Utafiti: Nusu ya wanaume duniani wangependa kuwa mademu

Utafiti: Nusu ya wanaume duniani wangependa kuwa mademu

Sawa mkuu ni mimi nimejichanganya tu sikuelewa mada tusameheane bhana hiyo comment sidhani kama nilikulenga wewe kukuquote [emoji120] ..and hebu nipe info kuhusu hapo ulipokuwa unaishi kwenye huo mji na kuhusu uo utafiti
Sawa mkuu yameisha,yaani ni balaa hata barabarani unaona wanaume wananyonyana mate ,ukikaana nao ni kawaida mkwe kuwa rafiki na kupigiana simu na basha wa mwanae wa kiume ,wasagaji ndo usiseme kwa akili zetu za kibongo unaboreka sana ,kuna siku niliingia baa ya magay bila kujua sasa nimekaa na masela wawili ghafla wakaanza kulana mate sababu ya ulevi nikawauliza whats the hell is this !ase mabaunsa walinidaka wakanitoa nje fasta .hivyo kuhoji wanaume wa sanfransico ambapo hapazidi hata watu mil 1 utakosea kusema ndo wanaume wote wako hivyo nauhakika ukiuliza swali hilo kwa wanaume wa mara wanaweza kukuua
 
Hawa watakuwa wale magay AKA Wasenge.
Gazeti moja la marekani la mjini San Francisco limeripoti utafiti wake kuwa kuanzia Karne ya 20 nusu ya wanaume wote duniani wangependelea kuwa wanawake wakati chini ya robo ya wanawake duniani wangependelea kuwa wanaume.
 
Wanaopinga wengi ndio wanatamani kisirisiri shwaini[emoji12].........ntarudi kujibu comment[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Maalaya mkubwa wewe,,,
 
Gazeti moja la marekani la mjini San Francisco limeripoti utafiti wake kuwa kuanzia Karne ya 20 nusu ya wanaume wote duniani wangependelea kuwa wanawake wakati chini ya robo ya wanawake duniani wangependelea kuwa wanaume.
RUBBISH
 
Wangependa kupumuliwa! Kwyo possiblity ya kua mashoga ni kubwa hao ambao wangependa kua wanawake, yes! Hyo ndio tafsiri yake[emoji357]
 
Sawa mkuu yameisha,yaani ni balaa hata barabarani unaona wanaume wananyonyana mate ,ukikaana nao ni kawaida mkwe kuwa rafiki na kupigiana simu na basha wa mwanae wa kiume ,wasagaji ndo usiseme kwa akili zetu za kibongo unaboreka sana ,kuna siku niliingia baa ya magay bila kujua sasa nimekaa na masela wawili ghafla wakaanza kulana mate sababu ya ulevi nikawauliza whats the hell is this !ase mabaunsa walinidaka wakanitoa nje fasta .hivyo kuhoji wanaume wa sanfransico ambapo hapazidi hata watu mil 1 utakosea kusema ndo wanaume wote wako hivyo nauhakika ukiuliza swali hilo kwa wanaume wa mara wanaweza kukuua
Sawa nadhani ni bora hao wako hadharani wanajionyesha kuna wimbi kubwa sana liko nyuma ya pazia ambao wako kimya kimya sana na chini kwa chini kwa hapa bongo ni balaaa mzeee mtu huwezi dhania yuko kawaida tu lakin nyuma ya pazia mzee ni zaid ya balaaa
 
Tunaomba tujue sample ya hiyo research yao ilipatikanaje, maana wasije kuwa wameoji wanaume wa huko kwao tu wakazania ndio wanaume wa dunia nzima
 
Hao mabinti most probably wako ama wamezungukwa na jamii inayofavor mwanaume zaidi!

Otherwise kwa binti/mwanamke ambaye anapata favors sawa na mwanaume na kuitambua nafasi ya uanamke wake katika mazingira yake, kamwe hawezi kutamani hata kwa sekunde kuwa mwanaume, I’m a woman, I know.
Sawa, you're a woman. Fanya utafiti simple to kwa women wenzako halafu majibu ubaki nayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata ukisoma nyuzi na comnents zao humu ndani unaona tu, huu utafiti ni kweli.
 
[emoji3][emoji3]boda boda ndio ipi tena hio mkuu
[emoji16][emoji16]Ndugu yangu! Hii nchi ya viwanda ni balaa. Kuna style za kutosha.

Hujamsikia Rayvany kwenye ule wimbo na diamond nimeusahau,

'katoto kamenoga, nakapa ndizi za bukoba,
nakapandisha bodaboda, kakichoka kuchuma mboga...'

Yaani boda (pikipiki) ni wewe halafu shemeji anapanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom