Maoni ya mtu wa jamii forum hayo πππJamani mbona vitu vimepanda ghafla
Wakuu habari zenu poleni na majukum ya kitaifa Kuna jambo limenishangaza sana mbona maisha yanazidi kupanda sana toka tarehe moja nimeenda dukani kununua sukari kilo moja kwetu huku ilikuwa tsh 2600 sasa hivi imefika 2800 Bati pia hivyo hivyo bando moja hizi za rangi nimekuta bei imepanda toka...www.jamiiforums.com
Hivi mtu akiwa anasafirisha madawa ya kulevya kutoka Tz kuja Kenya harafu mkamkamata je mtamrudishia madawa ya kulevya ayarudishe tZHilo ni swali nzuri.
Sisi kama wakenya hatukuelewa huo msimamo wa serikali yenu kuchoma vifaranga vyetu kwa sababu ya βvirusiβ nyinyi mngeturudishia vifaranga sisi tuendelee na shughuli zetu sasa kutuchomea ilisababisha wafanyibiashara waone hii serikali ya JPM iko na kasoro na hiyo kasoro ni hamaapendi wakenya na hamtaki afrika mashariki iendelee kusonga mbele. na wakumbuka ile time mlichukua ngombe wetu mkawashika wakenya wamasai na mkawatia rumande? Wakenya hatukuridhishwa na jambo hilo na namwelewa JPM ywafaa kulimda maslahi ya watu wake lakini zile vitu anazozifanya are in bade faith.
Na wacha nikuulize swali, katika afrika mashariki mbona watanzania hamtaki sisi sote tufanye trade, biashara na kazi pamoja? Kila masaa unaskia waganda na wakenya mara warwanda na waburundi wamefurushwa kwa sababu ya reasons zisizojulikana. Na je kama marehemu Nyerere angekuwa hai wadhani angeridhishwa na vile mnavyowafanyia wenzenu na vile tanzania haijihusishi sana na maswala ya EAC kama zamani?
Wataka kuniambia ya kwamba vifaranga na madawa za kulevya ni the same?Hivi mtu akiwa anasafirisha madawa ya kulevya kutoka Tz kuja Kenya harafu mkamkamata je mtamrudishia madawa ya kulevya ayarudishe tZ
Mkuu, Whatever you posted was also an "opinion poll" that was conducted by InfoTrack Kenya. Shida ni uelewa wenu ama Waalimu? Kwa vile wenzako wanakushabikia bila kufikirikia angalau kidogo.Hivi unajua tofauti kati ya utafiti na maoni ya mtu?
Vifaranga vyenye magonjwa. Unataka wa TZ wafe na ugonjwa wa ndege!?Wataka kuniambia ya kwamba vifaranga na madawa za kulevya ni the same?
Wataka kuniambia ya kwamba vifaranga na madawa za kulevya ni the same?
Nani alivifanyia utafiti kwenye Maabara vikapatikana na ugonjwa?Vifaranga vyenye magonjwa. Unataka wa TZ wafe na ugonjwa wa ndege!?
Sasa ilibidi msafirisha afuate taratibu za uingizaji wa chakula na dawa nchini ambazo ziko wazi kabisa.Nani alivifanyia utafiti kwenye Maabara vikapatikana na ugonjwa?
Utafiti ni maoni ya watu wengi(sio mtu mmoja), waliochaguliwa kwa kutumia mfumo/njia za kitaalamu(sampling), ili kupunguza upendeleo, walioulizwa maswali yaliyoandaliwa kisayansi ili kupata taarifa inayotakikana, kisha hayo maoni yakafanyiwa upembuzi wa kisayansi (scientific analysis)Mkuu, Whatever you posted was also an "opinion poll" that was conducted by InfoTrack Kenya. Shida ni uelewa wenu ama Waalimu? Kwa vile wenzako wanakushabikia bila kufikirikia angalau kidogo.
Tanzania tuliweka sheria ya kupiga marufuku ya kukataza uingizaji wa ndege hai, kama njia ya kuthibiti magonjwa yanayoenezwa na ndege mwaka 2007.Wataka kuniambia ya kwamba vifaranga na madawa za kulevya ni the same?
TBS hio ndio kazi yaoNani alivifanyia utafiti kwenye Maabara vikapatikana na ugonjwa?
Hii ndiyo bei huko kenyaMkuu, Whatever you posted was also an "opinion poll" that was conducted by InfoTrack Kenya. Shida ni uelewa wenu ama Waalimu? Kwa vile wenzako wanakushabikia bila kufikirikia angalau kidogo.
Kama havijafanyiwa utafiti. Jukumu ni la nani kufanyia utafiti!?Nani alivifanyia utafiti kwenye Maabara vikapatikana na ugonjwa?
Maoni ya mtu wa jamii forum hayo πππ
Choices my friendHii ndiyo bei huko kenya
View attachment 1145139
Duniani kote utaratibu ni kwamba ukikamata "live birds" sheria ni kuwateketeza sio kuwarudisha. Ujinga wenu wa kutojua na kufuata sheria za kimataifa, ndio zilizowafanya muwekwe katika kundi la "failed states". Kenya hakuna sheria yoyote inayofuatwa, vinavyoongoza nchi ni Rushwa na Ukabila tu.ichoboy01 joto la jiwe kama walikuwa na maradhi mngewarejesha si kuwateketeza ila siwashangai.kama hamthamini uhai wa binadamu wenzenu itakuwa wa wanyama?