Utafiti wangu mdogo wa Matumizi ya Kondom Makazini: Matokeo yake yanatisha...

kwaiyo ukishakuwa mfanyakazi ndio usifanye mapenzi we Jamaa bana.
Nyie Box linakaa chooni sisi linakaa kabatini ofisini sasa na zinaishaga.
 
Watu wengi huenda wanaona aibu kwenda pharmacy kununua kondom sasa sababu chooni ni sehemu ya faragha ndio maana zoezi limekuwa na muitikio mzuri ,hitimisho kwa hii mada chooni ndio sehemu mzuri kuweka kondom kama jitihada za kukabiliana na STDs
 
wanawake ndio wanaongoza kununua kondom siku hizi kama huna mwanaume anazama hivyo hivyo...expirience ya wadangaji kwa hio hao vidume ni either alikutwa na jambo au anaenda kwa wadangaji...
 
Watu wengi huenda wanaona aibu kwenda pharmacy kununua kondom sasa sababu chooni ni sehemu ya faragha ndio maana zoezi limekuwa na muitikio mzuri ,hitimisho kwa hii mada chooni ndio sehemu mzuri kuweka kondom kama jitihada za kukabiliana na STDs
Ahhhh nimependa hitimisho
 
Kumbe ndivyo ilivyo, hakuna anayetumia condom, basi itakuwa hatari sana. Ila hili ni eneo gumu sana kiutafiti kwani linahingilia privacy ya mtu, na kingine ni constant adherence to condom use, wengi leo katumia, kesho kateleza na utelezo n.k.
Sawa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…