Dr Mathew Togolani Mndeme
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 201
- 809
- Thread starter
- #41
X-bar,
Ndugu X-bar, samahani sana kujua toka kwako kwamba nimepotosha. Haijawahi kuwa nia yangu kupotosha mtu kwenye hili wala lingine lingine kokote. Niko tayari kurekebisha makosa maana lengo la nilichoandika ilikua ni kuelimisha.
For the record, sijasema popote nilichoandika ni amri ya 11 (kwamba ni absolute thruth). Dhana, utafiti, maoni, uchambuzi au ushauri wowote katika sayansi unaweza kukosolewa, kuchambuliwa, kuongezwa, kukanushwa, kurekebishwa, nk.
La muhim tu kwa anayefanya hayo afanye akiwa na malengo ya kuelezea ukweli mbadala (objectively) na sio kuishia kusema kuna upotoshaji. Ana wajibu wa kutoa ufafanuzi mzuri, wa kueleweka zaidi, na uliobeba ukweli.
Kwa mfano, ungetusaidia sana tunaosoma hapa kuelewa wewe unaelewa nini kuhusu infection dose kwenye muktadha wa maambuzi ya Covid19 na ni kwa jinsi gani hicho unachoelewa wewe ni sahihi kuliko au kinatofautiana na watafiti waliochapisha article niliyoirejea au nilichoandika mimi.
Mimi sina guts za kukuambia umepotosha, ila nina kiu ya kuelewa hicho ambacho hutaki kutuelimisha nacho. Kwa mfano:
Ndugu X-bar, samahani sana kujua toka kwako kwamba nimepotosha. Haijawahi kuwa nia yangu kupotosha mtu kwenye hili wala lingine lingine kokote. Niko tayari kurekebisha makosa maana lengo la nilichoandika ilikua ni kuelimisha.
For the record, sijasema popote nilichoandika ni amri ya 11 (kwamba ni absolute thruth). Dhana, utafiti, maoni, uchambuzi au ushauri wowote katika sayansi unaweza kukosolewa, kuchambuliwa, kuongezwa, kukanushwa, kurekebishwa, nk.
La muhim tu kwa anayefanya hayo afanye akiwa na malengo ya kuelezea ukweli mbadala (objectively) na sio kuishia kusema kuna upotoshaji. Ana wajibu wa kutoa ufafanuzi mzuri, wa kueleweka zaidi, na uliobeba ukweli.
Kwa mfano, ungetusaidia sana tunaosoma hapa kuelewa wewe unaelewa nini kuhusu infection dose kwenye muktadha wa maambuzi ya Covid19 na ni kwa jinsi gani hicho unachoelewa wewe ni sahihi kuliko au kinatofautiana na watafiti waliochapisha article niliyoirejea au nilichoandika mimi.
Mimi sina guts za kukuambia umepotosha, ila nina kiu ya kuelewa hicho ambacho hutaki kutuelimisha nacho. Kwa mfano:
- kupunguza infectious dose kwa kuvaa mask kwako ina maanisha nini kwenye kwa Covid19?
- Kwamba mask itakusaidia kuambukizwa virusi kumi badala ya 20 na hivyo utakua salama zaidi?
- Unaposema kuvaa masks ni njia kuu ya kujikinga unamaanisha nini na unatumia ushahidi ya kisayansi au logic "za wenye akili" kama ulivyosema?
- Unamaanisha aerosols zenye virusi zimejaa kila mahali mtu anapokua na sio location specific?
- Katika kutafuta upotoshaji kwenye nilichoandika, je umezingatia mazingira ambayo huu utafiti umefanyika kwenye kuangalia njia ya aerosols hewani (kwamba ni kwenye closed doors na sio kwenye open space)?
Mwisho, ninataka kuamini wewe ni expert wa hiki unachokiongea na ndio mana unaongea kwa mamlaka kwamba nimepotosha. Kwa uelewa wangu experts (wa eneo lolote) huwa wanasoma updates za eneo lao (tafiti mpya), wanajielimisha kwa wasiyoyajua, na wanafuatilia experts wenzao duniani wanafanya/wanase nini. Hivyo sitegemei expert wa infectious diseases kunishangaa kwa nilichokisema kuhusu masks na kunawa mikono ambacho ni "common knowledge" katika mikakati ya kudhibiti Covid19.
Otherwise, someone seems to have a serious personal problem with a messenger irrespective of the authenticity of his message. I bet this is not the case. Is it?
MM Togolani