Utafiti wangu mdogo wa Matumizi ya Kondom Makazini: Matokeo yake yanatisha...

Wanachukua kwenda kuuza ,hakuna mtu anatumia condom siku hizi
Ngoja tui break vipande vipande hi:-
1. Wanachukua kwenda kuziuza
2. Hakuna mtu anaetumia condom siku hizi

Umeniacha na maswali hapa mkuu; wanauziwa viumbe wepi? Kama ni watu, wewe mwenyewe umeisha sema, hakuna mtu anaetumia condom siku hizi; wateja hawa wana nunua za nini?πŸ€”
 
Wananunua ila mkifika chumbani ni mwendo wakuteleza tu unashangaa imekuwakuwaje hamjavaa
 
Leta condom kazini kwangu na mimi nitafiti
 
Kumbe ndiyo umekuja kutoa siri za ofisi huku na ulianzia kulalamika ofisi nshakujuwa
 
Usiwaze Sana kuhusu matumizi Wanachomoa kile kidude cha juu,wanavaa kama urembo(bangili)
 
Upo vizuri ila umewasahau wafanya usafi na kama hicho choo hawatumii staff tu ni public toilet kuna watu wa nje na hapo akiwemo customer kuchukua condom

Umri wa wafanya kazi ndani ya ofisi yako ni umri gani?? Na wapo wangapi??

Finding imekaa poa sana speed ya matumizi ya kondom ni mazuri kuepusha
magonjwa ya zinaa lakini vijana tunapiga kavu na kondom ipo mfuko wa nyuma wa suruali
 
Nakupa observation 3 fanyia kazi

Wapi wanaenda kuzitumia au hua wanachukua kuzipuliza puto.....

Umenielewa ?tukijua hilo Kuna namba 4 utafanyia kazi (ipigwe Hela)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…