Utafiti: Mitindo ya kujamiiana Inaweza kuvunja Uume Wako
Kama ile Ukraine hakukaliki kuna siku itaning'oa na mashine kabisaa
 
Utafiti wa Madaktari wa Idara ya Magonjwa ya Mfumo wa Mkojo katika Hospitali ya Benjamin Mkapa umebainisha kuwa mitindo mbalimbali ya kujamiiana inaweza kusababisha uume uliosimama kwa muda mrefu kuvunjika ukiwemo mtindo wa Mwanaume kukaliwa juu na Mwanamke mwenye uzito mkubwa.

Utafiti wa Madaktari hao umechapishwa kwenye Jarida la kimataifa la Case za Upasuaji (International Journal of Surgery Case Reports, 108(2023)108415) ambapo wameripoti kufanya upasuaji wa kuunga uume wa Kijana mwenye umri wa miaka 27 uliovunjika wakati akijamiana na Mkewe.

Kwa mujibu wa taarifa ya utafiti huo, ajali ya kuvunjika uume si suala lenye kujitokeza mara kwa mara, lina uwiano wa 1 kati ya Watu 175,000.

Hata hivyo, utafiti huo unadokeza kuwa tafiti zilizofanyika katika Mataifa ya Ulaya na Marekani zimeonesha kuwa asilimia 93.3 ya ajali za uume hutokana na kujamiiana, ambacho kilikuwa chanzo cha ajali ya uume aliyoipata Kijana aliyetibiwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa.

Vilevile, ajali za kuvunjika uume kwa kujichua (Punyeto) zinashika nafasi ya pili zikiwa na asilimia 10 huku mikao ya kujamiiana kama vile Mwanamke kukalia uume inatajwa kuwa chanzo kikuu cha ajali za kuvunjika uume.

To yeye
 
Utafiti uliofanywa na idara ya magonjwa ya mfumo wa mkojo katika Hospitali ya Benjamin Mkapa umebaini mitindo ya kujamiiana inaweza kusababisha uume kuvunjika.

Utafiti huo unaeleza miongoni mwa mikao hiyo ni mwanamke kukalia uume.

Utafiti huo uliochapishwa leo Jumanne, Julai 4, 2023 kwenye Jarida la kimataifa la sababu za upasuaji (International Journal of Surgery Case Reports, 108(2023)108415) umeripoti kufanya upasuaji wa kuunga uume wa kijana mwenye umri wa miaka 27 uliovunjika wakati akijamiiana na mkewe.

Kwa mujibu wa taarifa ya utafiti huo, ajali hiyo siyo suala lenye kujitokeza mara kwa mara, lakini lina uwiano wa mwanamume mmoja kati ya 175,000.

Utafiti huo unadokeza kuwa, tafiti zilizofanyika katika mataifa ya Ulaya na Marekani zimeonyesha asilimia 93.3 ya ajali za uume hutokana na kujamiiana, ambacho kilikuwa chanzo cha ajali aliyopata kijana aliyetibiwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa.

Sababu inayoshika nafasi ya pili katika ajali hizo ni kujichua ikiwa ni kwa asilimia 10.

Chanzo: Mwananchi
Acha kutia hofu watu, kujichua hakuna uhusiano na ajali hizo.
Kujichua ni ngono salama
 
Huu utafiti unawahusu wale wenye matango, wenye vibamia endeleeni na staili pendwa
 
Apana bana, wangefafanua zaidi kuhusu asili ya mwanamke anaye ride... nachotaka kusema wanawake wa pwani waliofunzwa wanaijua anatomy ya viungu husika bwana, pia wanafanya mahesabu makali ya kifizikia kuhakikisha Hasi na Chanya zipo parrale... utabaki unasikilizia tuu

Sasa hawa wanawak wengine wa mkoani ni shida manzi unakuta anakuride kama anataka kukutia yaan ful maumivu
 
Back
Top Bottom