UTAFITI: Juma Nature alikuwa maarufu wakati wake zaidi ya Diamond Alivyo maarufu kwa wakati wake

UTAFITI: Juma Nature alikuwa maarufu wakati wake zaidi ya Diamond Alivyo maarufu kwa wakati wake

Hapa ukimtaja Nature mashabiki maandazi wa Mondi watakwambia ni wivu tu,mashabiki wengi wa Domondi waliozaliwa 1995-2002 ambapo kipindi nature yupo juu anatikisa na kina sinta wao bado walikuwa wanakunjwa uji wa ulezi/lishe na kunywa maziwa kwenye chupa,hawawezi kukuelewa ukisema nature alikuwa maarufu kuliko Dimondi.
Nature hakuwahi na hatowahi kuwa maarufu zaidi ya Mondi ingawa alikuwa maatufu. Ni ngumu kwa shabiki kindakindaki wa kiroboto kukubali ila ukweli ndio huo.
 
Hivi unajua nature ndio wa msanii was kwanza kuchukua tuzi ya MTV? Sasa km hakuwa maarufu afrika aliwezaje kuchukua hiyo tuzo? Jina kibla alipewa huko uarabuni alipoenda kutumbuiza,tmk family wameshapiga sana show ulaya na marekani unalijua hilo?
Alionga maana hana huo uwezo
 
Nakumbuka Nature alikua ana uwezo wa kufunga mitaaa yyte akikatiza tu kwa miguu,maduka na bar wote watatoka hata daladala zinaweza kusimama,,Nature alikua habar nyingine bhana
Kwa kuwa umezaliwa mwaka 2000 acha kaka zako tukukumbushe,Unamjua saida karoli wewe? Alijaza uwanja wa taifa peke yake,hii rekodi haijavunjwa na msanii yoyote hapa Tanzania mpaka Leo mpaka kesho,unamjua juma nature wewe? Aliijaza diamond jubilee Mara mbili hadi watu walikosa pa kukanyaga? Unazungumzia dar live kiukumbi kidogo tu hata wewe na wanawake wenzio mkifanya kitchen party ukumbi unajaaa? Hivi unamjua kibla matata a.k.a juma nature anaweza kuwa msanii wa kwanza kuchukua tuzo ya MTV? Tens bila kwenda kushoot video south na kuwashirikisha wanaijeria? Hivi unamjua hata hilo jina kibla alipewa uarabuni? Tens baada ya kupiga show na kuwadatisha waarabu?
 
Nature hakuwahi na hatowahi kuwa maarufu zaidi ya Mondi ingawa alikuwa maatufu. Ni ngumu kwa shabiki kindakindaki wa kiroboto kukubali ila ukweli ndio huo.
Nature alikuwa anatrend pasipo na insta,facebook wala whatsapp,alitrend kwenye media tu,kama ulikuwepo kwenye era ya nature usingeweza kusema mondi kamzidi nature...........Unaambiwa Tajiri namba moja aliyewahi kutokea alikuwa anaitwa Mansa khan mussa alikuwa na utajiri wa kutisha lakini utajiri wake ulikuwa haujamzidi wa Billigate wa sasa,yaani kwa kipindi kile alikuwa anacheza na usd milioni kama 300 hivi...Kwahiyo ukipima umaarufu wa nature kipindi chake cha giza na ukicompare na huyo mondi wa kipindi hiki cha carolight na supra lazima tumkubali nature.
 
Nature alikuwa anatrend pasipo na insta,facebook wala whatsapp,alitrend kwenye media tu,kama ulikuwepo kwenye era ya nature usingeweza kusema mondi kamzidi nature...........Unaambiwa Tajiri namba moja aliyewahi kutokea alikuwa anaitwa Mansa khan mussa alikuwa na utajiri wa kutisha lakini utajiri wake ulikuwa haujamzidi wa Billigate wa sasa,yaani kwa kipindi kile alikuwa anacheza na usd milioni kama 300 hivi...Kwahiyo ukipima umaarufu wa nature kipindi chake cha giza na ukicompare na huyo mondi wa kipindi hiki cha carolight na supra lazima tumkubali nature.
Nyakati zimebadilika. 2010 mitandao ilikuwapo, mbona hakutrend. Alikuwa maarufu hapa bongo uswahili sikatai.
 
Nature alikuwa mkubwa sana ila tatizo lake alilizika,AY alikuwa wa kawaida ila alijitahidi sana kutangaza mziki wake nje ya mipaka ya Tanzania.Ila sizani kama kuna msanii anaweza kutunga chorus kali kama Juma Nature,kila kolabo alikuwa anafunika.
Q.chillah,g.nako, dully Sykes, ferooz ...
 
Nyakati zimebadilika. 2010 mitandao ilikuwapo, mbona hakutrend. Alikuwa maarufu hapa bongo uswahili sikatai.
Mkuu kuna nyakati na kupokezana vijiti,kila mtu ana peak yake,Nature muda(peak) wake(Yake) u(i)meshaisha.....Na itafikia muda Mondi naye atapotea ila navyokwambia kwasasa utabisha tu,ila technologia itabaki na utakuja kukumbuka nilikwambia kwamba Mondi nayeye atapotea kama walivyopotea kina Nature.
 
Usimfananishe Diamond platinumz na juma nature unakosea,diamond ni mbingu na nature ni ardhi.

Hebu angalia mipaka ya umaarufu?
Inatakiwa uwe specific huo umaarufu ni katika eneo gani?

Kibongo bongo?
Afrika mashariki?
Africa?
Au duniani kote?

Diamond platinumz ni maarufu duniani kote
na wakati hao kina juma nature na wenzie ilikuwa ni bongo tu na Africa mashariki Yaani Kenya na Uganda.

Acha kumdhalilisha Diamond na hao wababaishaji wa Kibongo bongo.
Bila ya Legacy ya akina Sugu,Prof Jay na baadae kizazi cha kati kikiwa na akina Nature,Jay Mo, King Crazy GK, Mwana FA na wengine wengi,hao akina Mond,Harmonize si lolote si chochote. Washukuriwe waliopambana hadi Bongo Flavor kukubalika. Miaka ile,huu muziki ulionekana na uhuni mtupu,lakini waanzilishi hao walipambana hadi ukaanza kujulikana kwa jamii. Lakini pia miaka hiyo yaani 1999 kurudi nyuma hakukua na media wala Whatsapp,Instagram wala chochote,hivyo ilikua ni vigumu sana kupata milage kimataifa,hongera kwa Technology,nje ya hapo hakuna mtu angemjua Mondi wala Haramonize wala nani kwa level rahisi kama ilivyo sasa. Na ndiyo maana wazee wetu wa Muziki wa Dansi,wamekufa wakiwa na maisha ya kawaida kwa wengi wao,ila vipaji vyao huwezi kufananisha hizi porojo na kelele za sasa ambazo muziki wake wimbo ukitolewa leo,baada ya mwezi mmoja unakosa mvuto. Bila kuathiri na kutaja jina,mfano huu wimbo mpya uliotoka,hivi una chochote cha maana?
Uno,Babalao na hata Mshumaa,ni nyimbo za miez 3 au 4 baada ya hapo hamna kitu,zote zinasahaulika,ni kwa sababu hazina maudhui yoyote,tena afadhali Mshumaa,angalau una maudhui yanayoishi,hizo zingine ni burudani fupi,ambazo expiry date yake haiwezi kuzidi miezi 6
 
Nakumbuka Nature alikua ana uwezo wa kufunga mitaaa yyte akikatiza tu kwa miguu,maduka na bar wote watatoka hata daladala zinaweza kusimama,,Nature alikua habar nyingine bhana
Yea true say broh sema watoto wa elfu2 hawayajui haya nature kipindi alikuwa fire huo uzinduzi wa albamu ya ugali diamond jubilee haijawahi kutokea mpk Leo mpk kesho pfunk kwenye studio yake kuna picha ya nature
 
Bila ya Legacy ya akina Sugu,Prof Jay na baadae kizazi cha kati kikiwa na akina Nature,Jay Mo, King Crazy GK, Mwana FA na wengine wengi,hao akina Mond,Harmonize si lolote si chochote. Washukuriwe waliopambana hadi Bongo Flavor kukubalika. Miaka ile,huu muziki ulionekana na uhuni mtupu,lakini waanzilishi hao walipambana hadi ukaanza kujulikana kwa jamii. Lakini pia miaka hiyo yaani 1999 kurudi nyuma hakukua na media wala Whatsapp,Instagram wala chochote,hivyo ilikua ni vigumu sana kupata milage kimataifa,hongera kwa Technology,nje ya hapo hakuna mtu angemjua Mondi wala Haramonize wala nani kwa level rahisi kama ilivyo sasa. Na ndiyo maana wazee wetu wa Muziki wa Dansi,wamekufa wakiwa na maisha ya kawaida kwa wengi wao,ila vipaji vyao huwezi kufananisha hizi porojo na kelele za sasa ambazo muziki wake wimbo ukitolewa leo,baada ya mwezi mmoja unakosa mvuto. Bila kuathiri na kutaja jina,mfano huu wimbo mpya uliotoka,hivi una chochote cha maana?
Uno,Babalao na hata Mshumaa,ni nyimbo za miez 3 au 4 baada ya hapo hamna kitu,zote zinasahaulika,ni kwa sababu hazina maudhui yoyote,tena afadhali Mshumaa,angalau una maudhui yanayoishi,hizo zingine ni burudani fupi,ambazo expiry date yake haiwezi kuzidi miezi 6
True say broh umemaliza kila kitu,hawa watoto wa kizazi cha chura na msambwanda hawatakuelewa
 
Nature alikuwa anatrend pasipo na insta,facebook wala whatsapp,alitrend kwenye media tu,kama ulikuwepo kwenye era ya nature usingeweza kusema mondi kamzidi nature...........Unaambiwa Tajiri namba moja aliyewahi kutokea alikuwa anaitwa Mansa khan mussa alikuwa na utajiri wa kutisha lakini utajiri wake ulikuwa haujamzidi wa Billigate wa sasa,yaani kwa kipindi kile alikuwa anacheza na usd milioni kama 300 hivi...Kwahiyo ukipima umaarufu wa nature kipindi chake cha giza na ukicompare na huyo mondi wa kipindi hiki cha carolight na supra lazima tumkubali nature.
Tatizo kipindi hicho wengi wa memba walikuwa hawajazliwa na wliozaliwa wengi walikuwa Ngudu, Kitinko, Madangwa, Mwakaleli, Kibakwe, Mwitongo, Old Moshi na kadharika hawawezi kuyajua hayo. Hawawezi kujua jinsi watu walivyogombania ugali pale Diamond Jubilee na wala hawawezi kujua kwamba Dida wa Mchops alikuwa kibonge
 
Back
Top Bottom