unalala vipi na pichu, huko ni kujinyima hewa na uhuru....ina maana hata pichu isiwepo
Huu Uzi unachekesha. ila kweli ukilala naked usingizi unakuwa mtamu sana....
Me hata sijui night dress zangu zinaishi wapi.....
Kwa jambo hili, popobawa atarudi tena.