Utafiti kuhusu misemo ya wanawake.

wanawake ni kama maji....msipotunywa mtatuoga....na siku msipotuongelea mtakufa[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Yaani kila SKU wanatusoma na hawaelewi,kama ni kitabu ndo kwanza wanahangaika na first edition..na huku kuna hadi 8 editions[emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Hatujawamaliza kivipi yaaani? sijaelewa hapo kwamba πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜±πŸ˜±πŸ˜±πŸ˜΅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…