those who differ therein are full of doubts, with no (certain) knowledge, but only conjecture to follow, for of a surety they killed him not.
4:163 We have sent thee inspiration, as We sent it to Noah and the Messengers after him: we sent inspiration to Abraham, Isma'il, Isaac, Jacob and the Tribes, to Jesus, Job, Jonah, Aaron, and Solomon, and to David We gave the Psalms.
4:171 O People of the Book! Commit no excesses in your religion: Nor say of Allah aught but the truth. Christ Jesus the son of Mary was (no more than) a messenger of Allah, and His Word, which He bestowed on Mary, and a spirit proceeding from Him: so believe in Allah and His messengers. Say not "Trinity": desist: it will be better for you: for Allah is one Allah: Glory be to Him: (far exalted is He) above having a son. To Him belong all things in the heavens and on earth.
4:172 Christ disdaineth nor to serve and worship Allah . . .
5:17 In blasphemy indeed are those that say that Allah is Christ the son of Mary.
5:46 And in their footsteps We sent Jesus the son of Mary, confirming the Law that had come before him: We sent him the Gospel: therein was guidance and light, and confirmation of the Law that had come before him: a guidance and an admonition to those who fear Allah.
5:72 They do blaspheme who say: "Allah is Christ the son of Mary." But said Christ: "O Children of Israel! worship Allah, my Lord and your Lord." Whoever joins other gods with Allah,- Allah will forbid him the garden, and the Fire will be his abode.
5:75 Christ the son of Mary was no more than a messenger; many were the messengers that passed away before him. His mother was a woman of truth. They had both to eat their (daily) food.
5:78 Curses were pronounced on those among the Children of Israel who rejected Faith, by the tongue of David and of Jesus the son of Mary: because they disobeyed and persisted in excesses.
5:110 O Jesus the son of Mary! Recount My favour to thee and to thy mother. Behold! I strengthened thee with the holy spirit, so that thou didst speak to the people in childhood and in maturity. Behold! I taught thee the Book and Wisdom, the Law and the Gospel and behold! thou makest out of clay, as it were, the figure of a bird, by My leave, and thou breathest into it and it becometh a bird by My leave, and thou healest those born blind, and the lepers, by My leave. And behold! thou bringest forth the dead by My leave. And behold! I did restrain the Children of Israel from (violence to) thee when thou didst show them the clear Signs, and the unbelievers among them said: 'This is nothing but evident magic.'
5:112 Behold! the disciples, said: "O Jesus the son of Mary! can thy Lord send down to us a table set (with viands) from heaven?" Said Jesus: "Fear Allah, if ye have faith."
5:114 Said Jesus the son of Mary: "O Allah our Lord! Send us from heaven a table set (with viands), that there may be for us-for the first and the last of us-a solemn festival and a sign from thee; and provide for our sustenance, for thou art the best Sustainer (of our needs)."
5:116 Allah will say: "O Jesus the son of Mary! Didst thou say unto men, worship me and my mother as gods in derogation of Allah'?" He will say: "Glory to Thee! never could I say what I had no right (to say). Had I said such a thing, thou wouldst indeed have known it. Thou knowest what is in my heart . . ."
6:85 And Zakariya and John, and Jesus and Elias: all in the ranks of the righteous.
9:30 The Jews call 'Uzair a son of Allah, and the Christians call Christ the son of Allah.
9:31 They take their priests and their anchorites to be their lords in derogation of Allah, and (they take as their Lord) Christ the son of Mary; yet they were commanded to worship but One Allah: there is no god but He. Praise and glory to Him: (Far is He) from having the partners they associate (with Him).
19:19 He said: "Nay, I am only a messenger from thy Lord, (to announce) to thee the gift of a holy son."
19:20 She said: "How shall I have a son, seeing that no man has touched me, and I am not unchaste?"
19:21 He said: "So (it will be): Thy Lord saith, 'that is easy for Me: and (We wish) to appoint him as a Sign unto men and a Mercy from Us': It is a matter (so) decreed."
19:22 So she conceived him, and she retired with him to a remote place.
19:27 At length she brought the (babe) to her people, carrying him (in her arms). They said: "O Mary! truly an amazing thing hast thou brought!"
19:30 He said: "I am indeed a servant of Allah: He hath given me revelation and made me a prophet."
19:31 "And He hath made me blessed wheresoever I be, and hath enjoined on me Prayer and Charity as long as I live."
19:32 "(He) hath made me kind to my mother, and not overbearing or miserable."
19:33 "So peace is on me the day I was born, the day that I die, and the day that I shall be raised up to life (again)!"
19:34 Such (was) Jesus the son of Mary: (it is) a statement of truth, about which they (vainly) dispute.
19:88 They say: "(Allah) Most Gracious has begotten a son!"
19:91 That they should invoke a son for (Allah) Most Gracious.
19:92 For it is not consonant with the majesty of (Allah) Most Gracious that He should beget a son.
21:91 And (remember) her who guarded her chastity: We breathed into her of Our spirit, and We made her and her son a sign for all peoples.
23:50 And We made the son of Mary and his mother as a Sign: We gave them both shelter on high ground, affording rest and security and furnished with springs.
33:7 And remember We took from the prophets their covenant: As (We did) from thee: from Noah, Abraham, Moses, and Jesus the son of Mary: We took from them a solemn covenant.
42:13 The same religion has He established for you as that which He enjoined on Noah-the which We have sent by inspiration to thee-and that which We enjoined on Abraham, Moses, and Jesus: Namely, that ye should remain steadfast in religion, and make no divisions therein: to those who worship other things than Allah, hard is the (way) to which thou callest them. Allah chooses to Himself those whom He pleases, and guides to Himself those who turn (to Him).
43:57 When (Jesus) the son of Mary is held up as an example, behold, thy people raise a clamour thereat (in ridicule)!
43:61 And (Jesus) shall be a Sign (for the coming of) the Hour (of Judgment): therefore have no doubt about the (Hour), but follow ye Me: this is a Straight Way.
43:63 When Jesus came with Clear Signs, he said: "Now have I come to you with Wisdom, and in order to make clear to you some of the (points) on which ye dispute: therefore fear Allah and obey me."
57:27 We sent after them Jesus the son of Mary, and bestowed on him the Gospel; and We ordained in the hearts of those who followed him Compassion and Mercy . . .
61:6 And remember, Jesus, the son of Mary, said: "O Children of Israel! I am the messenger of Allah (sent) to you, confirming the Law (which came) before me, and giving Glad Tidings of a Messenger to come after me, whose name shall be Ahmad." But when he came to them with Clear Signs, they said, "this is evident sorcery!"
61:14 O ye who believe! Be ye helpers of Allah: As said Jesus the son of Mary to the Disciples, "Who will be my helpers to (the work of) Allah?" Said the disciples, "We are Allah's helpers!" then a portion of the Children of Israel believed, and a portion disbelieved: But We gave power to those who believed, against their enemies, and they became the ones that prevailed.
 
7) (A) ISSA A.S YEYE HAJAWAHI KUSULUBIWA WALA KUUWAWA Qurani Suratul An- Nisaa (Wanawake) 4:157-158 “Na kwa (ajili ya ) kusema kwao sisi tumemuua masihi Isa mwana wa Maryamu, mtume wa Mungu. Hali hawakumuua wala hawakumsulubu bali walibabaishiwa (mtu mwingine wakamdhani nabii Isa.) Na kwa hakika wale waliokhitalifiana katika (hakika)hiyo (ya kumuua nabii Isa) wamo katika shaka nalo (jambo hilo kusema kauwawa]. Wao (kabisa) hawana yakini juu ya (jambo) hili (la kuwa kweli wamemuua nabii isa) isipokuwa wanafuata dhana tu.Na kwa yakini hawakumuua. Bali mwenyenzi Mungu alimnyanyua kwake. Na mwenyenzi Mungu ni mwenye nguvu (na) mwenye hikima. (B)YESU KRISTO: YEYE ALISULUBIWA MSALABANI Yohana 19:18,31,33 “Wakamsulibisha huko,na wengine wawili pamoja,mmoja huku na mmoja huku, na Yesu katikati.Basi Wayahudi, kwa sababu ni Maandalio, miili isikae juu ya misalaba siku ya sabato(maana sabato ile ilikuwa siku kubwa), walimwomba Pilato miguu yao ivunjwe,wakaondolewe. Lakini walipomjia Yesu na kuona ya kuwa amekwisha kufa,hawakumvunja miguu”. 8) (A) ISSA A.S HANA HADHI YA KUABUDIWA NA BINADAMU YEYOTE. Qur’an, Suratul Al- Maidah, 5:116 “ Na (kumbukeni) Mwnyezi Mungu atakaposema: “Ewe Isa bin Maryam! Je ,wewe uliwaambia watu: ‘Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa waungu badala ya Mwenyezi Mungu’?” Aseme (Nabii Isa): “Wewe umetakasika na kuwa na mshirika, hainijuzii mimi kusema ambayo si haki yangu (kuyasema, kwa kuwa ni ya uongo), kama ningalisema bila shaka ungalijua ; unayajua yaliyomo nafsini mwangu, lakini mimi siyajui yaliyomo nafsini mwako; hakika Wewe ndiye ujuaye mambo ya ghaibu. B) YESU ANASTAHILI KUABUDIWA NA WANADAMU NA MALAIKA Math 2: 2 “yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? kwa maana tuliiona nyota yake mashariki nasi tumekuja kumsujudia.” Yoh 9: 35 “ Yesu akasikia kwamba wamemtoa nje; naye alipomwona alisema, Wewe wamwamini Mwana wa Mungu? Naye akajibu akasema, Ni nani, Bwana, nipate kumwamini? Yesu akamwambia Umemwona, naye anayesema nawe ndiye. Akasema, naamini, Bwana, akamsujudia.” Filipi 2:10-11 “ili kwa Jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba.” Ebr 1:6 “ Hata tena amletapo mzaliwa wa kwanza ulimwenguni, asema, Na wamsujudu Malaika wote wa Mungu. 9) (A) ISA HASTAHILI KUWA MWOMBEZI WA WATU KWA MUNGU Sahih Al-Bukhari, vol.6 ,Hadithi no 3, The Noble Qur’an, English Translation uk. 8 “…….Nenda kwa Musa, mtumishi wa Allah ambaye Allah alizungumza naye uso kwa uso na alimpa Torati. Hivyo watakwenda kwake naye atasema ‘ Mimi sistahili kwa jukumu hilo la uombezi, na atataja mauaji aliyoyafanya kwa mtu ambaye si muuaji, na hivyo atajisikia aibu mbele ya Mola wake, naye atasema nendeni kwa Isa, mtumishi wa Allah, Mjumbe wake neno lake na roho iliyotoka kwake. Isa atasema sistahili mimi kubeba jukumu la uombezi…….” B) YESU ANASTAHILI KUWA MWOMBEZI WA WANADAMU KWA MUNGU 1 Tim 2:5 “ Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu;” Ebr 7:24-25 “ bali yeye, kwa kuwa akaa milele, anao ukuhani wake usioondoka.Naye, kwa sababu hii , aweza kuwaokoa kabisa wao wamjiao Mungu kwa yeye; maana yu Hai siku zote ili awaombee. 10) (a) ISA NI NABII MWINGINE TU ASIYE TOFAUTI NA WENGINE Qur’an Suratul Baqarah, (ng’ombe) 2:136 “ “Semeni nyinyi (Waislamu waambiwe Mayahudi na Manasara; waambieni): “Tumemwamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyoteremshiwa, na yale yaliyoteremshwa kwa Ibrahimu na Ismail na Is-haqa na Yaaqubu na kizazi (chake Yaaqubu); na waliyopewa Musa na Isa na pia yale waliyopewa Manabii (wengine) kutoka kwa Mola wao; hatutofautishi baina ya yoyote katika hao. (Wote tunawaamini); na sisi tumenyenyekea Kwake.” b) YESU YEYE YU JUU KULIKO VITU VYOTE Efeso 1:20-23 “ aliotenda katika Kristo alipomfufua katika wafu, akamweka mkono wake wa kuume katika ulimwengu wa roho; juu sana kuliko ufalme wote, na malaika, na nguvu, na usultani, na kila jina litajwalo, wala si ulimwenguni humu tu, bali katika ule ujao pia; akavitia vitu vyote chini ya miguu yake akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwa ajili ya Kanisa; ambalo ndilo mwili wake, ukamilifu wake anayekamilika kwa vyote katika vyote.” 11) (a) ISA ATAKAPORUDI, ATAOA NA KUZAA WATOTO Mishkat Al- Masabih, vol 2 uk.1159, Sahih Muslim, vol. 1 uk 92 “ Isa atakaporudi ataishi miaka arobaini (40), muda ambao atakuwa ameoa na kuzaa watoto, na atafanya ibada ya hija.” b) YESU ATAKAPORUDI ATAKUJA KULINYAKUA KANISA, YAANI BIBI ARUSI Efeso 5:25-26, 32-33 “ Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, Uf 19:7 “ Na tufurahi, tukashangilie, tukampe utukufu wake; kwa kuwa arusi ya Mwana Kondoo imekuja na mkewe amejiweka tayari.akajitoa kwa ajili yake, ili makusudi alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno;…..Siri hiyo ni kubwa ila mimi nanena habari ya Kristo na Kanisa. Lakini kila mtu ampende mke wake kama nafsi yake mwenyewe; wala mke asikose kumstahi mmewe.” 12)(a) ISA ATAKUFA BAADA YA KUISHI MIAKA AROBAINI (40) Mishkat Al- Masabih, vol 2 uk. 1159,Sunan Abu Dawud, Hadithi 4310, Sahih Muslim, vol.1, uk.92 , “Isa atakaporudi ataondosha dini zote zisiwepo isipokuwa Uislamu. Atamharibu Masih Dajjal, na ataishi duniani miaka arobaini (40) na kisha atakufa. Na baada ya kufa atazikwa pembeni mwa kaburi la Muhammad.” B) YESU BAADA YA KUFUFUKA YU HAI SIKU ZOTE HAFI TENA Rum 6:9 “ tukijua ya kuwa Kristo akiisha kufufuka katika wafu hafi tena, wala mauti haimtawali tena.” Ebr 7:24-25 “ bali yeye, kwa kuwa akaa milele, anao ukuhani wake usioondoka.Naye, kwa sababu hii , aweza kuwaokoa kabisa wao wamjiao Mungu kwa yeye; maana yu Hai siku zote ili awaombee.” Uf 1:17-18 “ Nami nilipomwona nalianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kuume juu yangu, akisema, Usiogope, mimi ni wa kwanza na wa mwisho, aliye hai; nami nalikuwa nimekufa, na tazama , ni hai hata milele na milele nami ninazo funguo za mauti na za kuzimu.” 13)(a) ISA ALIPOZALIWA SAUTI YA FARAJA ILITOKA CHINI YA ARDHI Qur’an Suratul Maryam,19:23-24 “ Kisha uchungu ukampeleka katika shina la mtende, (akawa anazaa na huku) anasema: “ Laiti ningekufa kabla ya haya, na ningekuwa niliyesahaulika kabisa.” Mara ikamfikia sauti kutoka chini yake (inamwambia): usihuzunike. Hakika Mola wako amejaalia (ameweka) kijito cha maji chini yako;” Mafundisho ya Kiislamu yanaeleza kuwa huko chini ya ardhi kuna mnyama. Na huyo mnyama anazijua aya za Qur’an. Qur’an katika Suratul Al-Naml, 27:82 “Na kauli (ya kuja kiyama) itakapowathibitikia Tutawatolea mnyama katika ardhi atakayewasemeza kwa sababu watu walikuwa hawaziyakinishi Aya Zetu” b) ALIPOZALIWA YESU SAUTI ZA MALAIKA ZILITOKA JUU Luka 2:13-16 “ Mara walikuwapo pamoja na huyo malaika, wingi wa jeshi la mbinguni, wakimsifu Mungu na kusema, Atukuzwe Mungu juu mbinguni na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia. Ikawa malaika hao walipoondoka kwenda zao mbinguni, wale wachungaji waliambiana, Haya na twendeni mpaka Bethlehemu, tukalione hilo lililofanyika alilotujulisha Bwana. Wakaenda kwa haraka wakamkuta Mariamu na Yusufu, na yule mtoto mchanga amelala horini” (14)(a) ISA HANA UFAHAMU WA MAMBO MBALIMBALI katika Al-Lu’lu’ war- Marjan,kitabu cha 3 Hadithi na 1528 uk.883 “Hadithi ya Abu Huraira (r.a) kutoka kwa Mtume (s.a.w) amesema “Issa Ibn Mariam (a,s) alimwona mtu anaiba akamuuliza umeiba? akasema hapana ,Naapa kwa Allah ambaye hakuna mola isipokuwa yeye .Issa (a.s) akasema nimemuamini Allah na limeniongopea jicho langu”.
b) YESU ANAYAJUA YOTE Yohana 1:47-48 “ Basi Yesu akamwona Nathanael anakuja kwake, akanena habari zake “Tazama Mwizraeli kweli kweli hamna hila ndani yake. Nathaeli akamwambia umepataje kunitambua? Yesu akajibu akamwambia, Kabla Filipo hajakuita ulipokuwapo chini ya mtini nilikuona” Yoh 2:24-25 “ Lakini Yesu hakujiaminisha kwao; kwa kuwa yeye aliwajua wote; na kwa sababu hakuwa na haja ya mtu kushuhudia habari za mwanadamu; kwa maana yeye mwenyewe aliyajua yaliyomo ndani ya mwanadamu” 15) (a) ISA A.S MAMA YAKE ALIKUTWA PEMBEZONI MWA MSIKITI ALIPOLETEWA HABARI ZA KUZALIWA KWAKE. Qur’an Suratul Maryam,19:16-17 “ Na mtaje Mariamu kitabuni humu. Alipojitenga na jamaa zake, (akenda) mahali upande wa mashariki (wa msikiti) na akaweka pazia kujikinga nao. Tukampelekea muhuisha Sharia Yetu (Jibrili)- akajimithilisha kwake (kwa sura ya) binadamu aliye kamili b) YESU KRISTO, MAMA YAKE ALIKUTWA NYUMBANI KWAO NAZARETI Luka 1:26-28 “Mwezi wa sita malaika Gabriel alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti. Kwa mwana mwali Bikira aliyekuwa ameposwa na mtu jina lake Yusufu wa mbari ya Daudi. Na jina lake Bikira huyo ni Mariamu. Akaingia nyumbani kwake akasema, salamu uliyepewa neema Bwana yu pamoja nawe.”
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom