UTAFITI: Juma Nature alikuwa maarufu wakati wake zaidi ya Diamond Alivyo maarufu kwa wakati wake

UTAFITI: Juma Nature alikuwa maarufu wakati wake zaidi ya Diamond Alivyo maarufu kwa wakati wake

Savimbi Jr,
Kupotea ni nani kasema mondi atakaa forever? Nachosema kama ni ishu ya tech imekuja nature akiwa anafanya mziki bado.
Hata umaarufu wao hatupaswí kuulinganisha sababu ya nyakati ila kama kiubishi tukisema tuwalinganishe, mondi ni maarufu zaidi, sio tz tu bali afrika na hata duniani.
 
Dah....kihisabati..huwezi kulinganisha vitu viwili bila kudatabisha uwiano wake kiteknolojia. Enzi za Juma Nature simu za mkononi zilikuwa na ukubwa wa memori 512KB...Sasa hivi simu zina hadi 128GB.....bila kufanya hivyo tafiti zinaweza thibitisha Ambaruti ni maarufu kuliko Nyerere[emoji1787][emoji1787][emoji2960]
 
Kupotea ni nani kasema mondi atakaa forever? Nachosema kama ni ishu ya tech imekuja nature akiwa anafanya mziki bado.
Hata umaarufu wao hatupaswí kuulinganisha sababu ya nyakati ila kama kiubishi tukisema tuwalinganishe, mondi ni maarufu zaidi, sio tz tu bali afrika na hata duniani.
Dogo unashindwa kuelewa kupotea namaanisha peak ,sugu ,prof jay etc wanafanya mziki lakini peak zao zishapita,domondi peak alishafikia kwasasa anashuka kama ukichora trend ya graph kuangalia KPI yake utagundua anaelekea kibra.

Mondi maarufu duniani au siyo? Ndio mnavyojidanganya? Usikute hata Davido au Omario ashasahau kama kuna msanii anaitwa Domondi.
 
Savimbi Jr,
Davido amsahau Diamond wakati mwezi uliopita Rayvanny kafanya nyimbo na Maykorkun msanii aliyekuwa chini ya Label ya Davido DMW,nyimbo inaitwa give me that.

Naona unachora graph we endelea TU,ila dogo kila mwaka anaongeza idadi za nchi anazopiga show,miaka miwili aliwekeza nguvu nchi za kusini mwa Africa na akafaniwa ,kabakiza Angola tu hajapiga show.

Sasa hivi yupo katika anglophone countries (Cameron,Senegal,Burkina Faso,Gunea kote huko ana show mwishoni mwa mwaka huu).Mpaka mwaka unaisha ukitoa nchi za kiarabu atakuwa kishapiga show karibia 90% ya nchi zote Africa.

Kushuka atashuka lkn sio sasa,WE ENDELEA KUCHORA GRAPH lako.
 
Hakuna wa kumfananisha na Diamond mpaka sasa, Diamond kashawishi vijana wengi kujipenda(wasafi), Diamond kaimba kwa kushirikiana na wasanii wengi wakubwa wa mataifa mbalimbali kuzidi na anaolinganishwa nao. Diamond kafanya raia wa nchi nyingine kuifahamu Tanzania kuwa ni nchi.

Huwezi kuwa maarufu zaidi kama hujulikani baadhi ya nchi nyingine, sasa hao wanaolinganishwa na Diamond sidhani kama walikuwa wanafahamika hata hapo visiwa vya comoro na somalia.
 
umaarufu wa sifa ambao unakomea tz VS umaarufu wa tija ambao ni around the world then anakuja mlevi1 na kijiutafiti uchwara chake kutuaminisha ujinga
PAMBAFU KBS
Eti mtu aliekuwa anafahamika kuishia mombasa unamlinganisha na mtu anaefahamika kwenye nchi mbalimbali. Diamond kashiriki matamasha ya kimataifa ( kama sikosei ni AFCON moja hivi alitumbuiza), sasa hao wengine wakitoka nje ilikuwa ni hapo mombasa au kampala, unaanzaje kuwalinganisha hao watu.
 
Nature fans wake wengi walikua masela na hao ndo walikua wanampa shavu kubwa sana akipiga show, Mondi yeye amekusanya rika lote kuanzia watoto, wamama, wakaka mpaka wababa ingawa drama zake pia zinambeba kiaina. Nature pamoja na umaarufu wake lakini hakuna hata mwanafamilia mmoja wa nature anayejulikana, kuanzia mke, watoto mpaka wazazi. Wabongo wanasikia tu Nature anaishi Tmk lkn hata nyumba anayoishi haijulikani. Lakini Mondi mpaka michepuko yake kaipa umaarufu. Mwisho kabisa nakonclude, Lady Jaydee ni maarufu kuliko Juma nature.
 
NYIE NDO WALE MLIKUWA MNADANGANYA WATU KUWA NATURE ALIKUWA MWANAMUZIKI TAJIRI WA ENZI HIZO.NIKO NAE JIRANI HAPA NA HUO UTAJIRI NIMEJARIB KUULIZIA HAKUWA NAO HATA ZAMANI ZAIDI YA SIFA TU.
Upo naye kurasini mji mpya?
 
Dah....kihisabati..huwezi kulinganisha vitu viwili bila kudatabisha uwiano wake kiteknolojia. Enzi za Juma Nature simu za mkononi zilikuwa na ukubwa wa memori 512KB...Sasa hivi simu zina hadi 128GB.....bila kufanya hivyo tafiti zinaweza thibitisha Ambaruti ni maarufu kuliko Nyerere[emoji1787][emoji1787][emoji2960]
Yan upo wewe na jamaa mwingine anajiita wa stendi, avatar zenu na comments zenu yan huw zina- reflect majina yenu kwa kiasi kikubwa sana!
 
Davido amsahau Diamond wakati mwezi uliopita Rayvanny kafanya nyimbo na Maykorkun msanii aliyekuwa chini ya Label ya Davido DMW,nyimbo inaitwa give me that.

Naona unachora graph we endelea TU,ila dogo kila mwaka anaongeza idadi za nchi anazopiga show,miaka miwili aliwekeza nguvu nchi za kusini mwa Africa na akafaniwa ,kabakiza Angola tu hajapiga show.

Sasa hivi yupo katika anglophone countries (Cameron,Senegal,Burkina Faso,Gunea kote huko ana show mwishoni mwa mwaka huu).Mpaka mwaka unaisha ukitoa nchi za kiarabu atakuwa kishapiga show karibia 90% ya nchi zote Africa.

Kushuka atashuka lkn sio sasa,WE ENDELEA KUCHORA GRAPH lako.
Utabisha sana kwa maandishi yako hayo inaonekana wewe ni mmoja wa wale ambao mpo kwenye payroll ya domondi kwa kununuliwa tekno na kuwekewa bando.
 
Utabisha sana kwa maandishi yako hayo inaonekana wewe ni mmoja wa wale ambao mpo kwenye payroll ya domondi kwa kununuliwa tekno na kuwekewa bando.
Nibishe nini wakati vitu vunaonekana,ukienda Youtube video ya Rayvanny ft Mayorkun ipo,ukiangalia ratiba ya show ya Diamond hizo nchi zipo.
We cha msingi chukua penseli na karatasi ENDELEA KUCHORA GRAPH.

Bwana Savimbi au utakuwa Qchief mzee wa kulialia ili aonewe huruma.
 
Nibishe nini wakati vitu vunaonekana,ukienda Youtube video ya Rayvanny ft Mayorkun ipo,ukiangalia ratiba ya show ya Diamond hizo nchi zipo.
We cha msingi chukua penseli na karatasi ENDELEA KUCHORA GRAPH.

Bwana Savimbi au utakuwa Qchief mzee wa kulialia ili aonewe huruma.
Sawa mkuu mda utaongea,kwetu msanii mkubwa ni yule anayetrend kwa kiki na wala si kwa kazi zake,nchi za wenzetu wana taasisi kabisa zinazomonitor performance ya msanii sokoni kwa USA wana RIAA ambayo inamrate msanii,ndio maana utasikia msanii ameuza double platnum hao ndio wanaleta mrejesho lakini kwa huku kwetu Mashabiki ndio wanaoleta data za msanii kama kauza kihasi gani anarun vipi sokoni etc
 
Sawa mkuu mda utaongea,kwetu msanii mkubwa ni yule anayetrend kwa kiki na wala si kwa kazi zake,nchi za wenzetu wana taasisi kabisa zinazomonitor performance ya msanii sokoni kwa USA wana RIAA ambayo inamrate msanii,ndio maana utasikia msanii ameuza double platnum hao ndio wanaleta mrejesho lakini kwa huku kwetu Mashabiki ndio wanaoleta data za msanii kama kauza kihasi gani anarun vipi sokoni etc
Hebu nitajie mfumo rasmi unao simamia mziki Tanzania? au chombo rasmi kinachosimamia mziki Tanzania ambacho kinaweza kukupa data kuhusiana na maswala ya mziki wa Tanzania?

Kenya wenzetu wana mifumo rasmi ya kusimamia mziki wao ,wana chombo cha kusimamia malipo ya msanii kulipwa endapo nyimbo ikipigwa redioni MSCK.

2015 kupitia report za MSCK Mondi aliingiza Ksh 350,000 za kenya (Tsh 7000000 million) ndani ya miezi mitatu na mwaka uliofuatia Kenya waka implement 60% (Local content) 40%(Foreign content) na pamoja na hiyo ratio bado Mondi anakimbiza.Sasa hiyo 2015 je sasa hivi 2019 itakuwaje?

Karibia digital platforms zote zinazouza mziki Kenya Zipo .Wana mpaka kampuni za kufanya research ktk entertainment industry mwaka jana kuna kampuni ya 8020 ilifanya Research based on 2018 Kenya msanii anayeongoza kwa mauzo kwenye digital platform,streaming,airtime kwenye redio,viewers za Youtube ni Diamond (Najua humpendi).

Na wakatoa picha jinsi jamaa anavyo dominate,sasa hapo ni mwaka jana alikaa mwaka mzima hajatoa nyimbo na akaburuza,je mwaka huu ana utitiri wa nyimbo.

Bongo tulikuwa na chombo kama
MSCK kilikuwa kinasimamiwa na P Funky Majani watu wamekipiga majungu kimekufa.
 
Hebu nitajie mfumo rasmi unao simamia mziki Tanzania? au chombo rasmi kinachosimamia mziki Tanzania ambacho kinaweza kukupa data kuhusiana na maswala ya mziki wa Tanzania?

Kenya wenzetu wana mifumo rasmi ya kusimamia mziki wao ,wana chombo cha kusimamia malipo ya msanii kulipwa endapo nyimbo ikipigwa redioni MSCK.

2015 kupitia report za MSCK Mondi aliingiza Ksh 350,000 za kenya (Tsh 7000000 million) ndani ya miezi mitatu na mwaka uliofuatia Kenya waka implement 60% (Local content) 40%(Foreign content) na pamoja na hiyo ratio bado Mondi anakimbiza.Sasa hiyo 2015 je sasa hivi 2019 itakuwaje?

Karibia digital platforms zote zinazouza mziki Kenya Zipo .Wana mpaka kampuni za kufanya research ktk entertainment industry mwaka jana kuna kampuni ya 8020 ilifanya Research based on 2018 Kenya msanii anayeongoza kwa mauzo kwenye digital platform,streaming,airtime kwenye redio,viewers za Youtube ni Diamond (Najua humpendi).

Na wakatoa picha jinsi jamaa anavyo dominate,sasa hapo ni mwaka jana alikaa mwaka mzima hajatoa nyimbo na akaburuza,je mwaka huu ana utitiri wa nyimbo.

Bongo tulikuwa na chombo kama
MSCK kilikuwa kinasimamiwa na P Funky Majani watu wamekipiga majungu kimekufa.
Naona unampa facts sema jamaa anaongozwa na chuki kuliko kuleta facts
 
Back
Top Bottom