UTAFITI: Sinza inaongoza kwa wanawake wazuri dar nzima

UTAFITI: Sinza inaongoza kwa wanawake wazuri dar nzima

Acheni kupotosha madogo. Vijana wenye consistency ya kutumia 200k kwa ajiri ya kutomba tu ni wachache sana.

Story kama hizo ndio zinasababisha kijana siku kamwotea mhindi kapiga laki 3 yake ya mkeka anaenda kuimalizia kitambaa cheupe ili aonekane anaenda wakat halafu asubuhi anaamka hana kitu, wakati iyo hela ni mtaji wa kuanzisha biashara ndogo ndogo.

Story kama hizi ndio zinasababisha watoto wa kike waache shule, wasifanye kazi halali wakijua udangaji unalipa. Soko la kuhonga lingekua hivyo tungekua na wakina dada wengi wenye pesa, badala yake wengi wao ni ombaomba na single mother
Hahaha kila mtu atumie akili mkuuu
 
Za alasiri wana jf,

Kwa watu tunaoishi dsm huu ndo ukweli mchungu hakuna sehemu inayoongoza kwa pisi kali dar es salaam nzima kuzidi Sinza haipo na haitakaa itokee sio makalio makubwa, shepu nzuri, rangi nzuri, sura nzuri yaani ni hatari wakuu

Kwa wale mabaazazi mnaotafuta vifuta jasho then sinza is the best place hata hivyo hakikisha una zaidi ya 200k ili ufaidi mema ya nchi

Personally nina mpango wa kuhamia huko maana ninapoishi hamna kitu kabisa huku yaani ni vibungo tu

Sinza hata ukihonga roho haikuumi maana umetoa pesa kwa wanawake wazuri 😍❤️

Welcome to Sinza
Mbona ushubwada
 
Kati ya Wanawake 10 Sinza 1 tu ndio mzima huko watu ni wabovu nadhani kupita dar yote😢
 
Mkuu umeingia lini jijini dasalamu?
Unababaika na hao wadada wanaofanya daily routine skincare na kwenda na fashion dail?

Ukifika arusha, manyara yote si utapagawa asee?

Halafu ndo kwanza hawana habari wako barabarani wanauza ndizi na mitumbaa

Mkuu tembea ujione njoo arusha siku moja ndio utajua Dar hakuna pisi asee
 
Back
Top Bottom