Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
We Msichana, leo umeongea point sana 🔥😍🤩🤩😘😘Ndoa ni kitu kigumu sana pale mkiwa mmeokotana kwa zile sifa za nje nje za matamanio na fantasy za ajabu ajabu, Naogopa sana kwa haya nayoyaona. Mungu anisaidie
Nitandika Kwa kifupi najuwa mmu watu hawapendi magazeti.
Wazungu unafki huu hawaiwezi, kuishi na mtu eti kisa mna watoto lakini upendo umekufa.
Mi ni mtu wa society Kwa utafiti wangu wa miaka isiyopunguwa 10 nimegunduwa ndoa si kitu muhimu tena Kwa jamii ya Kitanzania, anayebisha hili shauri yake.
Ndoa za Watanzania wengi ni Sawa na Jehenamu kunyimana unyumba na tafrani zote.
Siku nilikuwa mediator ingawa sipendi kabisa kusuruhisha matatizo ya ndoa, findings zangu na ushauri wangu ni huu.
1. Kuoa au kuolewa siyo Jambo la lazima zingatia hili, Mimi nina ndoa lakini sikushauri kuingia kwenye ndoa kama hujui ndoa ni nini.
2. Kuna swala la ulevi Kwa ujumla, hili nimeona linaleta shida Sana kwenye ndoa, wote mmekutana kwenye pombe baadaye unamkataza mwenza wako asinywe pombe, jitafakari Sana hapo.
3. Hili ni tatizo, linawahusu wanawake wote, kumekuwa na tabia ya wanawake kutaka kuwarusha stage za ujuwaji waume zao, kumbe binadamu NI lazima apite hizo stage ili ajuwe mema na mabaya.
Kijana wa miaka 28 mpaka 40 unataka Aishi kama mtu wa miaka 50 kisa amekuwa wewe dada Hilo haiwezekani na likiwezekana elewa umetolewa na zezeta
Solution: Kwenye kupata wenzake , kila mtu ajitahidi kupata choice na quality zake, ukitaka mcha Mungu tegesha makanisani huko nako si kwamba Wana ucha Mungu wowote.
Point hapa vile umemkuta mwenzao wako bila kuangalia tako au uhandsome wake au pesa zake, elewa hivyo ndivyo alivyo usitalajie kwamba wewe utambadirisha, shida kubwa ya ndoa nyingi kuwa ICU ukichunguza Kwa makini utagunduwa tu kuna mwanandia mmoja anaamini yeye ndio mwenye akili mwenzake Hana akili.
Tutaendelea kwenye comment session.View attachment 2973331
mimi ni shangazi yako au oddo cha ubishi utasombwa na mafuriko hayoWe Msichana, leo umeongea point sana 🔥😍🤩🤩😘😘
Haina cha wazungu wala Waafrika hata mbele watoto huathirika kisaokolojiaWazungu sijui huwa wanawaandaa vipi watoto wao kisaikolojia kuishi pale ambapo baba na mama zao huachana, huku kwetu watoto mara nyingi hupitia kipindi kigumu sana kisaikolojia pale ambapo wazazi wao
Nani anamlazimisha mwanamke avumilie?lakini wanawake wanalazimishwa kuwavumilia wanaume wenye tabia kama hizo
Wenye akili hawaoi.Kwa upande wangu, ndoa inahitaji mwanamke mnyenyekevu na mwanaume mwenye akili, hiyo ndoa itaenda, pili lazima ujue stages za ndoa, wengine wanafikiri ndoa ni tendo la ndoa pale tendo linapokosekana shida inaanzia hapo, wengine wanaishi kwenye ndoa kwa kuangalia ndoa za wengine hilo pia ni tatizo, kubwa kuliko ni yale matarajio anayojiwekea mtu kwa mwenzi wake tofauti na uhalisia, mwanamke atajifanya anayajua mapenzi anakata viono kama Aisha Madinda akiingia kwenye ndoa anachoka hilo tatizo ni hayo tu
Sasa hiyo inakuwaje sababu hebu nifafanulie mkuuMkuu, hivi kinacho ua ndoa nyingi nyakati hizi ni nini?.
Kwa maelezo yako hapo ni kwa sababu mwanamke anafanya kazi ndo maana anashindwa kufanya majukumu mengine.
Hizo sababu zimetengenezwa na naniNani anamlazimisha mwanamke avumilie?
Kuna sababu zinafanya wanawake wavumilie
Na mwanamkeHizo sababu zimetengenezwa na nani
Hebu ziweke hapaNa mwanamke
Sibishani na makubwa jinga mimi...... kaendelee kupambana na type zako, shwainNdezi ni wewe unayeshindwa kusoma kwa ufahamu unakurupuka na kushindwa kudiscuss maada unaleta kelele na makasiriko yasio na msingi wowote. Jifunze kusoma kwa ufahamu. Utajifunza kujibu kwa ufahamu.
Bado narudia jamaa anatabu huko aliko.
Mwanamke akishazalishwa katika visa vingi hana ujanja wa kumpiga chini mume wake anabaki kuvumilia kwa sababu anahofiaHebu ziweke hapa
Ndio maana nikakuuliza hizo sababu zinatengenezwa na nani, yani kwanini mwanamke hasa wa jamii za kiafrika aogope kuachika kwa sababu hizo, mbona kwenye jamii nyingine mfano za wazungu wanawake wanaachika na hawawazi hayoMwanamke akishazalishwa katika visa vingi hana ujanja wa kumpiga chini mume wake anabaki kuvumilia kwa sababu anahofia
●Watoto
●Kuolewa tena na umri umeenda na kashazalishwa
●Kuwa single maza kulea bila baba
●Matunzo
Yeye mwenyewe mwanamke ndiye anayejitengenezea hizo sababu maana haki na sababu za kumuacha anazoNdio maana nikakuuliza hizo sababu zinatengenezwa na nani, yani kwanini mwanamke hasa wa jamii za kiafrika aogope kuachika kwa sababu hizo, mbona kwenye jamii nyingine mfano za wazungu wanawake wanaachika na hawawazi hayo
Okay sasa kama ni hivyo kwanini mnatumia nguvu kubwa kuipinga haki sawa ambayo lengo lake ni kumfanya mwanamke awe financially independent from mwanaumeYeye mwenyewe mwanamke ndiye anayejitengenezea hizo sababu maana haki na sababu za kumuacha anazo
Wanawake wa Kiafrika mko na njaa sana ndio maana mko tayari kumsamehe au kumvumilia mwanaume kisa tu ana kibunda na matunzo