Utafiti: Watu ulimwenguni kote wanapoteza furaha kadri miaka inavyokwenda

Utafiti: Watu ulimwenguni kote wanapoteza furaha kadri miaka inavyokwenda

Hello!

Hili kila mtu anaweza kulithibitisha kwa kuback up miaka michache nyuma.

Furaha niliyokuwa nayo mwaka 1999 ni kubwa kuliko ya miaka ya 2009, furaha niliyokuwa nayo 2019 si kubwa kama ile niliyokuwa nayo 2009.

Licha ya maisha yangu kuboreka kila mwaka.

Nakiri kuwa maisha ya kulala kwenye mikeka na vitanda vya kamba miaka 20 nyuma yalijaa furaha kuliko sasa ambapo nawaza kupata chochote ninachokihitaji.

Ni mfumo wa uchumi ndio huleta kadhia kwa wanadamu.

Tajiri anahangahika, maskini anahangahika, fukara anahangahika pia.

No rest.
I think the more we attach our happiness to material things the more unhappy we are
Sasa hivi kila mtu anataka iPhone nyumba nzuri tv nzuri anataka gari wakati zamani wazazi wetu ilikuwa they fight for two things they fight for survival and sex only.
 
this is me am not happy at all with anything yan nikiwa kazini i wish niquit nikiwa nyumbani i wish nitoke sjui kama ninaenda au ninarudi sjui nataka nini sijui sitaki nini [emoji3064][emoji3064]
That is life we all stop living by the age of 30 and start experiencing life difficulties beyond that age that why if you have a children you have to make they are happy 100% before having those two life obligations these are work and marriage you have to choose your struggle everyone that's alive must face life difficulties don't worry just enjoy. Mungu ameumba kila kitu viwili viwili ameumba mke na mume usiku na mchana jua na mwezi mbingu na ardhi why you want to be 100% all 365 days it's impossible and that is the sweetest things in our life.
 
Huyu ni mimi kabisa,nimepoteza interest ya vitu ambavyo awali nilivipenda.Imefika mahali hata TV sioni channel ya kuangalia.Siyo mtumiaji wa kilevi wala siyo shabiki wa mpira.Mbaya zaidi nimepoteza usingizi,hata nikichelewa kulala ikifika saa 10 usingizi tayari umeisha.Nawaza hali hii itaendelea hadi naingia kaburini! May Lord have mercy on me.
That is the highest level of maturity now you have to accept life difficulties and move on
 
Same 2 me mpaka huwa naulizia jamaa zangu furaha ya maisha ni nini maana mpaka sasa sielewi sielewi [emoji29]
Life is a journey of struggle choose your struggle well remember 98% of the people we know in our life comes for reasons 1% for life time 1% for season that's life many people are attached by material things.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbaya zaidi kila unapozidi kupata mali na furaha nayo inazidi kupungua, uhusiano wako na jamii unapungua, yaani huko tunakoelekea tutakua tunaishi kama maroboti tu.
Nadhani hata yale mawazo ya kwamba ukiwa na mali unawaza ukifilisika au siku ukiwa huna kazi yanatufanya pia tuishi kwa wasi wasi.
 
Ni kweli kabisa, ki ufupi maisha yanapoteza maana siku hadi siku na kila ulichokiona cha maana ukiwa nacho kinapoteza thamani yake moyoni mwako.


Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kweli mkuu nothing should owns you and you owns nothing on this world hivyo kama unafanya kazi fanya kwa kiasi kwasababu hata siku usipokuwepo dunia haitasimama usijipe umuhimu wa mtu au kwa kitu chochote wameondoka kina Albert einstein kina Charles Darwin na dunia inaendela na wakirudi watashangaa dunia ilivyoendelea shida tunajipa umuhimu kwa vitu au kwa watu kwamba bila mimi kazi haziendi ofisini bila mimi familia italala njaa nadhani ndio maana tunakosa furaha yaani ukiacha kazi leo au kufukuzwa au kustaafu kesho inatangazwa job vacancy na mke ukiondoka mwingine anakamatia hvyo fanya kila kitu kwa kiasi.
 
Kuna ukweli kiasi Fulani,miaka iliyopita ilikuwa rahisi kukutana na watu wengi haraka na kuzoeana bila wasi wasi,lakini Sasa hivi ukikaa na mtu kidogo TU anataka akueleze shida za Hela,hivyo unaanza kuona hamna Ile furaha ya kuonana kama zamani,maana mlikuwa mnaonana na hakuna alikuwa na shida ya Hela,ila Sasa hivi inaonekana duniani watu wamekuja kutafuta Hela tu,hakuna upendo,ushirikiano Wala huruma,hakuna anaejali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msanii shaggy kwenye moja ya nyimbo zake kuna verse moja inasema...

"Life is one big party when you are still young, but who's gonna have your back when it's all done, it's all good when you're little when you have a pure fun"..

Ukiwa mdogo unakuwa na furaha sana kuliko ukubwani.
 
Kama mimi sina furaha na sidhani kama nitakuwa nayo tena
 
I think the more we attach our happiness to material things the more unhappy we are
Sasa hivi kila mtu anataka iPhone nyumba nzuri tv nzuri anataka gari wakati zamani wazazi wetu ilikuwa they fight for two things they fight for survival and sex only.
Mhubiri 1
1 Maneno ya Mhubiri mwana wa Daudi,mfalme katika Yerusalemu.

2 Mhubiri asema, Ubatili mtupu, ubatili mtupu, mambo yote ni ubatili.

3 Mtu ana faida gani ya kazi yake yote aifanyayo chini ya jua?

8 Mambo yote yamejaa uchovu usioneneka, jicho halishibi kuona, wala sikio halikinai kusikia.

10 Je! Kuna jambo lo lote ambalo watu husema juu yake, Tazama, ni jambo jipya? Limekwisha kuwako, tangu zamani za kale zilizokuwa kabla yetu sisi.

12 Mimi, Mhubiri, nalikuwa Mfalme wa Israeli katika Yerusalemu.

13 Nikatia moyo wangu ili kuyatafuta yote yanayotendeka chini ya mbingu, na kuyavumbua kwa hekima; ni taabu kubwa ambayo Mungu amewapa wanadamu, ili kutaabika ndani yake.

14 Nimeziona kazi zote zifanywazo chini ya jua; na, tazama, mambo yote ni ubatili na kujilisha upepo.
Yohana 14:25-27
25 Hayo ndiyo niliyowaambia wakati nilipokuwa nikikaa kwenu.

26 Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia.

27 Amani nawaachieni; amani yangu nawapa; niwapavyo mimi sivyo kama ulimwengu utoavyo. Msifadhaike mioyoni mwenu, wala msiwe na woga.

Vv
 
Kweli
 

Attachments

  • FB_IMG_1704233829506.jpg
    FB_IMG_1704233829506.jpg
    58 KB · Views: 5
Acha kutizama Runinga.
Acha kufanya mitandao ya kijamii kama Chakula .. Reward and punishment..

Acha kifuatilia yasiyo kuhusu /Mambo ambayo huwezi kuyamudu..

Acha kusikiliza nyimbo/ala za music za kileo ..

Choose your sounds wisely .

Ishi kistoa

Tafuta coping mechanism ...

Evolute Psychologically
 
this is me am not happy at all with anything yan nikiwa kazini i wish niquit nikiwa nyumbani i wish nitoke sjui kama ninaenda au ninarudi sjui nataka nini sijui sitaki nini 🥺🥺
Ishu ya saikolojia joint positivity clubs.
Mfano za Yoga, meditation,ishi maisha ya ibada,fanya matendo ya huruma mfano utoaji misaada,kutembelea wagonjwa,wahitaji,watoto,wafungwa,nk ni tiba ya all negativity pia inaongeza furaha na siku za kuishi
 
Acha kutizama Runinga.
Acha kufanya mitandao ya kijamii kama Chakula .. Reward and punishment..

Acha kifuatilia yasiyo kuhusu /Mambo ambayo huwezi kuyamudu..

Acha kusikiliza nyimbo/ala za music za kileo ..

Choose your sounds wisely .

Ishi kistoa

Tafuta coping mechanism ...

Evolute Psychologically
True,hii miziki Huwa sisikilizi imejaa negativity nyingi thus mimi si mpenzi WA radio maana nyingi zinalisha watu uchafu hazina vipindi positive zaidi ya kulisha watu miziki hii michafu.
Ili uwe na amani na furaha yafaa uingize positivity zaidi kwenye brain yako
 
Hii hali hata mimi sina raha mara nyingi sijui kwa nini na maisha ya Kati kifupi mazuri mke mzuri michepuko minne mizuri mnoo ila najikuta nakosa raha tu hata sielewi
Furaha haipo kwenye material things huko kuna Raha na sio furaha.
 
Back
Top Bottom