Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni nature ya binadamu karibia wote...
.....lakini hata kufagia uwanja hawezi hahahaaaaaa ungemalizia hivyo mkuu...Ndio hivyo mkuu, hapo mzazi anatoa complement @Infantry Soldier ni kipanga darasani,
Uchapa kazi kama upi?Kuna connection kubwa sana kati ya uchapakazu na akili za darasani pia ndio maana nchi ziliziendelea zina uchapakazi mkubwa na ndio pia wanaongoza kwa uwezo kielimu
Connection ya aina gani? Reverse connection?...Kuna connection kubwa sana kati ya uchapakazu na akili za darasani
Hata nchi zilizoendelea zina wavivu pia ndio maana kuna neno linaitwa "laziness"...nchi ziliziendelea zina uchapakazi mkubwa
Mkuu kwani hujui kua wavivu ndio waliogundua MachinesSio kwamba ninakuwa nimeshajijua bali ndio nilivyozaliwa. Kila nikijitahidi ku-balance ninashindwa.
Wanafunzi bright sana shuleni ni wavivu wakubwa wa kazi za nyumbani.
Hizo nchi zilizoendelea pia zina vilaza wanawaita "bottom of the barrel"nchi ziliziendelea zina uchapakazi mkubwa na ndio pia wanaongoza kwa uwezo kielimu
Mkuu, hii ndio nimeijulia kwako...Mkuu kwani hujui kua wavivu ndio waliogundua Machines
Magufuli Mungu amlindw kwa maana anagusa maisha ya watu wanyonge.Mkuu, ukitumia neno "umeshajulikana" inakuwa kama vile unanisema mimi sasa badala ya hao wanafunzi...
Hahaha hizo hasira watazionyesha kwa lissu kutokana na kusaliti Nchi yetu.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi.
Ndugu zangu Watanzania eti
Kwanini wanafunzi wengi (jinsia zote) wenye maendeleo mabaya shuleni huwa ni watu wa kujituma sana katika shughuli ngumu za nyumbani?
Sisemi kwamba kufanya kazi za nyumbani ndio kunawafanya wasiweke mkazo zaidi katika masomo, hapana, unakuta baadhi ya nyumba zimeajiri mpaka dada wa kazi lakini mtoto wa kike shule imemshinda ila katika kazi za nyumbano haumwambii kitu unaweza ukasema yeye ndiye ameajiriwa kama dada wa kazi lakini hapana pale ni kwao.
Yaani hakumbushwi majukumu yake. Mtoto wa kike unakutaa saa kumi na moja ameamka mwenyewe na anaanza kupiga deki, anafagia uwanja, anateka maji.
Sasa kwa upande wa pili wa shilingi kwa wale wenzangu na mie ambao ndio intelligent darasani, ambao ndio Tanzania Ones yeye masomo mengi anapata tu A, A, A, A, A, katika kazi za nyumbani wapo zero kabisa. Unakuta weekends kuamka saa 3 asubuhi, hajui kupika, hajui kuosha viombo vikatakata, hajui kudeki.
Je, hii ina uhusiano wowote na issue za Introversion pamoja na Extroversion Psychology?
WATAALAM WA SAIKOLOJIA ZA WATOTO NA WANAFUNZI MNAWEZA MKATOA UFAFANUZI ZAIDI JUU YA HILI.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Usimfananishe Rais Magufuli na watu wa hovyo hovyo.Mkuu, ukitumia neno "umeshajulikana" inakuwa kama vile unanisema mimi sasa badala ya hao wanafunzi...
Tunashukuru Tanzania tumepata Rais Mzalendo anayeipenda Nchi yake Asante Magufuli.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi.
Ndugu zangu Watanzania eti
Kwanini wanafunzi wengi (jinsia zote) wenye maendeleo mabaya shuleni huwa ni watu wa kujituma sana katika shughuli ngumu za nyumbani?
Sisemi kwamba kufanya kazi za nyumbani ndio kunawafanya wasiweke mkazo zaidi katika masomo, hapana, unakuta baadhi ya nyumba zimeajiri mpaka dada wa kazi lakini mtoto wa kike shule imemshinda ila katika kazi za nyumbano haumwambii kitu unaweza ukasema yeye ndiye ameajiriwa kama dada wa kazi lakini hapana pale ni kwao.
Yaani hakumbushwi majukumu yake. Mtoto wa kike unakutaa saa kumi na moja ameamka mwenyewe na anaanza kupiga deki, anafagia uwanja, anateka maji.
Sasa kwa upande wa pili wa shilingi kwa wale wenzangu na mie ambao ndio intelligent darasani, ambao ndio Tanzania Ones yeye masomo mengi anapata tu A, A, A, A, A, katika kazi za nyumbani wapo zero kabisa. Unakuta weekends kuamka saa 3 asubuhi, hajui kupika, hajui kuosha viombo vikatakata, hajui kudeki.
Je, hii ina uhusiano wowote na issue za Introversion pamoja na Extroversion Psychology?
WATAALAM WA SAIKOLOJIA ZA WATOTO NA WANAFUNZI MNAWEZA MKATOA UFAFANUZI ZAIDI JUU YA HILI.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
CCM oooyeeee. Toka CHADEMA njoo CCMSasa kama umeshajulikana kuwa ni 'Mpumbavu' uwapo Shuleni ( Kitaaluma ) kwanini usijitahidi tu uwe 'Mwerevu' kwa Kuwajibika sana Nyumbani?
Watanzania hatutaki siasa chafu wajifunze siasa safi za Magufuli hao Wapinzani.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi.
Ndugu zangu Watanzania eti
Kwanini wanafunzi wengi (jinsia zote) wenye maendeleo mabaya shuleni huwa ni watu wa kujituma sana katika shughuli ngumu za nyumbani?
Sisemi kwamba kufanya kazi za nyumbani ndio kunawafanya wasiweke mkazo zaidi katika masomo, hapana, unakuta baadhi ya nyumba zimeajiri mpaka dada wa kazi lakini mtoto wa kike shule imemshinda ila katika kazi za nyumbano haumwambii kitu unaweza ukasema yeye ndiye ameajiriwa kama dada wa kazi lakini hapana pale ni kwao.
Yaani hakumbushwi majukumu yake. Mtoto wa kike unakutaa saa kumi na moja ameamka mwenyewe na anaanza kupiga deki, anafagia uwanja, anateka maji.
Sasa kwa upande wa pili wa shilingi kwa wale wenzangu na mie ambao ndio intelligent darasani, ambao ndio Tanzania Ones yeye masomo mengi anapata tu A, A, A, A, A, katika kazi za nyumbani wapo zero kabisa. Unakuta weekends kuamka saa 3 asubuhi, hajui kupika, hajui kuosha viombo vikatakata, hajui kudeki.
Je, hii ina uhusiano wowote na issue za Introversion pamoja na Extroversion Psychology?
WATAALAM WA SAIKOLOJIA ZA WATOTO NA WANAFUNZI MNAWEZA MKATOA UFAFANUZI ZAIDI JUU YA HILI.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Rais Magufuli anatoa funzo kubwa kwa CHADEMA.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi.
Ndugu zangu Watanzania eti
Kwanini wanafunzi wengi (jinsia zote) wenye maendeleo mabaya shuleni huwa ni watu wa kujituma sana katika shughuli ngumu za nyumbani?
Sisemi kwamba kufanya kazi za nyumbani ndio kunawafanya wasiweke mkazo zaidi katika masomo, hapana, unakuta baadhi ya nyumba zimeajiri mpaka dada wa kazi lakini mtoto wa kike shule imemshinda ila katika kazi za nyumbano haumwambii kitu unaweza ukasema yeye ndiye ameajiriwa kama dada wa kazi lakini hapana pale ni kwao.
Yaani hakumbushwi majukumu yake. Mtoto wa kike unakutaa saa kumi na moja ameamka mwenyewe na anaanza kupiga deki, anafagia uwanja, anateka maji.
Sasa kwa upande wa pili wa shilingi kwa wale wenzangu na mie ambao ndio intelligent darasani, ambao ndio Tanzania Ones yeye masomo mengi anapata tu A, A, A, A, A, katika kazi za nyumbani wapo zero kabisa. Unakuta weekends kuamka saa 3 asubuhi, hajui kupika, hajui kuosha viombo vikatakata, hajui kudeki.
Je, hii ina uhusiano wowote na issue za Introversion pamoja na Extroversion Psychology?
WATAALAM WA SAIKOLOJIA ZA WATOTO NA WANAFUNZI MNAWEZA MKATOA UFAFANUZI ZAIDI JUU YA HILI.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Vitu vingi unavyoviona leo vimerahisishwa kwa kutumia akili na sio nguvu mkuu.Mkuu, hii ndio nimeijulia kwako...
Ndio Magufuli ametoa pesa nyingi sana kwa ajili ya miradi mizuri ya maendeleo.Mkuu, hii ndio nimeijulia kwako...