Utafiti; Wakenya wengi wamekata tamaa ya maisha

Utafiti; Wakenya wengi wamekata tamaa ya maisha

Maoni ya mtu wa jamii forum hayo 😆😆😆
 
Hilo ni swali nzuri.

Sisi kama wakenya hatukuelewa huo msimamo wa serikali yenu kuchoma vifaranga vyetu kwa sababu ya “virusi” nyinyi mngeturudishia vifaranga sisi tuendelee na shughuli zetu sasa kutuchomea ilisababisha wafanyibiashara waone hii serikali ya JPM iko na kasoro na hiyo kasoro ni hamaapendi wakenya na hamtaki afrika mashariki iendelee kusonga mbele. na wakumbuka ile time mlichukua ngombe wetu mkawashika wakenya wamasai na mkawatia rumande? Wakenya hatukuridhishwa na jambo hilo na namwelewa JPM ywafaa kulimda maslahi ya watu wake lakini zile vitu anazozifanya are in bade faith.

Na wacha nikuulize swali, katika afrika mashariki mbona watanzania hamtaki sisi sote tufanye trade, biashara na kazi pamoja? Kila masaa unaskia waganda na wakenya mara warwanda na waburundi wamefurushwa kwa sababu ya reasons zisizojulikana. Na je kama marehemu Nyerere angekuwa hai wadhani angeridhishwa na vile mnavyowafanyia wenzenu na vile tanzania haijihusishi sana na maswala ya EAC kama zamani?
Hivi mtu akiwa anasafirisha madawa ya kulevya kutoka Tz kuja Kenya harafu mkamkamata je mtamrudishia madawa ya kulevya ayarudishe tZ
 
Mkuu, Whatever you posted was also an "opinion poll" that was conducted by InfoTrack Kenya. Shida ni uelewa wenu ama Waalimu? Kwa vile wenzako wanakushabikia bila kufikirikia angalau kidogo.
Utafiti ni maoni ya watu wengi(sio mtu mmoja), waliochaguliwa kwa kutumia mfumo/njia za kitaalamu(sampling), ili kupunguza upendeleo, walioulizwa maswali yaliyoandaliwa kisayansi ili kupata taarifa inayotakikana, kisha hayo maoni yakafanyiwa upembuzi wa kisayansi (scientific analysis)

Nadhani sasa unaelewa tofauti kati ya utafiti na maoni ya mtu mmoja
 
Wataka kuniambia ya kwamba vifaranga na madawa za kulevya ni the same?
Tanzania tuliweka sheria ya kupiga marufuku ya kukataza uingizaji wa ndege hai, kama njia ya kuthibiti magonjwa yanayoenezwa na ndege mwaka 2007.

Mbona tunakama wanaoingiza mirungi kutokana na kwamba huku Tanzania haturuhusu mirungi wakati Kenya mnaruhusu, mbona hamlalamiki na kutaka tuwarudishie mirungi yenu?
 
Mkuu, Whatever you posted was also an "opinion poll" that was conducted by InfoTrack Kenya. Shida ni uelewa wenu ama Waalimu? Kwa vile wenzako wanakushabikia bila kufikirikia angalau kidogo.
Hii ndiyo bei huko kenya
IMG_20190703_081333_682.JPG
 
Nani alivifanyia utafiti kwenye Maabara vikapatikana na ugonjwa?
Kama havijafanyiwa utafiti. Jukumu ni la nani kufanyia utafiti!?
Unapovuka boda kuja TZ lazima uwe na certificate halali kuhusu vifaranga hao kuwa hawana magonjwa.
If you don't have any certificate it means, vifaranga vyako vinamatatizo.
Hatuwezi kama nchi kughalamia kufanyia utafiti vitu vya magendo.
 
Vifaranga wa siku moja walikuwa na maradhi gani ichoboy01 you people are so inhumane
Mbona tunakamata mirungi toka Kenya na kuwafunga kifungo cha maisha, wakati huko kwenu mirungi inaruhusiwa?. Sheria ya Tanzania hairuhusu mirungi wa kuingiza ndege wakiwa hai, kwanini hamuelewi?.
 
ichoboy01 joto la jiwe kama walikuwa na maradhi mngewarejesha si kuwateketeza ila siwashangai.kama hamthamini uhai wa binadamu wenzenu itakuwa wa wanyama?
Duniani kote utaratibu ni kwamba ukikamata "live birds" sheria ni kuwateketeza sio kuwarudisha. Ujinga wenu wa kutojua na kufuata sheria za kimataifa, ndio zilizowafanya muwekwe katika kundi la "failed states". Kenya hakuna sheria yoyote inayofuatwa, vinavyoongoza nchi ni Rushwa na Ukabila tu.
 
Back
Top Bottom