Utafiti: Mitindo ya kujamiiana Inaweza kuvunja Uume Wako
Imevunjika mingapi tangia dunia imeanza,, tuleteeni vya maana sio kutupoteza kwa story za ajabu ajabu hapa, hizo ni ajali kazini si wanakuwa wanapata starehe zao.
 
uume-pic.jpg

Muktasari:​

  • Kijana wa miaka 27 avunjwa... ni ajali inayojitokeza kwa wachache
Dar es Salaam. Utafiti uliofanywa na idara ya magonjwa ya mfumo wa mkojo katika Hospitali ya Benjamin Mkapa umebaini mitindo ya kujamiiana inaweza kusababisha uume kuvunjika.
Utafiti huo unaeleza miongoni mwa mikao hiyo ni mwanamke kukalia uume.
Utafiti huo uliochapishwa leo Jumanne, Julai 4, 2023 kwenye Jarida la kimataifa la sababu za upasuaji (International Journal of Surgery Case Reports, 108(2023)108415) umeripoti kufanya upasuaji wa kuunga uume wa kijana mwenye umri wa miaka 27 uliovunjika wakati akijamiiana na mkewe.
Kwa mujibu wa taarifa ya utafiti huo, ajali hiyo siyo suala lenye kujitokeza mara kwa mara, lakini lina uwiano wa mwanamume mmoja kati ya 175,000.
Utafiti huo unadokeza kuwa, tafiti zilizofanyika katika mataifa ya Ulaya na Marekani zimeonyesha asilimia 93.3 ya ajali za uume hutokana na kujamiiana, ambacho kilikuwa chanzo cha ajali aliyopata kijana aliyetibiwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa.
Sababu inayoshika nafasi ya pili katika ajali hizo ni kujichua ikiwa ni kwa asilimia 10. chanzo. Utafiti: Mitindo ya kujamiiana yaweza vunja uume
 
View attachment 2678764

Muktasari:​

  • Kijana wa miaka 27 avunjwa... ni ajali inayojitokeza kwa wachache
Dar es Salaam. Utafiti uliofanywa na idara ya magonjwa ya mfumo wa mkojo katika Hospitali ya Benjamin Mkapa umebaini mitindo ya kujamiiana inaweza kusababisha uume kuvunjika.
Utafiti huo unaeleza miongoni mwa mikao hiyo ni mwanamke kukalia uume.
Utafiti huo uliochapishwa leo Jumanne, Julai 4, 2023 kwenye Jarida la kimataifa la sababu za upasuaji (International Journal of Surgery Case Reports, 108(2023)108415) umeripoti kufanya upasuaji wa kuunga uume wa kijana mwenye umri wa miaka 27 uliovunjika wakati akijamiiana na mkewe.
Kwa mujibu wa taarifa ya utafiti huo, ajali hiyo siyo suala lenye kujitokeza mara kwa mara, lakini lina uwiano wa mwanamume mmoja kati ya 175,000.
Utafiti huo unadokeza kuwa, tafiti zilizofanyika katika mataifa ya Ulaya na Marekani zimeonyesha asilimia 93.3 ya ajali za uume hutokana na kujamiiana, ambacho kilikuwa chanzo cha ajali aliyopata kijana aliyetibiwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa.
Sababu inayoshika nafasi ya pili katika ajali hizo ni kujichua ikiwa ni kwa asilimia 10. chanzo. Utafiti: Mitindo ya kujamiiana yaweza vunja uume
To yeye National Anthem Extrovert dronedrake mzabzab Mzee wa kupambania pitieni hii mitaa.😂😂😂
 
Kuna hii style ya wenye vibamia ambayo inaitwa USIKOHOE MBOO ITACHOMOKA NAYO SIYO MBAYA,
 
Kweli wewe boss la Dp weldi,,mnataka mwekeze Hadi kwenye Mabolo yetu,,,,embu endeleeni na bandari Kwanza huku mwingine tutawafikiria!!
 
Nimewahi kumnyanyua mwanamke na dushe.

Alibembea kwenye mashine...
 
Unavinjikajee nyiee acheni masikhara mjuee!
 
Mademu wavivu ndio wanaweza kukuvunja dusheee, kuna mshangazi niliwahi kukutana nao Geita ukataka kuikalia sasa wakati linageuka halijainuka vya kutosha likaubana aisee nilipiga yowe moja kubwa balaaa na mechi ikaishia hapo
 
Back
Top Bottom