UTAFITI: Sinza inaongoza kwa wanawake wazuri dar nzima

UTAFITI: Sinza inaongoza kwa wanawake wazuri dar nzima

Mkuu umeingia lini jijini dasalamu?
Unababaika na hao wadada wanaofanya daily routine skincare na kwenda na fashion dail?

Ukifika arusha, manyara yote si utapagawa asee?

Halafu ndo kwanza hawana habari wako barabarani wanauza ndizi na mitumbaa

Mkuu tembea ujione njoo arusha siku moja ndio utajua Dar hakuna pisi asee
Arusha 🤣🤣🙌
 
Mkuu ukweli mchungu ila malaya wengi ni wazuri kuliko wanawake zetu na sinza ina malaya kweli kweli, so hata wauzaji ni pisi kali tena kali kuliko hata hawa wanawake zetu wenye vichwa kama Landrover diffender
Hao wapaka cream za Congo ndo wanakuzuzua mkuu 🤣🤣🤣.......unatafuta tu UTI sugu 😂😂😂kila la kheri na demu wa sinza
 
Mkuu umeingia lini jijini dasalamu?
Unababaika na hao wadada wanaofanya daily routine skincare na kwenda na fashion dail?

Ukifika arusha, manyara yote si utapagawa asee?

Halafu ndo kwanza hawana habari wako barabarani wanauza ndizi na mitumbaa

Mkuu tembea ujione njoo arusha siku moja ndio utajua Dar hakuna pisi asee
Katika miangaiko ya kimaisha kuna kipindi nikajikuta nipo karatu. Kuna vyuma vya kiiraqwi kule halafu wenyewe hata hawana habari. Kwa takribani miezi mitatu niliyokaa kule nilipiga vetting nikaondoka na chuma kimoja mpaka leo ndio wife. Watu hawajatembea ndio maana wanawababaikia hawa mademu wa tabata na sinza
 
Mkuu umeingia lini jijini dasalamu?
Unababaika na hao wadada wanaofanya daily routine skincare na kwenda na fashion dail?

Ukifika arusha, manyara yote si utapagawa asee?

Halafu ndo kwanza hawana habari wako barabarani wanauza ndizi na mitumbaa

Mkuu tembea ujione njoo arusha siku moja ndio utajua Dar hakuna pisi asee
Manyara wana uzuri hasa wa rangi na ndo unachanganya me wengi,

Lakini uzuri wa jumla jumla hata Arusha Ina mademu wakali kuzidi wa Iraqw
 
Hao wapaka cream za Congo ndo wanakuzuzua mkuu 🤣🤣🤣.......unatafuta tu UTI sugu 😂😂😂kila la kheri na demu wa sinza
Me siwezi kutombea hai hata siku moja me kwanza mwanamke akijichibua hapana, hawajanizuzua ila ukweli usemwe wale malaya ni wazuri other things being constant. Alafu ishue iko hivi akiwa sinza anauzaa bidhaa, akirudi kwao tandale uzuri ni mke wa mtu, hata wewe ukikutana nae unasema mke wa fulan ni pisi kali..
 
wageni wanaelekezana maisha ya Dar😡
Ahahah kabisa mkuu,,,niliacha sinza mwaka 2011, enzi inzo mwamposa kanisa lake liko pale bar ya palestina anaubiri waumini hata mia hawafiki,,,,nikaona ngoja nikajitafute kaskazini,, aseee nikasema DAR hakuna wanawake asee ni umaarufu wa jiji

Kaskazini ni kiboko( arusha)
Waamasai
Waarusha
Wambulu/ wairaq
Warangi
Wapale
Wamarangu
Watu wa tanga
Wote wapo arusha
Alafu hawana time wanauza mitumba, masokon changanyiken habari unayo wewe aseee alafu tumeshazoea hatushtuki wala

Izo rangi za hapo sinza huku ni natural born haswaa imeiva haswaa
 
Ahahah kabisa mkuu,,,niliacha sinza mwaka 2011, enzi inzo mwamposa kanisa lake liko pale bar ya palestina anaubiri waumini hata mia hawafiki,,,,nikaona ngoja nikajitafute kaskazini,, aseee nikasema DAR hakuna wanawake asee ni umaarufu wa jiji

Kaskazini ni kiboko( arusha)
Waamasai
Waarusha
Wambulu/ wairaq
Warangi
Wapale
Wamarangu
Watu wa tanga
Wote wapo arusha
Alafu hawana time wanauza mitumba, masokon changanyiken habari unayo wewe aseee alafu tumeshazoea hatushtuki wala

Izo rangi za hapo sinza huku ni natural born haswaa imeiva haswaa
Pande hizo, na Singida, ni unedited/untampered beauty:AweeWoo:
 
Katika miangaiko ya kimaisha kuna kipindi nikajikuta nipo karatu. Kuna vyuma vya kiiraqwi kule halafu wenyewe hata hawana habari. Kwa takribani miezi mitatu niliyokaa kule nilipiga vetting nikaondoka na chuma kimoja mpaka leo ndio wife. Watu hawajatembea ndio maana wanawababaikia hawa mademu wa tabata na sinza
Sasa mtu atoke dar aje arusha for pussy mkuu!..

Tumia akili hapa tunawachezea tu tupunguze nyege sio kuoa
 
Mkuu umeingia lini jijini dasalamu?
Unababaika na hao wadada wanaofanya daily routine skincare na kwenda na fashion dail?

Ukifika arusha, manyara yote si utapagawa asee?

Halafu ndo kwanza hawana habari wako barabarani wanauza ndizi na mitumbaa

Mkuu tembea ujione njoo arusha siku moja ndio utajua Dar hakuna pisi asee
Hahaha tumia akili dogo
 
Katika miangaiko ya kimaisha kuna kipindi nikajikuta nipo karatu. Kuna vyuma vya kiiraqwi kule halafu wenyewe hata hawana habari. Kwa takribani miezi mitatu niliyokaa kule nilipiga vetting nikaondoka na chuma kimoja mpaka leo ndio wife. Watu hawajatembea ndio maana wanawababaikia hawa mademu wa tabata na sinza
Kabisa mkuu ni hatare
Kuna siku tulitoka park hapa tarangire
Tukasema wacha tukale maisha babati DC haloo aisee ni hataree ile jamii mungu kawapendelea asee

Kama una familia na usipozoea na kuona kawaida unatelekeza familia kabisa na wala hushtuki ahahahah

Nilikutana na pisi moja iyo af cast muiraq na mzungu asee nilikula nae sana bata alafu wala hana time ya kujiona na watu wa kule wala hawana time nao kabisa aisee kawaidaa sana
 
Back
Top Bottom