Utafiti wako umegundua nini hapa JF?

Utafiti wako umegundua nini hapa JF?

Nimegundua kuwa kila mtu hapa Jf anamaisha mazur,ofic nzur na kila kitu kizur kwa kuandka...lkn ukikutanao face to face balaaaaaa tupu!
 
Looooh ndio ule ujinga kuwa kureply hazifiki.. Asante kwa taarifa.
Hapana ni mimi nilifuta chats zote za awali na kuzuia any further replys ndio maana hazifiki.
Hivyo ili zifike ni lazima uanzishe new chat.
 
Hapana ni mimi nilifuta chats zote za awali na kuzuia any further replys ndio maana hazifiki.
Hivyo ili zifike ni lazima uanzishe new chat.
Hahahahhha mi6 wangu huyoo[emoji16]
 
Mimi nimegundua sisi wakiumeni tunaongoza kwa kuomba kuwekewa picha kuliko wale wenzetu wa upande wa pili,wewe Je?
Alaa kumbe wa kiumeni n Yanga fc,wa upande wa pili watakuwa ni simba fc.wale wa pili ni pilipili kweli kweli.
 
Moderator endeleeni kumpga ban huyu lofa huwa anapost pumba tu na limiwani lake km fundi mchomelea vyuma
Teh teh teh[emoji23][emoji23] nimecheka sana nilivoiona miwani yenyewe
tapatalk_1536332549374.jpeg
 
Comment 5 za mwanzo zina influence kubwa sana kwenye comment 10-15 zinazofuata
 
Back
Top Bottom