UTAFITI: Sinza inaongoza kwa wanawake wazuri dar nzima

UTAFITI: Sinza inaongoza kwa wanawake wazuri dar nzima

Tanzania hamna pisi 😹njoo Kenya Nairobi dadek
Tanzania ipi kiongozi?
Nairobi kwa Dsm wanaachwa mbali sana, manzi wa Kenya labda kuongea kiingereza na ujuaji, madem wa Kenya hadi akiona subaru inapita anakuambia hio wheel number ni 18 inch..
Manzi anajua hadi oil ya gari 5W30..

Rwanda ndio hamna, nchi nzima wanawake wanafanana utasema ugali, wote komwe, shingo ndefu, sura nyembamba utasema wamezaliwa na mama mmoja...

Tz ukipita kanda ya ziwa kuna wanawake design flani, ukifika kaskazini huko Arusha n.k wapo tofauti, ukienda huko Singidani, Dodoma, Tabora kila eneo noi tofauti...

Tz kuna kila aina ya wanawake, wenye makalio, wenye rangi, wenye sura, wenye hips halafu jamii tofauti...
 
Acha kudanganya watu, Nairobi hakuna pisi, EA nzima Kenya inaongoza kua na mademu wabovu, nimekula kadhaa wa zile viwanja high class, students, na hata hapa niko hapa Black Samurai, baadae niende Quiver hapo,

lakini nakushauri mtanzania jivunie totoz za huko, si utani Dar kuna totoz za kwenda, huku uzuri ni kiingereza midemu ya hovyo hovyo tu, haivutii

Samahani kwa kusema ukweli
Ngoja tuone
 
Tanzania ipi kiongozi?
Nairobi kwa Dsm wanaachwa mbali sana, manzi wa Kenya labda kuongea kiingereza na ujuaji, madem wa Kenya hadi akiona subaru inapita anakuambia hio wheel number ni 18 inch..
Manzi anajua hadi oil ya gari 5W30..

Rwanda ndio hamna, nchi nzima wanawake wanafanana utasema ugali, wote komwe, shingo ndefu, sura nyembamba utasema wamezaliwa na mama mmoja...

Tz ukipita kanda ya ziwa kuna wanawake design flani, ukifika kaskazini huko Arusha n.k wapo tofauti, ukienda huko Singidani, Dodoma, Tabora kila eneo noi tofauti...

Tz kuna kila aina ya wanawake, wenye makalio, wenye rangi, wenye sura, wenye hips halafu jamii tofauti...
Leta picha ya manzi wako nihakikishe
 
Kuna siku nipo kwenye daladala natoka pale mwenge tra, Kuna mdada ali kuwa pisi fulani hivi iko soft.

tukawa tuna piga story, aka omba simu Kuna kitu ali kuwa ana hakikisha.
baadae akawa ame enda sehemu ya phone no, aka andika namba Kisha aka smile.

tuna fika sinza hospital ana niambia ana kaa maeneo hayo, nili futa namba 😂🤣
UONGO labda kama ulimuomba kazi
 
ktk sehemu niliyoishi sana DAR, basi ni sinza. nimekaa sana
$INZA MADUKANI
kwa miaka 12 mfululizo. nilichokiona pale ni balaa bluu, sitasahau. japo kino jambo ni lile lile.
 
Leta picha ya manzi wako nihakikishe
3880612e950201f63aa89f3ecbccb4fa.jpg
 
Back
Top Bottom