Utafutaji utajiri kwa haraka!

Ukifanya hayo mambo hutoboi miaka 7 duniani
 
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️
Kiufupi kuuza nafsi iko ya namna mingi sana, hata kuoga kwa bwawa iko na mamba mingi pia ni kuuza nafsi, hata kuzagamua kwa kahaba bila kinga pia ni kuuza nafsi.
Hivyo inategemea na unataka kuuza nafsi gani na unataka kumuuzia nani, maana hata nafsi yenyewe iko ya aina mingi. Mfano kuna ile nafsi ya kuonja umauti, pia kuna ile nafsi ya kusita sita. Ziko nyingi tu.
 
Mmmh Hawa Wamalawi nasikia ni Hatari Sanaaa!
 
Zingatia neno UTAJIRI
 
N
 
Nyoka akifa na wewe wafa,Kuna mzee .mmoja alikuwa na nyoka kwenye hice akachoropoka ,kwa bahati mbaya wadau wakamuua yule nyoka ili hali yule mzee alikuwa anasema jamani msimuue nyoka wangu
 
Nyoka akifa na wewe wafa,Kuna mzee .mmoja alikuwa na nyoka kwenye hice akachoropoka ,kwa bahati mbaya wadau wakamuua yule nyoka ili hali yule mzee alikuwa anasema jamani msimuue nyoka wangu
Ebwanaa Wee hiyo Nouma, ko hakuna Njia Nyingine Zaidi ya Nyoka😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…