Utafiti: Ndoa nyingi zimeshakufa ingawa watu bado wanaishi kama mke na Mume

Uzuri kuna wanawake wanaofanya vyote bila kelele.
 
 
Kuna watu wanatumika kama agent wa shetani kuwatisha watu kuhusu ndoa,acheni watu waoe. Tatizo siku hizi ndoa zinazungumzwa vijiweni kama Simba na Yanga which is not right. Kuna proper ways za kudeal na changamoto za ndoa ambazo wazee wetu walizitumia na maisha yakasonga.
 
Ulishawah jiuliza kwanini mwanaume anatakiwa aishi na mwanamke kwa akili ungejua hili hata hii thread usingeandika

Nikukumbushe matamanio ya wanadamu wengi ni kutaka kuishi kwenye comfortzone nawakati kihualisia haiko hivvyo
 
Bado sijaoa.

Lkn natamani na naweka mipango. Mwanamke ashiriki kwenye shughuri za familia za kujenge uchumi.

Aajiriwe kwenye shuguri za familia na alipwe mshahara.

Nje ya hapo. Ni kutafutiana lawama tu. Mara mke wa mtu yuko NMB ana safari ya kikazi mkoa x Week nzima [emoji16][emoji16] not with me.
 
Huyo anaedhani eti wadada wa kazi watakuwa wake bora a ajidanganya. Hapo walipo wapo kazini wanatekelezq majukumu yao, ni kama wewe tu unavyoheshimu kazi yako. Akishaolewa anakuwa mke na anaweza hata asifanye hayo majukumu unayoyasema. Nina mifano ya wadada wa kazi , wameolewa na ni mama wa nyumbani lakini nao pia wamewekewa wadada. Uhalisia ni tofauti.
 
Umemfokea mno aise
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…