Utafiti: Wanawake wakikumbatiwa wanapunguza msongo wa mawazo

Utafiti: Wanawake wakikumbatiwa wanapunguza msongo wa mawazo

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
Utafiti uliofanywa hivi karibuni umebaini kuwa kumkumbatia mtu kunaweza kuchangia kupunguza msogo wa mawazo kwa Wanawake.

Wanawake 76 waliofanyiwa utafiti wa kisayansi na Kituo cha PLOS One wameonesha kuwa wanapowakumbatia wenza wao au watu wanaowapenda pindi wanapokuwa na msongo wa mawazo wamekuwa wakifarijika

Wanaume waliofanyiwa utafiti huo hawakuonekana kuwa na hisika kama zinazowapata wanawake.

“Utafiti umefanyika kwa watu wachache lakini umeonesha kitu kikubwa katika muunganiko wa kisayansi,” anasema Kory Floyd ambaye ni Profesa wa Mawasiliano katika Chuo Kikuu cha Arizona, japokuwa hakushiriki katika utafiti huo.


Chanzo: CNN
 
Utafiti uliofanywa hivi karibuni umebaini kuwa kumkumbatia mtu kunaweza kuchangia kupunguza msogo wa mawazo kwa Wanawake.

Wanawake 76 waliofanyiwa utafiti wa kisayansi na Kituo cha PLOS One wameonesha kuwa wanapowakumbatia wenza wao au watu wanaowapenda pindi wanapokuwa na msongo wa mawazo wamekuwa wakifarijika

Wanaume waliofanyiwa utafiti huo hawakuonekana kuwa na hisika kama zinazowapata wanawake.

“Utafiti umefanyika kwa watu wachache lakini umeonesha kitu kikubwa katika muunganiko wa kisayansi,” anasema Kory Floyd ambaye ni Profesa wa Mawasiliano katika Chuo Kikuu cha Arizona, japokuwa hakushiriki katika utafiti huo.


Chanzo: CNN
Sawa, Sasa inabidi hao wanawake wakumbatiwe na mtu wa jinsia ipi??.
 
Huo muda wa kukumbatiana upo basi?
Wewe lazima utakuwa mwanamke wa kichaga muda wote mnawaza viwanja,mashamba,kulisha kuku na mengineyo hamu ya kukumbatiwa haiwezi kuwepo kwa kweli na mimi nakuunga mkono.Mwanamme anakuja ananuka jasho hajaleta chochote wala hakupi dili za maisha hawezi kuniondolea stress mimi Mbutaaa akwende sake kule akakumbatie wanawake sake wa pwani
 
Mtoto ambae ajakumbatia utotoni hawezi kuwa na upendo ukubwani. Kumbato ni tiba ya hisia. Usaidia pia kubalance saikolojia. Na kuleta usawaziko wa mwili.
Mapepo kuvamiwa na mapepo, kwa mujibu wa elimu ya metaphysics ni usababishwa na ukosefu wa balance, usawaziko wa mwili
 
Mtu ajitokeze tuanzishe kituo cha kukumbatia watu wasio na wakumbatiaji
Inakuja hiyo mkuu,we kuna siku uliwaza kuwa iko siku watu watacheza na jeneza walipwe kweli?
 
Back
Top Bottom