Utafiti niliofanya ndani ya JamiiForums kwa kipindi kama hiki miaka ya utawala wa Magufuli hakukuwa na malalamiko ya umeme kukatika mara kwa mara

Utafiti niliofanya ndani ya JamiiForums kwa kipindi kama hiki miaka ya utawala wa Magufuli hakukuwa na malalamiko ya umeme kukatika mara kwa mara

Ulikuwa inaishia Tanzania gani wewe puya?
Screenshot_2021-11-19-10-26-02.png
Hiyo ni nov 2017 watu wanalalamikia umeme.

Shoga kama wewe unaweza usijue mana mda huo pengine ulikuwa kwa basha wako umepakatwa.
 
Naunga hoja mkono, ila kulikua na malalamiko ya miili ya watu kuokotwa kwenye viroba, wengine wakipotea tu, wengine wakiondoshwa kazini, wengine wakipewa kesi za uhujumu uchumi. Katikati ya hayo yote hata umeme ukikatika utauwazia kweli?
Hilo la watu kuokotwa ndani ya viroba wameshalisahau, wanaongelea kukatika kwa umeme. Namna binadamu asivyokuwa na shukrani na alivyo mwepesi wa kusahau.
 
JamiiForums ni eneo ambalo watu wakiona kero huwa hawaiachi na Hakuna wa kuwazuia wasiandike

Nimejitahidi kufanya utafiti kupitia nyuzi zote za kipindi chote cha utawala wa Magufuli mwezi kama huu wa 11 miaka yote ya utawala wa Magufuli baada ya kuapishwa kuanzia 2016 November hadi 2020 November nikaangalia vipindi vyote vya November miaka yote hakukuwa na malalamiko ya wananchi humu jamii forums ya tatizo la umeme kukatikatika nchi nzima Kama Wala la maji ya ratiba ya mgao Dar es Salaam

Nilifanya hivyo sababu wengine wanadai ni kawaida kipindi kama hiki cha November huwa na hiyo shida hivyo kuletelea shida ya tatizo la maji na umeme. Hilo lalamiko sikuliona kipindi chote cha Magufuli humu Jamiiforums watu wakiibua threads za malalamiko kama sasa

Tafsiriri yake nini?
Hakuna rais anayekubalika bongo hii, siku zote ni wa kulaumiwa na kushutumiwa. Ni mpaka akiondoka ikulu ndipo anapopewa sifa za 'bandia'.
 
Naunga hoja mkono, ila kulikua na malalamiko ya miili ya watu kuokotwa kwenye viroba, wengine wakipotea tu, wengine wakiondoshwa kazini, wengine wakipewa kesi za uhujumu uchumi. Katikati ya hayo yote hata umeme ukikatika utauwazia kweli?
Akirudi tena nistue

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Mkuu we kimyakimya tu unapiga mlemle.Hongera.
 
Elewa mada inaongelea Nini badala ya kupost tu bila kujielewa .tunaongelea kipindi Cha November kila mwaka ambacho kinasemekana mito hukauka na mabwawa ya kuzalisha umeme kukosa maji
Hakuna cha kipindi cha november wala nini hapa.Suala ni je!Umeme kukatikakatika kuliisha kipindi cha [emoji88]kama mnavyotuaminisha nyinyi wafia legacy ya [emoji88]?.
Acheni unafiki.
 
JamiiForums ni eneo ambalo watu wakiona kero huwa hawaiachi na Hakuna wa kuwazuia wasiandike

Nimejitahidi kufanya utafiti kupitia nyuzi zote za kipindi chote cha utawala wa Magufuli mwezi kama huu wa 11 miaka yote ya utawala wa Magufuli baada ya kuapishwa kuanzia 2016 November hadi 2020 November nikaangalia vipindi vyote vya November miaka yote hakukuwa na malalamiko ya wananchi humu jamii forums ya tatizo la umeme kukatikatika nchi nzima Kama Wala la maji ya ratiba ya mgao Dar es Salaam

Nilifanya hivyo sababu wengine wanadai ni kawaida kipindi kama hiki cha November huwa na hiyo shida hivyo kuletelea shida ya tatizo la maji na umeme. Hilo lalamiko sikuliona kipindi chote cha Magufuli humu Jamiiforums watu wakiibua threads za malalamiko kama sasa

Tafsiriri yake nini?
Kuna yeyote aliyeweza kulalama hadharani kwamba kuna mgao?
 
Piga hapohapo mpaka amtaje aliyemtuma manina!.
 
Nchi imekosa uongozi madhubuti,tumerudi enzi za ubabaishaiji
 
Utafiti JamiiForums unaendelea

Kwa utafiti nikiofanya kwenye hii mada yangu niliyoanzisha Kama mwana CCM ya kukosoa Serikali yangu humu nimegundua kitu Cha aja

Upinzani hasa Wana Chadema wa humu JamiiForums ndio wanaongoza kupinga mada Yangu na kutetea msimamo wa serikali iliyopo sasa kwa nguvu hasa .Hadi Raha.

Kumbe yawezekana Chadema kuungana na serikali na kuachana na upinzani wao


Wamegeuka kuwa ndio watetezi wakubwa wa serikali ya Sasa kwenye hii mada yangu kwa wingi wao


.CCM hoyeeee .
Yoda kakuminya makalio sasa naona dozi imekuvuruga.[emoji2][emoji23][emoji16]
 
NNa
JamiiForums ni eneo ambalo watu wakiona kero huwa hawaiachi na Hakuna wa kuwazuia wasiandike

Nimejitahidi kufanya utafiti kupitia nyuzi zote za kipindi chote cha utawala wa Magufuli mwezi kama huu wa 11 miaka yote ya utawala wa Magufuli baada ya kuapishwa kuanzia 2016 November hadi 2020 November nikaangalia vipindi vyote vya November miaka yote hakukuwa na malalamiko ya wananchi humu jamii forums ya tatizo la umeme kukatikatika nchi nzima Kama Wala la maji ya ratiba ya mgao Dar es Salaam

Nilifanya hivyo sababu wengine wanadai ni kawaida kipindi kama hiki cha November huwa na hiyo shida hivyo kuletelea shida ya tatizo la maji na umeme. Hilo lalamiko sikuliona kipindi chote cha Magufuli humu Jamiiforums watu wakiibua threads za malalamiko kama sasa

Tafsiriri yake nini?
Naomba picha ya mrembo mmoja mkali
 
Kifupi jamaa wameanza kutuibia Tena Kama enzi za Msogagang.
Huenda hata ile mita ya kusoma mafuta bandarini imeshacuepushwa tena.

JK tuache tupumue!ulitutesa Sana na mgao enzi zako,hajaridhika mlizochuma?
Ebu rudi juu hufungue past thread alizopost Yoda alafu ndiyo urudi tena hapa.
 
Back
Top Bottom