UTAFITI: Juma Nature alikuwa maarufu wakati wake zaidi ya Diamond Alivyo maarufu kwa wakati wake

UTAFITI: Juma Nature alikuwa maarufu wakati wake zaidi ya Diamond Alivyo maarufu kwa wakati wake

Mondi maarufu bhana hasa ukizingatia maisha ya sasa ya social media zinambeba Kua famous hadi Africa nzima
Ila kitemeke Nature tunamuelewa, jamaa alisha simamisha gari atupe tano alaf tulikua madogo sana that time but alishow love kwetu.
 
We utakuwa ni wa hivi karibuni!
Namjua Sir Juma Kasimu Nature Kiroboto,tokea Hili game,kigethogheto,mzee wa busara,Nini Chanzo,Ugali,Hostoria,Sinta na Nature,Sitaki Demu ,Inaniuma Sana.Nature kajaza Diamond Jubilee mara mbili na ni msanii aliyenifanya ni make hela yangu ya shule O-Level nikanunue album yake ya Ugali.
Je unalingine.?

Hapo sijazungumzia wachuja nafaka,Wanaume family nk.
 
Wewe ni sawa na kumfanisha magu na nyere.re kwa wakati huu.
Mie mzee wangu alikuwa hapendi nyimbo za mataifa lakini utasikia mtoto idi kazua balaa, so ni nature pekee na prof jay waliweza kumgusa.
Hoja ya platform za sasa na wakati ni vitu viwili tofauti.
Wadau ambao wanatoka iringa, makambako, mbeya kuja kujaza ukumbi wa daimond kwa ajili ya show ya juma nature.

Its like now mtu anamfananisha na bibi kidude
Usimfananishe Diamond platinumz na juma nature unakosea,diamond ni mbingu na nature ni ardhi.

Hebu angalia mipaka ya umaarufu?
Inatakiwa uwe specific huo umaarufu ni katika eneo gani?

Kibongo bongo?
Afrika mashariki?
Africa?
Au duniani kote?

Diamond platinumz ni maarufu duniani kote
na wakati hao kina juma nature na wenzie ilikuwa ni bongo tu na Africa mashariki Yaani Kenya na Uganda.

Acha kumdhalilisha Diamond na hao wababaishaji wa Kibongo bongo.
 
Sijajua umaarufu wako katika maeneo yapi si ukweli mondi ni maarufu kuliko hao wote diamond ni mtu pekee akitokea sehemu watu wanajaa wengi utadhani anafanya show.Hata ukiangalia humu thread nyingi ni za mondi kuliko msanii yoyote, magazeti mengi ya udaku yanauza kwa story ya mondi kuliko msanii yoyote.kutokana na umaarufu mkubwa wa mondi Kuna baadhi ya shule zimepewa jina la diamond mfano shule ya moja ya sumbawanga mwaka Jana.Diamond ndio mtu pekee aliyowahi kupewa kiwanja nje ya nchi Kenya kuliko msanii yoyote.Record nyingine aliyoweka diamond ambayo Hadi sasa ijavunjwa ni kujaza ukumbi mkubwa dar live kwenye show yake ya "Diamond are forever" na wengine kushindwa kuingia ndani ingawa walikuwa na ticket.Mwisho kabisa umaarufu wa nature unaishia mwisho chalinze wakati mondi ni maarufu duniani.

Mtoa mada tupe facts zikionesha nature alikuwa maarufu zaidi ya mondi
 
Utafiti huru ulofanyika Twitter kwa siku 5 mfululizo ambao uliuliza:

Kati ya wasanii wafuatao, nani alikuwa maarufu zaidi au nani kawa maarufu zaidi kwa muda aliowika?

Na matokeo yakawa high. Kura zimepigwa 3,000 kwa siku 5.

Mr Nice 23%
Juma Nature 33%
Ali Kiba 15%
Diamond 30%

View attachment 1264071
Mbona ukijumlisha hizo % unapata 101%. Verify hilo Bro.
 
Sijajua umaarufu wako katika maeneo yapi si ukweli mondi ni maarufu kuliko hao wote diamond ni mtu pekee akitokea sehemu watu wanajaa wengi utadhani anafanya show.Hata ukiangalia humu thread nyingi ni za mondi kuliko msanii yoyote, magazeti mengi ya udaku yanauza kwa story ya mondi kuliko msanii yoyote.kutokana na umaarufu mkubwa wa mondi Kuna baadhi ya shule zimepewa jina la diamond mfano shule ya moja ya sumbawanga mwaka Jana.Diamond ndio mtu pekee aliyowahi kupewa kiwanja nje ya nchi Kenya kuliko msanii yoyote.Record nyingine aliyoweka diamond ambayo Hadi sasa ijavunjwa ni kujaza ukumbi mkubwa dar live kwenye show yake ya "Diamond are forever" na wengine kushindwa kuingia ndani ingawa walikuwa na ticket.Mwisho kabisa umaarufu wa nature unaishia mwisho chalinze wakati mondi ni maarufu duniani.

Mtoa mada tupe facts zikionesha nature alikuwa maarufu zaidi ya mondi
Dar live?mkuu kwani "diamonds are forever" ilifanyikia dar live?
 
Mr.misifa " kila nikipita wananiita handsome" anachukua no.2.
 
Usimfananishe Diamond platinumz na juma nature unakosea,diamond ni mbingu na nature ni ardhi.

Hebu angalia mipaka ya umaarufu?
Inatakiwa uwe specific huo umaarufu ni katika eneo gani?

Kibongo bongo?
Afrika mashariki?
Africa?
Au duniani kote?

Diamond platinumz ni maarufu duniani kote
na wakati hao kina juma nature na wenzie ilikuwa ni bongo tu na Africa mashariki Yaani Kenya na Uganda.

Acha kumdhalilisha Diamond na hao wababaishaji wa Kibongo bongo.
Kibongo bongo,afrika mashariki na afrika nje ya afrika umaarufu wa diamond in mkubwa kuliko wa nature hilo nakubali kwakuwa umezaliwa miaka ya 2000 acha kaka zako tukukumbushe juma nature alikuwa maarufu Tanzania, Africa mashariki na hats afrika kupitia wimbo wake was mugambo aliweza kushinda tuzo ya MTV base kipengele cha wimbo bora nadhani,je unalihua hili? Pili jina LA kibla alipewa uarabuni alipoenda kutuimbuiza that means jamaa hats nje ya mipaka ya afrika alikuwa famous faida pekeee anayoipata diamond in kuwika katika kipindi ambacho Luna platforms za kutosha msanii kujitangaza,Luna ma social networks ya kutosha,technolojia iko very advanced zamani njia pekee ya msanii kujitangaza ilikuwa redio tu so mond akifanya kitu kidogo tu Tanzania nzima wameshajua
 
Ndiyo, maarufu Temeke, wanamuziki wa sasa tunazungumzia kimataifa! Sasa wapi na wapi?
Hivi unajua nature ndio wa msanii was kwanza kuchukua tuzi ya MTV? Sasa km hakuwa maarufu afrika aliwezaje kuchukua hiyo tuzo? Jina kibla alipewa huko uarabuni alipoenda kutumbuiza,tmk family wameshapiga sana show ulaya na marekani unalijua hilo?
 
Mi nadhani mond nature alijulikana mikoa ya Tanzania tu na sio yote Ila huyu mbwa mond mpaka USA anajulikana Dubai sana nigeria Kenya usiseme
Big enough umarufu wenye tija
Tuzo ya MTV base aliwezaje kuichukua km alikuwa hajulikani?
 
Sijajua umaarufu wako katika maeneo yapi si ukweli mondi ni maarufu kuliko hao wote diamond ni mtu pekee akitokea sehemu watu wanajaa wengi utadhani anafanya show.Hata ukiangalia humu thread nyingi ni za mondi kuliko msanii yoyote, magazeti mengi ya udaku yanauza kwa story ya mondi kuliko msanii yoyote.kutokana na umaarufu mkubwa wa mondi Kuna baadhi ya shule zimepewa jina la diamond mfano shule ya moja ya sumbawanga mwaka Jana.Diamond ndio mtu pekee aliyowahi kupewa kiwanja nje ya nchi Kenya kuliko msanii yoyote.Record nyingine aliyoweka diamond ambayo Hadi sasa ijavunjwa ni kujaza ukumbi mkubwa dar live kwenye show yake ya "Diamond are forever" na wengine kushindwa kuingia ndani ingawa walikuwa na ticket.Mwisho kabisa umaarufu wa nature unaishia mwisho chalinze wakati mondi ni maarufu duniani.

Mtoa mada tupe facts zikionesha nature alikuwa maarufu zaidi ya mondi
Kwa kuwa umezaliwa mwaka 2000 acha kaka zako tukukumbushe,Unamjua saida karoli wewe? Alijaza uwanja wa taifa peke yake,hii rekodi haijavunjwa na msanii yoyote hapa Tanzania mpaka Leo mpaka kesho,unamjua juma nature wewe? Aliijaza diamond jubilee Mara mbili hadi watu walikosa pa kukanyaga? Unazungumzia dar live kiukumbi kidogo tu hata wewe na wanawake wenzio mkifanya kitchen party ukumbi unajaaa? Hivi unamjua kibla matata a.k.a juma nature anaweza kuwa msanii wa kwanza kuchukua tuzo ya MTV? Tens bila kwenda kushoot video south na kuwashirikisha wanaijeria? Hivi unamjua hata hilo jina kibla alipewa uarabuni? Tens baada ya kupiga show na kuwadatisha waarabu?
 
Hapa ukimtaja Nature mashabiki maandazi wa Mondi watakwambia ni wivu tu,mashabiki wengi wa Domondi waliozaliwa 1995-2002 ambapo kipindi nature yupo juu anatikisa na kina sinta wao bado walikuwa wanakunjwa uji wa ulezi/lishe na kunywa maziwa kwenye chupa,hawawezi kukuelewa ukisema nature alikuwa maarufu kuliko Dimondi.
Wakumbushe na jinsi alivyokuwa anashindanishwa na inspector horoun kwenye mazingira magumu yasiokuwa na social media
 
Usimfananishe Diamond platinumz na juma nature unakosea,diamond ni mbingu na nature ni ardhi.

Hebu angalia mipaka ya umaarufu?
Inatakiwa uwe specific huo umaarufu ni katika eneo gani?

Kibongo bongo?
Afrika mashariki?
Africa?
Au duniani kote?

Diamond platinumz ni maarufu duniani kote
na wakati hao kina juma nature na wenzie ilikuwa ni bongo tu na Africa mashariki Yaani Kenya na Uganda.

Acha kumdhalilisha Diamond na hao wababaishaji wa Kibongo bongo.
Kukua kwa technolojia duniani ndio kmemfanya Mondi awe hivyo achana na kiroboto wewe ile ngoma nyingine.
 
Tafadhali sana Nature alikua anawaimbia nyie vizee wa miaka hiyo ..
unajua sometime vizee vinapenda sifa kwamba kila kitu bora kilikuwa enzi zao, Hawa ndio walewale wanakwambia MR Nice alikuwa anafanya show za million 100 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom