UTAFITI WANGU: Kwanini wanafunzi wengi (jinsia zote) wenye maendeleo mabaya shuleni huwa ni watu wa kujituma sana katika shughuli ngumu za nyumbani?

UTAFITI WANGU: Kwanini wanafunzi wengi (jinsia zote) wenye maendeleo mabaya shuleni huwa ni watu wa kujituma sana katika shughuli ngumu za nyumbani?

Kujituma kwenye kazi ni mtu mwenyewe tu plasi malezi ya nyumbani kwao binafsi mimi darasani nilikuwa wa kawaida lakini kwenye kazi napiga kazi mpaka watu wanakereka yani kiufupi ni mtu wa kujituma mpaka wazazi wangu wanalitambua hilo jambo
 
Hii ni nature ya binadamu karibia wote...

Ndio hivyo mkuu, hapo mzazi anatoa complement Infantry Soldier ni kipanga darasani, anawakimbiza sana wenzake huko. Pia anaendelea Beautiful nkoskana ni mchapa kazi sana, hata nikisafiri wiki nzima nyumbani nina amani wadogo zake watakula na kuogeshwa na usafi utafanyika vizuri. Ndio hivyo inavyokuwa.
 
Sio kwamba ninakuwa nimeshajijua bali ndio nilivyozaliwa. Kila nikijitahidi ku-balance ninashindwa.

Wanafunzi bright sana shuleni ni wavivu wakubwa wa kazi za nyumbani.
Mkuu kwani hujui kua wavivu ndio waliogundua Machines

Kimsingi ni wavivu kwa maana ya physical works ila ni wachapakazi wa kuchakata taarifa kupitia mbongo zao


Mimi mwenyewe kwakweli hua sipendi physical work ila napenda zile soft work za kuchakata data
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi.

Ndugu zangu Watanzania eti

Kwanini wanafunzi wengi (jinsia zote) wenye maendeleo mabaya shuleni huwa ni watu wa kujituma sana katika shughuli ngumu za nyumbani?

Sisemi kwamba kufanya kazi za nyumbani ndio kunawafanya wasiweke mkazo zaidi katika masomo, hapana, unakuta baadhi ya nyumba zimeajiri mpaka dada wa kazi lakini mtoto wa kike shule imemshinda ila katika kazi za nyumbano haumwambii kitu unaweza ukasema yeye ndiye ameajiriwa kama dada wa kazi lakini hapana pale ni kwao.

Yaani hakumbushwi majukumu yake. Mtoto wa kike unakutaa saa kumi na moja ameamka mwenyewe na anaanza kupiga deki, anafagia uwanja, anateka maji.

Sasa kwa upande wa pili wa shilingi kwa wale wenzangu na mie ambao ndio intelligent darasani, ambao ndio Tanzania Ones yeye masomo mengi anapata tu A, A, A, A, A, katika kazi za nyumbani wapo zero kabisa. Unakuta weekends kuamka saa 3 asubuhi, hajui kupika, hajui kuosha viombo vikatakata, hajui kudeki.

Je, hii ina uhusiano wowote na issue za Introversion pamoja na Extroversion Psychology?

WATAALAM WA SAIKOLOJIA ZA WATOTO NA WANAFUNZI MNAWEZA MKATOA UFAFANUZI ZAIDI JUU YA HILI.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Hahaha hizo hasira watazionyesha kwa lissu kutokana na kusaliti Nchi yetu.
 
Sijui kwann nimejikuta nasononeka moyon baada ya kusoma hii post.
Anyways, kikubwa uzima.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi.

Ndugu zangu Watanzania eti

Kwanini wanafunzi wengi (jinsia zote) wenye maendeleo mabaya shuleni huwa ni watu wa kujituma sana katika shughuli ngumu za nyumbani?

Sisemi kwamba kufanya kazi za nyumbani ndio kunawafanya wasiweke mkazo zaidi katika masomo, hapana, unakuta baadhi ya nyumba zimeajiri mpaka dada wa kazi lakini mtoto wa kike shule imemshinda ila katika kazi za nyumbano haumwambii kitu unaweza ukasema yeye ndiye ameajiriwa kama dada wa kazi lakini hapana pale ni kwao.

Yaani hakumbushwi majukumu yake. Mtoto wa kike unakutaa saa kumi na moja ameamka mwenyewe na anaanza kupiga deki, anafagia uwanja, anateka maji.

Sasa kwa upande wa pili wa shilingi kwa wale wenzangu na mie ambao ndio intelligent darasani, ambao ndio Tanzania Ones yeye masomo mengi anapata tu A, A, A, A, A, katika kazi za nyumbani wapo zero kabisa. Unakuta weekends kuamka saa 3 asubuhi, hajui kupika, hajui kuosha viombo vikatakata, hajui kudeki.

Je, hii ina uhusiano wowote na issue za Introversion pamoja na Extroversion Psychology?

WATAALAM WA SAIKOLOJIA ZA WATOTO NA WANAFUNZI MNAWEZA MKATOA UFAFANUZI ZAIDI JUU YA HILI.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Tunashukuru Tanzania tumepata Rais Mzalendo anayeipenda Nchi yake Asante Magufuli.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi.

Ndugu zangu Watanzania eti

Kwanini wanafunzi wengi (jinsia zote) wenye maendeleo mabaya shuleni huwa ni watu wa kujituma sana katika shughuli ngumu za nyumbani?

Sisemi kwamba kufanya kazi za nyumbani ndio kunawafanya wasiweke mkazo zaidi katika masomo, hapana, unakuta baadhi ya nyumba zimeajiri mpaka dada wa kazi lakini mtoto wa kike shule imemshinda ila katika kazi za nyumbano haumwambii kitu unaweza ukasema yeye ndiye ameajiriwa kama dada wa kazi lakini hapana pale ni kwao.

Yaani hakumbushwi majukumu yake. Mtoto wa kike unakutaa saa kumi na moja ameamka mwenyewe na anaanza kupiga deki, anafagia uwanja, anateka maji.

Sasa kwa upande wa pili wa shilingi kwa wale wenzangu na mie ambao ndio intelligent darasani, ambao ndio Tanzania Ones yeye masomo mengi anapata tu A, A, A, A, A, katika kazi za nyumbani wapo zero kabisa. Unakuta weekends kuamka saa 3 asubuhi, hajui kupika, hajui kuosha viombo vikatakata, hajui kudeki.

Je, hii ina uhusiano wowote na issue za Introversion pamoja na Extroversion Psychology?

WATAALAM WA SAIKOLOJIA ZA WATOTO NA WANAFUNZI MNAWEZA MKATOA UFAFANUZI ZAIDI JUU YA HILI.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Watanzania hatutaki siasa chafu wajifunze siasa safi za Magufuli hao Wapinzani.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi.

Ndugu zangu Watanzania eti

Kwanini wanafunzi wengi (jinsia zote) wenye maendeleo mabaya shuleni huwa ni watu wa kujituma sana katika shughuli ngumu za nyumbani?

Sisemi kwamba kufanya kazi za nyumbani ndio kunawafanya wasiweke mkazo zaidi katika masomo, hapana, unakuta baadhi ya nyumba zimeajiri mpaka dada wa kazi lakini mtoto wa kike shule imemshinda ila katika kazi za nyumbano haumwambii kitu unaweza ukasema yeye ndiye ameajiriwa kama dada wa kazi lakini hapana pale ni kwao.

Yaani hakumbushwi majukumu yake. Mtoto wa kike unakutaa saa kumi na moja ameamka mwenyewe na anaanza kupiga deki, anafagia uwanja, anateka maji.

Sasa kwa upande wa pili wa shilingi kwa wale wenzangu na mie ambao ndio intelligent darasani, ambao ndio Tanzania Ones yeye masomo mengi anapata tu A, A, A, A, A, katika kazi za nyumbani wapo zero kabisa. Unakuta weekends kuamka saa 3 asubuhi, hajui kupika, hajui kuosha viombo vikatakata, hajui kudeki.

Je, hii ina uhusiano wowote na issue za Introversion pamoja na Extroversion Psychology?

WATAALAM WA SAIKOLOJIA ZA WATOTO NA WANAFUNZI MNAWEZA MKATOA UFAFANUZI ZAIDI JUU YA HILI.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Rais Magufuli anatoa funzo kubwa kwa CHADEMA.
 
Back
Top Bottom