Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
Mwanaume anao uwezo wa kukaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi, jambo ambalo ni ngumu kwa mwanamke.
Mwanamke akiishi zaidi ya miezi mwili, ataanza kuongea mambo yasiyo eleweka (Pumba) na kucheka cheka mara kwa mara.
Aidha upo uwezekano mkubwa wa kupata madhara ya kiakili.
Mwanaume lazima ukule mbususu angala mara tatu kwa wiki bwana.Duuuh huyo atakuwa hanidhi sio mwanaume rijali labda wazee wa puchu ndo wanaweza
Tena chura yenyewe iwepo kwenye vile vicondom mbona hadi pre cum inatoka kabisaMwanaume huyu huyu wa sayari hii ya Earth ambaye anaweza kusimamisha mkuyenge kwa sababu tu kaona chura tena aliyepo kwenye nguo? Sidhani
Haya sasa kumbe huwa mnatoa hadi precum😂😂, ndiyo mmalize mwaka bila kudo nyie akii🤔Tena chura yenyewe iwepo kwenye vile vicondom mbona hadi pre cum inatoka kabisa
Mwanaume huyu huyu wa sayari hii ya Earth ambaye anaweza kusimamisha mkuyenge kwa sababu tu kaona chura tena aliyepo kwenye nguo? Sidhani
Akiumbile nnungu cha kumemena, mpe tu.Sasa huyu jirani ananyenigongea mlango usiku huwa anataka nini? Na anajua mie ni singo yaani naishi mwenyewe....!!![emoji2368]
weka article au DESA lako la hui utafiti, pamoja na REFFERENCE tu some,Mwanaume anao uwezo wa kukaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi, jambo ambalo ni ngumu kwa mwanamke.
Mwanamke akiishi zaidi ya miezi mwili, ataanza kuongea mambo yasiyo eleweka (Pumba) na kucheka cheka mara kwa mara.
Aidha upo uwezekano mkubwa wa kupata madhara ya kiakili.
Wataalamu watuambie kinaga ubagaMwanaume anao uwezo wa kukaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi, jambo ambalo ni ngumu kwa mwanamke.
Mwanamke akiishi zaidi ya miezi mwili, ataanza kuongea mambo yasiyo eleweka (Pumba) na kucheka cheka mara kwa mara.
Aidha upo uwezekano mkubwa wa kupata madhara ya kiakili.