cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Kumekuchaaa!!Inaongoza kwa Malaya na mashoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumekuchaaa!!Inaongoza kwa Malaya na mashoga
Hujakosea.. Sasa kwa mfano mtu akienda Mbagala na Tandika anakutana na Wandengereko, Wamatumbi na Wangindo wenye shepu ngumu..Za alasiri wana jf,
Kwa watu tunaoishi dsm huu ndo ukweli mchungu hakuna sehemu inayoongoza kwa pisi kali dar es salaam nzima kuzidi Sinza haipo na haitakaa itokee sio makalio makubwa, shepu nzuri, rangi nzuri, sura nzuri yaani ni hatari wakuu
Kwa wale mabaazazi mnaotafuta vifuta jasho then sinza is the best place hata hivyo hakikisha una zaidi ya 200k ili ufaidi mema ya nchi
Personally nina mpango wa kuhamia huko maana ninapoishi hamna kitu kabisa huku yaani ni vibungo tu
Sinza hata ukihonga roho haikuumi maana umetoa pesa kwa wanawake wazuri
Unatangaza biashara siyo? Ukahaba ni laana fanya kazi halaliZa alasiri wana jf,
Kwa watu tunaoishi dsm huu ndo ukweli mchungu hakuna sehemu inayoongoza kwa pisi kali dar es salaam nzima kuzidi Sinza haipo na haitakaa itokee sio makalio makubwa, shepu nzuri, rangi nzuri, sura nzuri yaani ni hatari wakuu
Kwa wale mabaazazi mnaotafuta vifuta jasho then sinza is the best place hata hivyo hakikisha una zaidi ya 200k ili ufaidi mema ya nchi
Personally nina mpango wa kuhamia huko maana ninapoishi hamna kitu kabisa huku yaani ni vibungo tu
Sinza hata ukihonga roho haikuumi maana umetoa pesa kwa wanawake wazuri 😍❤️
Welcome to Sinza
Hahaha hamna kitu mk
Njoo uone siku za weekend kuna gulio😄😄Hahaha hamna kitu mkuu
Kuna siku nipo kwenye daladala natoka pale mwenge tra, Kuna mdada ali kuwa pisi fulani hivi iko soft.Siwezi anzisha ukaribu wa kimapenzi na pisi inayoishi sinza abadani.
ko makamu wetu wa kataa ndoa, kumbe upo nasi ki nadharia tu😂🤣Katika miangaiko ya kimaisha kuna kipindi nikajikuta nipo karatu. Kuna vyuma vya kiiraqwi kule halafu wenyewe hata hawana habari. Kwa takribani miezi mitatu niliyokaa kule nilipiga vetting nikaondoka na chuma kimoja mpaka leo ndio wife. Watu hawajatembea ndio maana wanawababaikia hawa mademu wa tabata na sinza
Acha kudanganya watu, Nairobi hakuna pisi, EA nzima Kenya inaongoza kua na mademu wabovu, nimekula kadhaa wa zile viwanja high class, students, na hata hapa niko hapa Black Samurai, baadae niende Quiver hapo,Tanzania hamna pisi 😹njoo Kenya Nairobi dadek
Mimi sipingi mahusiano ya mwanamke na mwanaume wenye nia ya dhati kutengeneza familia. Ambacho sikubaliani nacho ni ule mkataba wa kitapeli uliopewa jina la ndoa.ko makamu wetu wa kataa ndoa, kumbe upo nasi ki nadharia tu😂🤣
AsanteAcha kudanganya watu, Nairobi hakuna pisi, EA nzima Kenya inaongoza kua na mademu wabovu, nimekula kadhaa wa zile viwanja high class, students, na hata hapa niko hapa Black Samurai, baadae niende Quiver hapo,
lakini nakushauri mtanzania jivunie totoz za huko, si utani Dar kuna totoz za kwenda, huku uzuri ni kiingereza midemu ya hovyo hovyo tu, haivutii
Samahani kwa kusema ukweli
KATAA NDOA LINDA UHURU WAKOMimi sipingi mahusiano ya mwanamke na mwanaume wenye nia ya dhati kutengeneza familia. Ambacho sikubaliani nacho ni ule mkataba wa kitapeli uliopewa jina la ndoa.
Napinga hilo, nairobi pisi zipo za kutosja mkuu.Acha kudanganya watu, Nairobi hakuna pisi, EA nzima Kenya inaongoza kua na mademu wabovu, nimekula kadhaa wa zile viwanja high class, students, na hata hapa niko hapa Black Samurai, baadae niende Quiver hapo,
lakini nakushauri mtanzania jivunie totoz za huko, si utani Dar kuna totoz za kwenda, huku uzuri ni kiingereza midemu ya hovyo hovyo tu, haivutii
Samahani kwa kusema ukweli