masandare
JF-Expert Member
- Mar 9, 2014
- 671
- 574
Kumbe siyo kweli kwamba wanasayansi si wanasiasa!
Ingawa robo robo watukanane Hawa wataalamu wetu (MM Togolo na X bar) ila malumbano yao yamesaidia kutuongezea mwanga
Nilichofurahi mwishoni Kila mtu kamsamehe na kumuomba radhi mwenzie.
Hitimisho kwa nilivyowaelewa. Wasiopendekeza kuvaa mask wameangalia matokeo baada ya kuvaa.
1. Taharuki
2. Uwezo wa kugharamia maana atleast uvue Kila baada ya masaa 3
3. Namna sahihi ya uvaaji haijulikani
4. Kuenea kwa magonjwa kupitia njia ya hewa kwa kutozingatia kanunni za uvaaji
Wanaopendekeza kuvaa mask
1. Biashara nzuri
2. Hakuna kutengana wote tuwe na haki ya kujilinda.
3. Itapu guza unyanyapaaa wote tutakuwa tumevaa
4
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingawa robo robo watukanane Hawa wataalamu wetu (MM Togolo na X bar) ila malumbano yao yamesaidia kutuongezea mwanga
Nilichofurahi mwishoni Kila mtu kamsamehe na kumuomba radhi mwenzie.
Hitimisho kwa nilivyowaelewa. Wasiopendekeza kuvaa mask wameangalia matokeo baada ya kuvaa.
1. Taharuki
2. Uwezo wa kugharamia maana atleast uvue Kila baada ya masaa 3
3. Namna sahihi ya uvaaji haijulikani
4. Kuenea kwa magonjwa kupitia njia ya hewa kwa kutozingatia kanunni za uvaaji
Wanaopendekeza kuvaa mask
1. Biashara nzuri
2. Hakuna kutengana wote tuwe na haki ya kujilinda.
3. Itapu guza unyanyapaaa wote tutakuwa tumevaa
4
Sent using Jamii Forums mobile app