joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Kenya on the wrong path? |The Big Story
Get the latest news,entertainment and sports news from Kenya
www.standardmedia.co.ke
Wakenya wengi wamekata tamaa ya maisha kutokatana na gharama za maisha kuwa juu nchini mwao, rushwa na ukosefu wa ajira. Matokeo ya utafiti huu yanaendana na utafiti mwingine ulioonyesha kwamba, wakenya wengi hawapendi kuishi nchini mwao na wanapenda kutoroka na kuishi nchi za nje.
Hali hii ya wakenya kukata tamaa ya maisha na kuwaza kutoroka, imesababisha mkenya mmoja Jana kujificha katika eneo la gurudumu la ndege ya KQ ili aweze kutoroka Kenya, bahati mbaya amefariki kabla ya kutimiza lengo lake.