Utafiti: Ndoa nyingi zimeshakufa ingawa watu bado wanaishi kama mke na Mume

Utafiti: Ndoa nyingi zimeshakufa ingawa watu bado wanaishi kama mke na Mume

Nitandika Kwa kifupi najuwa mmu watu hawapendi magazeti.

Wazungu unafki huu hawaiwezi, kuishi na mtu eti kisa mna watoto lakini upendo umekufa.

Mi ni mtu wa society Kwa utafiti wangu wa miaka isiyopunguwa 10 nimegunduwa ndoa si kitu muhimu tena Kwa jamii ya Kitanzania, anayebisha hili shauri yake.

Ndoa za Watanzania wengi ni Sawa na Jehenamu kunyimana unyumba na tafrani zote.

Siku nilikuwa mediator ingawa sipendi kabisa kusuruhisha matatizo ya ndoa, findings zangu na ushauri wangu ni huu.

1. Kuoa au kuolewa siyo Jambo la lazima zingatia hili, Mimi nina ndoa lakini sikushauri kuingia kwenye ndoa kama hujui ndoa ni nini.

2. Kuna swala la ulevi Kwa ujumla, hili nimeona linaleta shida Sana kwenye ndoa, wote mmekutana kwenye pombe baadaye unamkataza mwenza wako asinywe pombe, jitafakari Sana hapo.

3. Hili ni tatizo, linawahusu wanawake wote, kumekuwa na tabia ya wanawake kutaka kuwarusha stage za ujuwaji waume zao, kumbe binadamu NI lazima apite hizo stage ili ajuwe mema na mabaya.

Kijana wa miaka 28 mpaka 40 unataka Aishi kama mtu wa miaka 50 kisa amekuwa wewe dada Hilo haiwezekani na likiwezekana elewa umetolewa na zezeta

Solution: Kwenye kupata wenzake , kila mtu ajitahidi kupata choice na quality zake, ukitaka mcha Mungu tegesha makanisani huko nako si kwamba Wana ucha Mungu wowote.

Point hapa vile umemkuta mwenzao wako bila kuangalia tako au uhandsome wake au pesa zake, elewa hivyo ndivyo alivyo usitalajie kwamba wewe utambadirisha, shida kubwa ya ndoa nyingi kuwa ICU ukichunguza Kwa makini utagunduwa tu kuna mwanandia mmoja anaamini yeye ndio mwenye akili mwenzake Hana akili.

Tutaendelea kwenye comment session.View attachment 2973331
Ukioa mwanamke unakuwa baba yake. Kwa hiyo unatakiwa kufanya majukumu yote kwake mfano wa baba na bintiye.

Tatizo la vijana wa siku hizi wanapenda kusaidiwa majukumu. Wewe unaweza mwambia binti yako akukopeshe pesa za matumizi? ukimuomba ujue unakosea na atakudharau sana.
 
Daah Nina demu wangu huyo , kila tukichart SMS mbili ya Tatu lazima tusolve Ka issue , nouma sana
Mbaya zaidi utajikuta unaamuwa kumuoa huyohuyo ukiamini atabadirika, huyo ukioa ndio utazijuwa rangi zake zote.
 
Ukioa mwanamke unakuwa baba yake. Kwa hiyo unatakiwa kufanya majukumu yote kwake mfano wa baba na bintiye.

Tatizo la vijana wa siku hizi wanapenda kusaidiwa majukumu. Wewe unaweza mwambia binti yako akukopeshe pesa za matumizi? ukimuomba ujue unakosea na atakudharau sana.

Sasa kama mwanamke anapokea mshahara mkubwa kwa nini asichangie maendeleo?
 
Ukioa mwanamke unakuwa baba yake. Kwa hiyo unatakiwa kufanya majukumu yote kwake mfano wa baba na bintiye.

Tatizo la vijana wa siku hizi wanapenda kusaidiwa majukumu. Wewe unaweza mwambia binti yako akukopeshe pesa za matumizi? ukimuomba ujue unakosea na atakudharau sana.

Sasa kama mwanamke anapokea mshahara mkubwa kwa nini asichangie maendeleo?
 
MKwa uzoefu wangu,mwanamke wa ndoa kufanya kazi za nyumbani ni kujipanga.My experience nilikuwa na dada wa kazi wakati watoto wangu ni wadogo .Walivyoenda form 1 boarding wote ,niliondoa dada na principle yangu kuanzia wakiwa primary wakiwa holiday dada anaenda likizo na wenyewe wanajipanga na kila siku tunapanga majukumu ya nyumbani pamoja(from Baba yao mpaka watoto) .Mimi nafanya kazi ,tena niko busy sana na ni bosi mkubwa tu kwa level ya director na bado naweza kupika naosha vyombo nafanya usafi(utakuta mwanamke analipa kwenda "gym" akiamua kazi za nyumbani akafanya ndio gym yake) .Watoto wako university na sina dada wa kazi for almost 5 yrs now nina kijana anakuja twice a week kwa ajili ya huko nje tu.Niko Likizo ndio maana nina muda hata wa kuelimisha wamama wenzangu (sisemi kila kitu kita work kwa kila mtu) ila malezi na exposure ni muhimu sana.Kwa kuwa ungekuwa ulaya una luxury ya kuwa na mdada wa kazi unajipanga my dear.
Wewe umekuja kuwaokoa singo mama na feminist wa humu. Maana kila siku tunapigizana nao kelele, hawaelewi nini maana ya familia.
 
Mimi nilishaachanaga na hiz habar zenu. Nilishaachaga kuongea ongea so ni yeye tu, akijisikia kupika sawa, asipojisikia sawa. Akijisikia kufua sawa asipojisikia okay, akijisikia kuamka saa 5 asbh weekend sawa au akiishia kulala siku nzuma ni yeye tu, akijisikua kutoka out ni yeye, yan nilishaachaga kuzozana vitu vya kijinga wakat naweza kuji take care mwenyewe binafsi, so yf mimi yupo tu kama mpangaji mwenzangu home. She is free to wharever she wants, tunaweza kaa the whole weekend kimya tuuu bila kuzungumza kila mtu na biznez zake. Nitasafir kwenda mkoa kikaz (napenda kusafir usiku) ,nitafika nakokwenda na kurudi home no contact no nothing.

Kitu cha msingi sana kwa mwanaume, saana, just make u have money most of time if not always ili uweze kwenda popote na kufanya chochote muda wowote. Vinginevyo, mwanamje anaweza akakuua kwa msongo wa mawazo.
Ndoa yenu imeshakufa, imebaki ndoa jina
 
Haya bana, mkumbuke kusajili sasa, hilo timu litawapa vidonda vya tumbo.
Achana na timu yetu kila mtu apambane na timu yake..kama uliweza kusavaivu miaka 4 ya kula mihogo mikavu na maji ya kandoro pale jangwani why sisi tushindwe tena tukiwa bado tuna nafasi zingine huko duniani mfano kucheza AFL....kuhusu kusajili tutasajili ww tulia tuu...
By the way huu uzi unataka kuuchafua sasa...
 
Ndoa ni kitu kitakatifu sema sasa mnaochaguana hamjui mnaingia kwenye kitu kikubwa kitakatifu chenye kuwa na kujitolea kuvumuliana kwa shida na raha, maelewano, kukabiliana na chuki zote maana kitu chochote kitakatifu shetani anakipiga vita sana, sasa mnapigwa vita mnayumba mnaachanaa hata hamuombi wala kumshirikisha Mungu, watu mmepoteza hofu ya Mungu. Lazima ndoa ikumbane na changamoto
 
Nikishaona mtu anaandika Kwa kuchanganya Caps, huwa najuwa ameshachanganyiwa anaelekea kuwa kichaa.

Huna tofauti na hawa.
View attachment 2973407
Huyu mwanamke naona kavimba jicho la kushoto au macho yangu ya uzee ndugu matola PhD? na body language inaonesha kama huko walikotoka kuna shida though wapo msibani. Note! Kulia msibani macho yanaweza kuvimba lakini huyu chini ya jicho kuna ranging ya kahawia inayoashiria kapigwa ngumi au Kofi.
 
Huyo ni chaguo lako x 3

Sijui hii nyimbo aliimbaga nani

By the way, Kwa namna hali ya mambo ilivyo Kwa ground hasa Kutokana na push ya haki sawa (50/50) Kuna haja kukawa na Ndoa za mikataba aisee
Huo wimbo wa menenisa na wimbo wa Martha baraka nimekuja na maua zilivunja rekodi za kupigwa harusini hasa wakati wa kutoa zawadi, wazazi wetu waliweza kupata ndoa bora na imara kwa kua hawakua wakikurupuka tu na kuoana, ndoa ilipitia michakato mingi,upelelezi wa kimya kimya ulifanyika kwa pande zote kujua tabia,miendo,magonjwa,ushirikina, imani ya dini, watakapoona vigezo na masharti vimezingatiwa basi mipango ya kutoa posa na kutambulishana hufuata, but nowadays ndoa zimekua vululuvululu watu tunakutana mijini no family backgrounds mnakutana beach kidimbwi after three months watu wanavishana pete with no time for extensive research and time for knowing each other, after three years utasikia watu wamedivorce and life goes on, sasa hivi kila kijana sifa ya kwanza anayohitaji kutoka kwa mwanamke ni tako Nene na sio mwanamke mzuri up stair wala mchaMungu kama zamani.
Huyo ni chaguo lako x 3

Sijui hii nyimbo aliimbaga nani

By the way, Kwa namna hali ya mambo ilivyo Kwa ground hasa Kutokana na push ya haki sawa (50/50) Kuna haja kukawa na Ndoa za mikataba aisee
 
Ndio sio tatizo, tatizo ni wanaoingia kwenye ndoa bila kuwa na ufahamu wa nini wanakwenda kufanya.

Ukibadili mtazamo wako kama mwanandoa kutoka "Nakata unifanyie hiki na kile ili niwe na furaha" na kuwa " napenda tukikaa na kupanga mambo yetu na malengo ya nyakati then kugawana majukumu kisha kila mojawapo kushika sehemu yake tukisaidiana" ndoa inakuwa na furaha sana.

Watu wanaingia kwenye ndoa wakiwa na fikra za ubinafsi sana bila kujua ni muungano wa watu wawili ambao wanatakiwa kuishi kama mwili m'moja.

Nini maana ya mwili m'moja sasa kama unataka ufanyiwe kila kitu ila wewe hautambui mahitaji muhimu ya mwenzako.

Viburi hasa wanawake kwa wanaume zao imekuwa chanzo cha kutofautiana ndani ya nyumba na kuuwa spirit ya umoja.

Mkeo anatakiwa kuwa best friend wako na fan namba moja na mumeo anatakiwa kuwa Role model na kiongozi wako muda wote.

Wapi mnafeli vijana?
 
Back
Top Bottom