Utafiti kuhusu misemo ya wanawake.

Shost sisi ni ma spesho aiseee,..hawawezi tumaliza,.. kila siku tunatafutiwa mapya we are so so so special[emoji7] [emoji7] [emoji7] sisi ni zaidi ya raha na utam[emoji2] [emoji2]
 
Mi demu wangu badala ya kuandika nipigie kwenye sms zake anaandika "pigie" au "gie" huyu yuko kundi gani mkuu..?
 
Kwa uzoefu wangu,kuna ukweli fulani japokua ,hayo yanaweza kuwa sehemu ndogo tuu ktk uhalisia wa mtu.
 
Mahali popote penye giza anatoa mapenzi na anapenda kulala na Wazee


Mada hii inatokana na Uzoefu, Tathmini au Tafiti?
 
Mi demu wangu badala ya kuandika nipigie kwenye sms zake anaandika "pigie" au "gie" huyu yuko kundi gani mkuu..?
Yupo kwenye kundi la wapenda shortcut huyo.

Nipigie mtu ana andika "gie"
 
Kwendraaaaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna wengine wanatumia hayo yote tajwa hapo juu,.sasa hawa sijui wanawekwa kundi ganiiii,.
Hahaa. Ndio hapo sasa. Huwa naamini kwanza kama kiuhalisia neno linaweza kuingia basi likawa linatumiwa hadi na hao wanaume nashangaa wanavyotupakazia sie wanawake.

Kama hiyo jomoni hadi wanaume wanatumia [emoji12] [emoji12].

Hebu watupishe sie. Hahahaaa
 
Yupo mmoja huyo anapenda kutumia hilo neno la tchaaaaaaaaa ni mbeya huyoo mpaka anajiita katibu wa wambea[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yupo mmoja huyo anapenda kutumia hilo neno la tchaaaaaaaaa ni mbeya huyoo mpaka anajiita katibu wa wambea[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa. [emoji40] [emoji40] [emoji40]

Ila ni maneno tu swahiba yakiingia huwa lazima yatumike.
 
Hahaa..wa "Enx na Chantee" nnao wengi kweny phone book ngoj ntafute mmoj
 
Mi demu wangu badala ya kuandika nipigie kwenye sms zake anaandika "pigie" au "gie" huyu yuko kundi gani mkuu..?
Huyo anapenda shortcut sana...sehemu yoyote yenye giza anaweza akatoa papuchi
 
P $K no enx na chanteh nawapata uko vizuri baba hujakosea [emoji23][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Combination ya hivyo vyote anakuwaje huyo dem!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…