Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,581
Uchunguzi mwingine ni kupoteza mda na fedha tu .
sisi Afrika bado tunafanya tafiti za street children wenzetu wameshamaliza huko,na hizi tafiti bado ni useful sana kwani wenzetu wanajali tafit na report zake,hata taasisi iliyofanya utafiti ni ya kitaifa,just imagine kuna taasisi ya kitaifa ya USINGIZI,Ni taasis muhim hiii