UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Mbona ueleweki maneno mengi tu bila maandiko.

Tueleze maana yake nini.

Biblia kwani zipo ngapi? hii hapa chini nini?

Ndiyo hii biblia mnayoifuta?

Hata mafarisayo na walimu mafilosofa walioambiwa hawajui watendalo iweje mimi na wewe.
 
Unataka andiko kutoka wapi? Wakristo tunaamini Biblia ambako Yesu anatuambia katika Yohana 14:6 kuwa "mimi ndimi njia na kweli na uzima, mtu haji kwa Baba ila kwa njia yangu". Wakristo ndiyo wale watu wanaoenda kwa Baba (Mungu) kwa njia ya Yesu Kristo. Na anatuhakikishia tena katika Yohana 14:13-14 kuwa chochote tutakachomwomba Mungu kwa Jina la Yesu atatupatia. Wakristo humwomba Mungu kwa Jina la Yesu kwa sababu ya ahadi hiyo. Na Yesu hakuishia tu katika kuwahimiza watu wamfuate yeye, aliwaagiza pia kufundisha imani hii kwa mataifa yote. Katika Mathayo 28:19-20 tunasoma maagizo haya ya Yesu akisema "Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari".

Bado hujakubali kuwa Yesu anataka tuwe wafuasi wake, yaani wakristo?

Wewe mi nilikuwa nategemea utatoa jibu!
Kumbe unajipa cheo cha udoctor cha uongo tu!

Nimekuuliza WAPI YESU KAKWAMBIA WEWE DR KUWA MKRISTO AU KUWENI WAKRISTO!

Usiniambie habari ya yesu muokozi .sijui enendeni mkafundishe mataifa bla..bla..bla.bla..!

Sasa kama mmeambiwa mkafundishe kwa majina matatu!
Mbona hamjiiti "WAUMINI WA MAJINA MATATU"?

MNAJIITA WAKRISTO!??

HILI NENO MMEPEWA NA NANI KWENYE ANDIKO!?

NILIKUONYA USINIPE MAELEZO!

LKN KAWAIDA YENU WAGALATIA. MKIKOSA ANDIKO MNATOA MAELEZO MAREEEEFU!

SASA UMEONA KUWA HICHO KITU MMEBUMBA CHA KUBUMBA NA HAKIPO KWENYE ANDIKO!?

Mi shida yangu nilitaka nikuonyesha tu kuwa WACHA HIO IMANI MNAYOFUATA KUWA NI YA UONGO! HATA HILO JINA LA IMANI YENU PIA NI UONGO NA WALA HALIMO KWENYE ANDIKO!

AHSANTE KWA KUNISAIDIA KUWEKA MAMBOA WAZI!
 
Pamoja mkuu hapa tutawasilimisha hawa wagala mmoja mmoja labda mods waufunge huu uzi uzuri wa sisi waislamu ni shahada tu hakuna kuzamishwa kwenye maji mengi wala kidogo mashaaalah uislam rahaaaaa.

haha..uislam wenyewe unaniogopa..hapa nina waislam 6 wanampokea Yesu Kristu....wamekuwa na siku mbili za kutazama vile jijizee za vya kuchinja vilija usiku na kuwatisha wasiukane uislam....wote wanasema mwishowe waliviona viilia na kuondoka..baada ya vitisho kushindwa.

Wanelezea wivu,chuki na hila za waislam dhidi ya wakristu...wanasema jinsi wazee wanavyowatuma watoto wakachokoze wa Kikristu..halafu mkristu bila jijua akimjibu habari hukimbia haraka,..waislam kupandisha kichaa na kukimbilia uovu kabla jasho halijakauka..ili wakijaze kikombe chao ch auovu zaidi.Wanasema wamechoka sana kuwapa wengine damu ili majinn yatulizwe...
 
Hakuna maarifa yoyote uliyokusudia wacha kudanganya watu wewe,tumia ile silaha yako ya kukimbila kwa mods uzi ufungwe huna laziada Rastafari.

Haaa ...haaa ! hataki kuleta dodoso la Tafiti hapa wataalsm tulichambue ! ....eti kahoji watu Laki tatu ! (300,000) sawa na kujaza uwanja wa Taifa wa Dar es salaam mara elfu tano, (5,000) !

Yericko Nyerere angefaa awemo kwenye Tume ya Katiba Mpya maana angetumia gharama kidogo tu !:heh:
 
...kuna tafiti inafanywa bila vigezo !?..........Bwana Yericko Nyerere usichezee taaluma za watu, hujui JF anaingia nani na nani na amesoma nini na nini !.........tunakuchora ntu mtoto fake wa Mwalim !

Mbona huelewe logic ya swali langu lililokuja baada ya swali lako la msingi?

Kwamaana ya vigezo vya mtafiti mimi nilijiwekea vyangu na vimetumika sawasawa na matakwa yangu
 
"Nampenda Yesu Kristo wenu lakini siwapendi Wakristo wenu. Na hiyo ni kwa sababu Wakristo wenu hawafanani kabisa kimatendo na Yesu Kristo wenu"~ Mahatma Gandh.

CC; mbokaleo, Kikwajuni one, Boko haram,

haha...kwa bahati mbaya Yesu hakutaka umpende yeye mojakwa moja, alipenda anayewapenda watoto,kulifuata Neno Lake....sidhani km uislam na Neno la Yesu wanaivana...PROBLEM MAJINN...mtaishia piga kelele za kuku aliyejipa kazi kulelea watoto wa bata....watoto wa bata wakishika maji ni vigumu kuku kuwafuata km afanyavyo kwa watoto wake(vifaranga vya kuku)..Uislma ktk Ukristu ndivyo kelele nyingi ila kuna maji mengi sana ktk Ukristu kwa uislam kuweza ishi.
 
Hakuna maarifa yoyote uliyokusudia wacha kudanganya watu wewe,tumia ile silaha yako ya kukimbila kwa mods uzi ufungwe huna laziada Rastafari.

Huu uzi hauwezi kufungwa kwasababu za kipuuzi,

Hapa mtakesha hata iwe mwaka, huu haufungwi!

Utafiti utasimama hivyo na sasa historia ya Tanzania imebadilika rasmi
 
Hata mafarisayo na walimu mafilosofa walioambiwa hawajui watendalo iweje mimi na wewe.

Afadhali ya wewe umekubali kuwa hulijui ulitendalo!
Sasa hawa mwenzako Eiyer Nicholas na Yericko Nyerere wanadhani wanajua walitendalo lkn wakipigwa maswali na wasomi kama kina Ritz Boko haram Kikwajuni one crabat Tayeb Gavana na wengineo wengi!
Wanaruka kama wamekanyaga moto!
Na kuanza kutukana!

Sasa mi nakukaribisha ktk uislamu ndugu!
manake NI WAISLAMU PEKE YAO WANAOJUA WALIFANANYALO!
NA NDIO DINI YA HAKI ISIOKALIWA KIKAO DODOMA!

NJOO NDUGU UPATE MANUFAA NA RADHI ZA MUNGU WA PEKEE ALIYEKUUMBA!

MUNGU ASIYE NA MWANA.

MUNGU AMBAE HAKUZAA WALA HAKUZALIWA.

MUNGU MFALME WA KILA KITU NA NDIE MUNGU WA ABRAHAM. MOSES. SOLOMON.DAVID. JOHN JESUS NA MUHAMMAD (amani ya MUNGU iwe juu yao wote hao manabii wake)

KARIBU SANA NDUGU Kidzude
 
Last edited by a moderator:
Katika wajinga nimeamini wewe ndio mjinga mnene injili ni mjumuko wa wa Torati na Zaburi,
na Quran ni mjumuiko wa Torati,Zaburi na Injil sasa unaposema tunataka Quran iitwe biblia
una maana gani kweli wehu hawaishi!

Nyie waislam mtachomwa moto kwa uongo
Na pia nashangaa post yako ya ajabu kama hiyo ina like

Sio nyie mnaosema kuwa kila kitabu kina mtume wake?
Taurati-Musa
Zaburi-Daudi
Injil-Isa
Quran-Mohammad

Sasa hapa utaona namna mnaposema uongo!
Hata haya hamuoni

Nipe ushahidi wa madai yako haya!

Halafu ngoja nikupe raha hapa
Biblia maana yake ni mkusanyiko wa vitabu,ndio maana nikakuambia kuwa unaposema hayo unaitofautishaje qurani na biblia?[Mungu aepushe mbali]

Leo niepata kali ya mwaka JF!
Eti Quran ni mjumuiko wa Torati,Zaburi na Injili khaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!
Eti Injili ni mjumuiko wa torati na zaburi khaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!

Haya ni matokeo ya kukosa majibu
Kwanini mnaamua kudanganya?
 
Mbona huelewe logic ya swali langu lililokuja baada ya swali lako la msingi?

Kwamaana ya vigezo vya mtafiti mimi nilijiwekea vyangu na vimetumika sawasawa na matakwa yangu

Tafiti ni Taaluma ndio maana watu wanaandika thesis na kutunukiwa vyeti ! ....hata Tafiti ya kuhusu matatizo ya Makahaba au Mashoga (social issues) au mambo ya Talaka au Ukimwi, inaongozwa na vigezo vya Kitaalum.
Sasa umefanya Tafiti baada ya kulewa viroba then unatundika humu watu wenye akili zao wasome !

We hovyo sana !:heh:
 
Ama kweli kiziwi kipofu ni jamii ya kuonewa huruma, Akili yako yakiwehu haiweleweki. Eti ansema Uislam hauna hata nguvu ya kukimbiza majinn ..kamuulize shekhe wako km kuna muislam anayeweza kimbiza Jinn. HIVI WEW UMESIKIA MUISLAMU ANSALI MSIKITINI AKAWESEKA NA KUPANDISHA PEPO? TABIA HIYOSI MNAYO NYIE WEHU MAPDRE WENU WAKIGOMBANIA UPADRE WANA KWENDA KWA SEIKH KUOMBEWA TUMESOMA MARA KADHAA KWENYE MAGAZETI WEW ENDELEA KULALATU YESU SI MUNGU BABA YAKE HALALI ALIELALA NA MARIA NI JOSEPH THE CARPENTER NA AMEZAA NAE WATOTO WENGINE AMKA ACHANA NA DINI YA MSITUNI

haha Ukristu ni dini ya msituni?Msitu upi? kuwa karpenter ni lazima utoke msituni...kijana nadhani unakosea..ni a experience na uislam wa zaidi ya mika 30..hakuna sheikh anatoa Jinn..sheikha anatuliza na kuongezea Jinn wengine wenye kuweza ishi na wale wachokozi....na miwshowe huihia wapatia wapendacho.

Sasa km majinn ni waislam wengine kwa akili yako muislam ataweweseka msikini, wakati na majinn yana haki pale..they feel at home.

Haha..baba wa Yesu Ni Joseph..?reasoning yako ni ya nyumbu..kwani Joseph kuzaa watoto wengine kunalazimisha vipi awe Babake?Ama wewe ama Quran mna vichaa..Quran inamwita bin Mariam...kwa mara ya kwana uislam umelazimishw akumpa mtoto ubin wa mama.....
 
haha...kwa bahati mbaya Yesu hakutaka umpende yeye mojakwa moja, alipenda anayewapenda watoto,kulifuata Neno Lake....sidhani km uislam na Neno la Yesu wanaivana...PROBLEM MAJINN...mtaishia piga kelele za kuku aliyejipa kazi kulelea watoto wa bata....watoto wa bata wakishika maji ni vigumu kuku kuwafuata km afanyavyo kwa watoto wake(vifaranga vya kuku)..Uislma ktk Ukristu ndivyo kelele nyingi ila kuna maji mengi sana ktk Ukristu kwa uislam kuweza ishi.
Umenena kisomi sana mkuu,

Big up!
 
Wewe mi nilikuwa nategemea utatoa jibu!
Kumbe unajipa cheo cha udoctor cha uongo tu!

Nimekuuliza WAPI YESU KAKWAMBIA WEWE DR KUWA MKRISTO AU KUWENI WAKRISTO!

Unataka majibu ayatoe kwenye Biblia ipi?
Iliyochakachuliwa au kuna nyingine?
 
cc MKUU MwanaDiwani

HEBU njoo huku uone Mtu anavoweweseka kukanusha na kukubali nasaba yake,haki ya mungu sijapata kuona mtu mnonge kama huyu,

HEBU lete lile bandiko lake alilosema ya kwamba JULIUS NYERERE NI BABA YAKE MZAZI,KILA MTU AJIONEE,MAANA HAPA ANAKANUSHA ILI HALI JF inatunza kumbu kumbu kibao kabisa,

cc Ritz..

Huyu JAMAA NI
Ndugu yangu THE BIG SHOW,

Huyu jamaa ni mtu wa ajabu sana mpaka leo huwa najiuliza kwa nini alikuwa anamkana baba yake mzazi aliyemzaa na kulazimisha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kuwa ndiye mzazi wake, soma upuuuuzi wake hapa chini.
Nielewe mkuu, nimesema alikuwa mfadhiri wa Mwalimu Nyerere sio TANU.

Ndugu sio kila kitu utakifahamu katika historia ya nchi hii,
Mimi Mwalimu Nyerere kama Baba yangu mzazi, nakufahamisha tangu sasa kuwa Chifu Marealle alikuwa mfadhiri wa Mwalimu Nyerere (kiuchumi)

Alimnunulia gari, suti, na nauli alimpa ya kwenda umoja wa mataifa.

Si kila kitu kitawekwa katika simulizi.
Huyu mtu ni mzima kweli?
 
Last edited by a moderator:
Hivi ugomvi hapa ni nini? Kwamba kuna mfumo Kristo unaopambana na uislamu? Na nani anawafanikishia mapambano hayo? Na hapo Mungu yuko wapi, au upande wa nani? Au kuna miungu wawili wanapambana, kila mmoja na mfumo wake? Pengine mnavamia maugomvi ya miungu ambayo haiwahusu?

ni uogomvi wa miungu...kweli ulivyosema.Na mbaya kuna Mungu mmoja yupo very mad ,crazy,jealousy, evil and demonic..yeye ndio anawatuma wafuasi wake kwenda ua wengine,wapangia wengine wale nin, wavae nini, waabudu nini, waharibu mali.Huyu mungu ni mvivu sana....anasubiri Mungu wa wengine anayewabariki watu wake,wanaofanya kazi na kujituma, anayeonyesha upendo kwa watu wake na kuwafundisha wafanay ehivyo kwa wengine,kwa kuwapeleke madawa,vyakula, na missad mingine..Huyu mungu wa pilau mvivu ni muovu sana..hata uispo deal naye yeye atakufuata tuu..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom