britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Utafiti huru ulofanyika Twitter kwa siku 5 mfululizo ambao uliuliza:
Kati ya wasanii wafuatao, nani alikuwa maarufu zaidi au nani kawa maarufu zaidi kwa muda aliowika?
Na matokeo yakawa high. Kura zimepigwa 3,000 kwa siku 5.
Mr Nice 23%
Juma Nature 33%
Ali Kiba 15%
Diamond 30%
Pitia Pia
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
Kati ya wasanii wafuatao, nani alikuwa maarufu zaidi au nani kawa maarufu zaidi kwa muda aliowika?
Na matokeo yakawa high. Kura zimepigwa 3,000 kwa siku 5.
Mr Nice 23%
Juma Nature 33%
Ali Kiba 15%
Diamond 30%
Pitia Pia
Tujikumbushe penzi la Juma Nature na Sinta
Wahenga salaam, Nakumbuka zama hizo Sinta aliibukia kwenye uigizaji enzi hizo na ray Kigosi , ghafla Shigongo naye akadondoka na magazeti ya udaku, miaka hiyo penzi la P Didy na j lo linatamba USA, mwanadada Sinta ndo ilikuwa habari ya jiji yaani hakuna gazeti lililokua halimtaji na kiki kumbe...
Sintah alikwama sana kwa Juma Nature
Miaka ya 2000 huko ilizuka ghafla couple ya nguvu iliyobustiwa na magazeti ya udaku. Nature na Sintah.. Okei. Mapenzi huota kokote lakini hii combo mpaka leo siisomi ilikaaje kaaje. Sintah alikuwa mtoto wa mjini. Mdangaji kwa lugha ya kisasa ambaye alibahatika kupata exposure mapema ya ujanja...